Kwani sumaye Yu wapi saiz?Unakumbuka Mbowe alivyomwambia Sumaye kuwa sumu haionjwi? Demokrasia ya CHADEMA ni takataka. Ukiutaka uenyekiti ni kama vile unataka ku-commit suicide.
Huwezi kuwa robo ya Lissu wala nusu ya mwanachadema yeyote. Akili zako zinakutosha ukiwa na wapumbavu wenzio huko Lumumba.Lijamaa tapeli sana
Sema bongo mbumbumbu wengi wamejaa Chadema huko
Kwani ameshaandaa kaburi pale jimboni? Maana mbowe hatakubali kabisa lisu awe marufuSalaam, Shalom!
Mh Tundu Lissu alipopewa nafasi kuzungumza katika msiba wa Askofu Kweka, ameeleza yafuatayo kumhusu Marehemu Askofu Kweka akiquote wasifu wake kuwa,
Marehemu Askofu Kweka alisoma chuo Cha chama pale Kivukoni mwaka 1969 katika masuala ya siasa na uongozi, hivyo aliyajua ipasavyo masuala ya siasa.
Ameenda mbali zaidi na kusema kuwa, Askofu Kweka,ndiye aliyehusika kumdokeza aingie katika ulingo wa siasa akiwa na miaka 29 tu, na aligombea Ubunge mwaka 1995, japo alishindwa.
Tangu hapo, Mh Tundu Lissu aliendelea na harakati za siasa na aligombea na kushinda ubunge, na mwaka 2020 alichukua fomu kupeperusha bendera ya chama chake Kwa nafasi ya mgombea Urais.
NB: Kwa kuwa Mh Tundu Lissu, hakukanusha kuwa HATOGOMBEA nafasi yoyote uchaguzi ujao, ni Imani yangu, Mh Tundu Lissu ametuma ujumbe kuwa atagombea uchaguzi ujao 2025 japo hakusema nafasi atakayogombea katika ya Udiwani, ubunge au Urais!!
CHADEMA,imeendelea kutuonyesha jinsi Gani imekomaa kisiasa, sababu Mh Lissu Ameyasema haya mbele ya Mh Mbowe na Lema wakiwa wanatabasamu.😀😀😀
Chanzo/Source: WANANCHI TV.
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿,
Mungu ibariki CHADEMA.
Amen
Unajua maana ya Jina " FREEMAN"?Kwani ameshaandaa kaburi pale jimboni? Maana mbowe hatakubali kabisa lisu awe marufu
Lissu hawezi kufa mara mbili.Atakuwa rais mzuri japo wanaweza kumuua!
Nyie mbumbumbu na malofa?Huwezi kuwa robo ya Lissu wala nusu ya mwanachadema yeyote. Akili zako zinakutosha ukiwa na wapumbavu wenzio huko Lumumba.
Lissu anatumiwa na Wachagga bila ya yeye kujitambua aiseeSalaam, Shalom!
Mh Tundu Lissu alipopewa nafasi kuzungumza katika msiba wa Askofu Kweka, ameeleza yafuatayo kumhusu Marehemu Askofu Kweka akiquote wasifu wake kuwa,
Marehemu Askofu Kweka alisoma chuo Cha chama pale Kivukoni mwaka 1969 katika masuala ya siasa na uongozi, hivyo aliyajua ipasavyo masuala ya siasa.
Ameenda mbali zaidi na kusema kuwa, Askofu Kweka,ndiye aliyehusika kumdokeza aingie katika ulingo wa siasa akiwa na miaka 29 tu, na aligombea Ubunge mwaka 1995, japo alishindwa.
Tangu hapo, Mh Tundu Lissu aliendelea na harakati za siasa na aligombea na kushinda ubunge, na mwaka 2020 alichukua fomu kupeperusha bendera ya chama chake Kwa nafasi ya mgombea Urais.
NB: Kwa kuwa Mh Tundu Lissu, hakukanusha kuwa HATOGOMBEA nafasi yoyote uchaguzi ujao, ni Imani yangu, Mh Tundu Lissu ametuma ujumbe kuwa atagombea uchaguzi ujao 2025 japo hakusema nafasi atakayogombea katika ya Udiwani, ubunge au Urais!!
CHADEMA,imeendelea kutuonyesha jinsi Gani imekomaa kisiasa, sababu Mh Lissu Ameyasema haya mbele ya Mh Mbowe na Lema wakiwa wanatabasamu.😀😀😀
Chanzo/Source: WANANCHI TV.
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿,
Mungu ibariki CHADEMA.
Amen
Uzalendo gani? Sheria gani alizotungwa kulinda rasilimali zipi? Makampuni ya madini bado yanachimba wewe una weweseka ?Kwa upande wa UZALENDO apewe maua yake.
Ndiye aliyeleta SHERIA ya Ulinzi wa Raslimali za Nchi,
Na ndo zimekwamisha Kwa kiasi Fulani aliyepo asiuze Kila kitu.
Mimi nachagua kusimama upande huo,
Wewe kaa upande unaamini.
Mwisho wa siku ndo DEMOKRASIA yenyewe.
Ubarikiwe.
Na mamako ni kimada wa nani vile?Nyie mbumbumbu na malofa?
Heri nife kuliko kuwa chama Makamu wake ni kimada wa mzungu ( Dume Amsterdam)
Nimeshatua nakusubiri uje nikupeleke wakurekebishe!Umeshatua
Gaid muuaji kibaka dj zero, malaya, mhuni, mlevi mpenda vya bure etcUnajua maana ya Jina " FREEMAN"?
Ana Roho nyeupe!!
Sijamlisha maneno, nimesoma btn the lines.Kugombea agombee kwa sababu ndio mgombea anayeweza kuleta upinzani..lakini kwa nini umemlisha maneno?
How!!Lissu anatumiwa na Wachagga bila ya yeye kujitambua aisee
Mbowe hawezi kwenda kokote kwa sababu yeye ndo mmiliki wa CHADEMA. Ukisikia jina John Cheyo si moja kwa moja inakujia taswira ya UDP? Vyama vya upinzani ni kama haya makanisa ya kiroho yenye wamiliki.Kwani sumaye Yu wapi saiz?
FISI Huwa hakabidhiwi bucha,
Mbowe Yuko sawa kabisa.
Kwahiyo Lissu nae ameshasahau habari ya Katiba Mpya na Tume Huru ya uchaguzi?
Kazi ipo.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Kipara bila akili nitako tuuNimeshatua nakusubiri uje nikupeleke wakurekebishe!
Mtaji huo!Kipara bila akili nitako tuu