Tundu Lissu azungumzia tena ushoga. Nakubaliana naye!

Tundu Lissu azungumzia tena ushoga. Nakubaliana naye!

Status
Not open for further replies.
Najua mna hamu ya kulegezwa viuno sana, ila hapa tz bado hadi mbaki vizazi vya shetani msio muogopa mungu ndo muyafanye hayo kwa uhuru
Ila kwa sasa tutawabana tu.
Wewe umewahi kubanwa mkuu?
 
Halafu eti mnamuita mwanasheria nguli,

Nipeni uamuzi wa kesi MOJA tu ambayo alisimamia Lisu ikatengeneza kanuni ya Kisheria ( precedent).

Ni hakuna,

Huyu jamaa uanasheria wake nguli ni wa mdomoni tu na kupewa sifa za kijinga na mabavicha.

Ila kwenye korido za mahakama huko kesi alizoshinda za wateja wake hazijai hata mkononi.
 
Halafu eti mnamuita mwanasheria nguli,

Nipeni uamuzi wa kesi MOJA tu ambayo alisimamia Lisu ikatengeneza kanuni ya Kisheria ( precedent).

Ni hakuna,

Huyu jamaa uanasheria wake nguli ni wa mdomoni tu na kupewa sifa za kijinga na mabavicha.

Ila kwenye korido za mahakama huko kesi alizoshinda za wateja wake hazijai hata mkononi.
Mama Anna makinda na Mtemi Chenge ni wanaccm wenzako,hebu waulize kuhusu Lissu na taaluma yake? Hebu muulize pia Magu kwa kwamba kwanini hakukusanya wanasheria mahiri wa ccm kupambana mahakamani badala yake akakimbilia tututu
 
Mama Anna makinda na Mtemi Chenge ni wanaccm wenzako,hebu waulize kuhusu Lissu na taaluma yake? Hebu muulize pia Magu kwa kwamba kwanini hakukusanya wanasheria mahiri wa ccm kupambana mahakamani badala yake akakimbilia tututu
Sina haja ya kuuliza mtu wakati naifahamu vyema mahakama yetu.
 
Kwani mpaka sasa mali za nchi hii wanakula wa kina nani?

Umetumwa na watu wanaotaka kula nchi wenyewe usiwe mjinga wewe
Sijatumwa na yeyote ila nafsi yangu inauma nikitazama Tanzania ya kesho kugezwa Congo. Ni bora tupambane na hawa wadhalimu wa ndani kwa style nyingine lakini sio kuwaaliki hao wanyonyi.
Chadema ya Dr.Slaa ulikua inakwenda vizuri iliporea kidogo baada ya kuwadharau wananchi ila hatua ya sasa ya kuenda kushirkiana na wadhalimu 100% Mimi siungi mkono. Tanzania inapiganiwa na watanzania na sio mabeberu.
 
Jamani mnamuones Lissu, yeye chama chake kinaukubali uu LGBT ( USHOGA ), wana wabunge wao wawili wa kike wanaishi kama mke na mume na juu ya hayo mmoja wao anawatoto wakubwa, nao wameshajulishwa kuwa mama ana bwana mwanamke. Sasa yeye atawezaje kuukana, na hao ni wale waliokuwa wazi, wako wanaojificha bado.

Chadema ni chama kinachoukubali ushoga
 
Sijatumwa na yeyote ila nafsi yangu inauma nikitazama Tanzania ya kesho kugezwa Congo. Ni bora tupambane na hawa wadhalimu wa ndani kwa style nyingine lakini sio kuwaaliki hao wanyonyi.
Chadema ya Dr.Slaa ulikua inakwenda vizuri iliporea kidogo baada ya kuwadharau wananchi ila hatua ya sasa ya kuenda kushirkiana na wadhalimu 100% Mimi siungi mkono. Tanzania inapiganiwa na watanzania na sio mabeberu.

..Polisi wanafundishwa na mabeberu.

..jeshi wanapewa sare na mabeberu.

..dreamliners tunanua kwa mabeberu.

.."hedi-kopta" za raisi zimenunuliwa kwa mabeberu.

..mkopo wa kujenga SGR umetoka kwa mabeberu.

..mkopo wa kuendesha elimu ya sekondari unatoka kwa mabeberu.

..dhahabu zinachimbwa na makampuni ya mabeberu.

..makinikia yanasafirishwa na mabeberu.

..Nikisema Jpm ni wakala wa mabeberu nitakuwa nimemkosea?
 
..Polisi wanafundishwa na mabeberu.

..jeshi wanapewa sare na mabeberu.

..dreamliners tunanua kwa mabeberu.

.."hedi-kopta" za raisi zimenunuliwa kwa mabeberu.

..mkopo wa kujenga SGR umetoka kwa mabeberu.

..mkopo wa kuendesha elimu ya sekondari unatoka kwa mabeberu.

..dhahabu zinachimbwa na makampuni ya mabeberu.

..makinikia yanasafirishwa na mabeberu.

..Nikisema Jpm ni wakala wa mabeberu nitakuwa nimemkosea?
Huenda ujanielewa au umedhamiria kutokuelewa kwanza ni kusaidie tuu maana tatizo la vijana wa nchi hii mtu mkipishana msimamo Kama ni ccm anakuona chadema na Kama ni chadema ana kuona ccm. Kwa hiyo elewa niko upande wa utanzania
Wazungu/Mabeberu/wahisani vyovyote utakavyo waita ni wafanya biashara na jamii ya watu wenye uelewa zaidi kuliko asilimia kubwa ya jamii yetu hivyo wako na dhamira ya siku zote kuwa juu sababu Wana amini wao nio bora kuliko jamii za kiafrika. Kuna ukweli sababu walitumia upumbavu wetu kujitajirisha na kujiimarisha na ndio lengo lao siku zote.
 
Huenda ujanielewa au umedhamiria kutokuelewa kwanza ni kusaidie tuu maana tatizo la vijana wa nchi hii mtu mkipishana msimamo Kama ni ccm anakuona chadema na Kama ni chadema ana kuona ccm. Kwa hiyo elewa niko upande wa utanzania
Wazungu/Mabeberu/wahisani vyovyote utakavyo waita ni wafanya biashara na jamii ya watu wenye uelewa zaidi kuliko asilimia kubwa ya jamii yetu hivyo wako na dhamira ya siku zote kuwa juu sababu Wana amini wao nio bora kuliko jamii za kiafrika. Kuna ukweli sababu walitumia upumbavu wetu kujitajirisha na kujiimarisha na ndio lengo lao siku zote.

..hivyohivyo.

..ninachoelewa mimi Jpm ndiyo kibaraka wa mabeberu.

..anawezaje kununua midege cash toka kwa mabeberu, halafu kusomesha watoto anakwenda kukopa WB?

..huyu ni kibaraka.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom