Tundu Lissu azungumza kwenye msiba wa Askofu Kweka


..magu alitakiwa yeye ndio akimbilie mahakamani.

..alisema tunawadai acacia usd 191 billion na ushahidi alikuwa nao.

..hakuna maelezo ya kutosha kuhalalisha kupokea usd 300 mil badala ya usd 191.

..magu pia aliahidi tutagawana 50/50 na barrick lakini akaja kusaini mkataba wa kupewa 16% of shares.

..je, hiyo 50/50 alikuwa akitudanganya? Tumeikosa vipi?

..mkataba wa mwisho ulisainiwa na barrick anaeleza kuwa migogoro itatatuliwa nje ya nchi. Magu alianza kuvunja sheria alizotunga mwenyewe.

..wakati Magu yuko hai, na Kabudi ni Waziri wa sheria, kulifunguliwa kesi zaidi ya 10 kutokana na serikali kuvunja mikataba au kufuta leseni za wawekezaji wa madini.

..mpaka sasa hivi tumeshindwa kesi 3. Hasara ni mabilioni. Tukiendelea kushindwa ktk kesi zilizobakia hasara itafika matrillioni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…