Tundu Lissu azungumzia tena ushoga. Nakubaliana naye!

Tundu Lissu azungumzia tena ushoga. Nakubaliana naye!

Status
Not open for further replies.
Tundu Lissu hawezi kupingana na ushoga, mbona yeye hajajikita ktk mambo ya msingi bali kashupalia uwanja w ndege chato, mbuga ya wanyama burigi basi hana jipya

Hiki ulichokiandika ni nini?

Umetazama na kusikiliza kwa makini kweli hiyo video?

Mbona inaonesha umetoka chooni na ulipoiona picha ya Tundu Lissu tu, ukafyatuka bila hata kujua ama kuelewa msingi wa mjadala?

Usiwe mjinga. Uwe mvumilivu kusikiliza mtu kabla kusema jambo...!!
 
Mkuu inaonesha harakati za Lissu unazielewa sana. Nilichoona kwenye thread yako mojawapo ni kwamba Guts za jamaa zinakushangaza, the same time unazipenda. Kusimama face to face na Magu kipindi hiki yataka moyo.
 
Mambo ya faraga kwa jambo halisi sio jambo hovyo la kuingiliana kinyume na maumbile huyu ni chizi tu.

Wewe huna akili soma sheria vizuri siyo unaropoka unaelewa maana ya mambo ya faragha ni yale yote ambayo hayawezi kufanyika hadharani yote faragha katiba imekataza kuingiliwa
 
Hapa Tundu Lissu ana hoja nzuri kabisa. Ninakubaliana naye 💯/💯!

Serikali yetu ijikite kwenye mambo ya msingi.

Iachane na mambo ya faragha za watu.

Bravo bravissimo Mheshimiwa Tundu Lissu.



Si kwamba Mhe. LISSU ni shoga. Si hivyo asilani. Isipokuwa yeye kama mwanasheria analipambanua hili kwa minajiri ya sheria za nchi. Hapo ndipo inapokuja utaalamu wa akili. LISSU is genius. Acha hawa wanasiasa uchwara wachumia tumbo.
 
Huyu na yeye si anao watoto wa kiume labda aulizwe siku akikuta njemba ipo kwenye kisogo cha dogo atapotezea na kuacha kuingilia faragha za mtoto wake au atalipuka?
Sasa akimkuta hiyo itakuwa faragha?
 
Hapa Tundu Lissu ana hoja nzuri kabisa. Ninakubaliana naye 💯/💯!

Serikali yetu ijikite kwenye mambo ya msingi.

Iachane na mambo ya faragha za watu.

Bravo bravissimo Mheshimiwa Tundu Lissu.


Hakika nawaambia!! Kwa uwezo huu wa Lissu wa kujenga hoja na kuzielezea vizuri, Ninadhani Magu lazima amuogope Lissu zaidi ya anavyokiogopa Kifo.

Lissu ni hatari huyu mtu!!! Sijawai ona Mwanasiasa wa namna hii Tanzania Tangu wapite Julius Nyerere na Oscar Kambona.

Huyu jamaa ana uwezo wa kujenga hoja wa Julius Nyerere na Oscar Kambona. Huyu jamaa ni 🔥🔥🔥🔥
 
Hapa Tundu Lissu ana hoja nzuri kabisa. Ninakubaliana naye [emoji817]/[emoji817]!

Serikali yetu ijikite kwenye mambo ya msingi.

Iachane na mambo ya faragha za watu.

Bravo bravissimo Mheshimiwa Tundu Lissu.

Huyu Jamaa Lissu ni KICHWA YAAN NI KICHWA .

Zunguka pote Duniani ,hamna shule bora kabisa yakujidaia kama Udaktari.

Ila Lissu kanifanya niamin, Shule ya Sheria ni Pacha wa Shule ya Udaktari.


Yaan unacheza na bongo za watu unavyotaka wee.

Nchi hiii Sheria inamtii Lissu kama Mpira unavyowatii wachezaji wa SIMBA.
 
Wewe huna akili soma sheria vizuri siyo unaropoka unaelewa maana ya mambo ya faragha ni yale yote ambayo hayawezi kufanyika hadharani yote faragha katiba imekataza kuingiliwa
Kuna mtumishi mmoja wa Madhehebu ya kikristo, amesisitiza watu waachwe wawe huru kusema. Na ni kwa kuwaacha waseme itakuwa rahisi kuwatambua wajinga, waelevu, wapumbavu, wenye njaa, wahuni, na kadhalika.

JF imetoa furusa hiyo ya watu kuandika yote ambayo wanayafikiria ama kwa namna nyingine wangeyasema. Ni kupitia maadishi yao tunaanza kujionyesha wapumbavu, wajinga, wenye njaa, wahuni, wehu, na kadhalika ni kina nani. Asante kwa hili JF.

Kuna kesi ya hivi karibuni, mwalimu mmoja alivamiwa 'faraghani' na kukutwa na mwanafunzi wake ambaye hajafikisha miaka 18. Mwalimu hiyo...uwenda akanyeshewa 'mvua' thelathini. Kwa hiyo, Ndugu mhanila1 unataka kutueleza kuwa mwalimu yule anatakiwa kuwa huru, kwa sababu alichokuwa anafanya faragha kilikuwa cha siri hakikuwa cha sebuleni?
 
Lissu ni aina ya watu waliokuwa brainwashed yaani ni mtu wa kupingwa kwa nguvu zote. Huyu jamaa ni njia rahisi ya wazungu kucontrol mali zetu maana fikra zake mbele ya wazungu ni dhaifu sana.

Anaamini kwamba makosa yaliyofanywa na watawala kuingia mikataba ya hovyo basi ni kitu cha maana na hakuna haja ya kujisahihisha.
Anadai ushoga ni sawa as long as mtu binafsi kaaamua hivyo, sawa lakini ni vema pia atueleze umuhimu mmoja wa ushoga na kwanini tuukubali kwa vijana wetu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom