Tundu Lissu azungumza kwenye msiba wa Askofu Kweka

Tundu Lissu azungumza kwenye msiba wa Askofu Kweka

Unakumbuka Mbowe alivyomwambia Sumaye kuwa sumu haionjwi? Demokrasia ya CHADEMA ni takataka. Ukiutaka uenyekiti ni kama vile unataka ku-commit suicide.
Kwani sumaye Yu wapi saiz?

FISI Huwa hakabidhiwi bucha,

Mbowe Yuko sawa kabisa.
 
Kugombea agombee kwa sababu ndio mgombea anayeweza kuleta upinzani..lakini kwa nini umemlisha maneno?
 
Salaam, Shalom!

Mh Tundu Lissu alipopewa nafasi kuzungumza katika msiba wa Askofu Kweka, ameeleza yafuatayo kumhusu Marehemu Askofu Kweka akiquote wasifu wake kuwa,

Marehemu Askofu Kweka alisoma chuo Cha chama pale Kivukoni mwaka 1969 katika masuala ya siasa na uongozi, hivyo aliyajua ipasavyo masuala ya siasa.

Ameenda mbali zaidi na kusema kuwa, Askofu Kweka,ndiye aliyehusika kumdokeza aingie katika ulingo wa siasa akiwa na miaka 29 tu, na aligombea Ubunge mwaka 1995, japo alishindwa.

Tangu hapo, Mh Tundu Lissu aliendelea na harakati za siasa na aligombea na kushinda ubunge, na mwaka 2020 alichukua fomu kupeperusha bendera ya chama chake Kwa nafasi ya mgombea Urais.

NB: Kwa kuwa Mh Tundu Lissu, hakukanusha kuwa HATOGOMBEA nafasi yoyote uchaguzi ujao, ni Imani yangu, Mh Tundu Lissu ametuma ujumbe kuwa atagombea uchaguzi ujao 2025 japo hakusema nafasi atakayogombea katika ya Udiwani, ubunge au Urais!!

CHADEMA,imeendelea kutuonyesha jinsi Gani imekomaa kisiasa, sababu Mh Lissu Ameyasema haya mbele ya Mh Mbowe na Lema wakiwa wanatabasamu.😀😀😀

Chanzo/Source: WANANCHI TV.


Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿,

Mungu ibariki CHADEMA.

Amen
Kwani ameshaandaa kaburi pale jimboni? Maana mbowe hatakubali kabisa lisu awe marufu
 
Huwezi kuwa robo ya Lissu wala nusu ya mwanachadema yeyote. Akili zako zinakutosha ukiwa na wapumbavu wenzio huko Lumumba.
Nyie mbumbumbu na malofa?

Heri nife kuliko kuwa chama Makamu wake ni kimada wa mzungu ( Dume Amsterdam)
 
Salaam, Shalom!

Mh Tundu Lissu alipopewa nafasi kuzungumza katika msiba wa Askofu Kweka, ameeleza yafuatayo kumhusu Marehemu Askofu Kweka akiquote wasifu wake kuwa,

Marehemu Askofu Kweka alisoma chuo Cha chama pale Kivukoni mwaka 1969 katika masuala ya siasa na uongozi, hivyo aliyajua ipasavyo masuala ya siasa.

Ameenda mbali zaidi na kusema kuwa, Askofu Kweka,ndiye aliyehusika kumdokeza aingie katika ulingo wa siasa akiwa na miaka 29 tu, na aligombea Ubunge mwaka 1995, japo alishindwa.

Tangu hapo, Mh Tundu Lissu aliendelea na harakati za siasa na aligombea na kushinda ubunge, na mwaka 2020 alichukua fomu kupeperusha bendera ya chama chake Kwa nafasi ya mgombea Urais.

NB: Kwa kuwa Mh Tundu Lissu, hakukanusha kuwa HATOGOMBEA nafasi yoyote uchaguzi ujao, ni Imani yangu, Mh Tundu Lissu ametuma ujumbe kuwa atagombea uchaguzi ujao 2025 japo hakusema nafasi atakayogombea katika ya Udiwani, ubunge au Urais!!

CHADEMA,imeendelea kutuonyesha jinsi Gani imekomaa kisiasa, sababu Mh Lissu Ameyasema haya mbele ya Mh Mbowe na Lema wakiwa wanatabasamu.😀😀😀

Chanzo/Source: WANANCHI TV.


Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿,

Mungu ibariki CHADEMA.

Amen
Lissu anatumiwa na Wachagga bila ya yeye kujitambua aisee
 
Kwa upande wa UZALENDO apewe maua yake.

Ndiye aliyeleta SHERIA ya Ulinzi wa Raslimali za Nchi,

Na ndo zimekwamisha Kwa kiasi Fulani aliyepo asiuze Kila kitu.

Mimi nachagua kusimama upande huo,

Wewe kaa upande unaamini.

Mwisho wa siku ndo DEMOKRASIA yenyewe.

Ubarikiwe.
Uzalendo gani? Sheria gani alizotungwa kulinda rasilimali zipi? Makampuni ya madini bado yanachimba wewe una weweseka ?
 
Kugombea agombee kwa sababu ndio mgombea anayeweza kuleta upinzani..lakini kwa nini umemlisha maneno?
Sijamlisha maneno, nimesoma btn the lines.

Ikiwa HATOGOMBEA, atakanusha. Hizo ndo siasa ndugu yangu.
 
Kwani sumaye Yu wapi saiz?

FISI Huwa hakabidhiwi bucha,

Mbowe Yuko sawa kabisa.
Mbowe hawezi kwenda kokote kwa sababu yeye ndo mmiliki wa CHADEMA. Ukisikia jina John Cheyo si moja kwa moja inakujia taswira ya UDP? Vyama vya upinzani ni kama haya makanisa ya kiroho yenye wamiliki.
 
JamiiForums1327454580.jpeg
 
Back
Top Bottom