mirror01
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 1,797
- 1,391
Kipara bila akili ni sawa takoMbona umeyakadhania sana matako unayauza weka wazi wanunuzi tupo T.R.A wapitie mapato!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kipara bila akili ni sawa takoMbona umeyakadhania sana matako unayauza weka wazi wanunuzi tupo T.R.A wapitie mapato!
Chongolo hadi nyeti yake imewekwa mitandaoni.Ndugai alijaribu akalia kama panya
Huduma umesogezewa mloganzila nenda kaboreshe!Kipara bila akili ni sawa tako
CCM mbele ya madaraka ni hatari haswa
Tumeshitakiwa na kushindwa na mabilioni tumelipa mbwa Koko wewe.Shetani tuepukie mbali huko
Tutashitakiwa MIGA, msaliti mkubwa
Hapana kwa kweli, Lissu alisema tutashtakiwa kutokana na kuvunja sheria na tutadaiwa fidia kutokana na kumsababishia hasara kubwa mwekezaji
Magu akakataa akasema tupo sawa kwa sababu wamefanya udanganyifu wa kile kilichomo kwenye makinikia kwani kina thamani zaidi ya kile kinachotajwa
Wakatishia we lakini badala ya kujua kuwa wameyumba, wakaomba mazungumzo na wakalipa dola milioni 300 pia ikatumika sheria mpya ambayo serikali ikawa na uwakilishi ndani ya bodi na asilimia kadhaa katika kila uwekezaji katika maliasili ikiwemo hayo madini
Kuhusu sheria hiyo inafahamika ilisema kuwa migogoro yote isikilizwe katika mahakama za ndani, mpaka juzi hapa baada ya kuja dp world umeona sekeseke la kutaka sheria hiyo ibadilishwe na ikasikilizwe nje
Kuhusu hizo kesi unazosikia zilifunguliwa kabla ya sheria mpya na zile baada ya sheria mpya, waliakisi makubaliano waliyoyaingia wakati wanasaini mkataba