Hapa Tundu Lissu ana hoja nzuri kabisa. Ninakubaliana naye 💯/💯!
Serikali yetu ijikite kwenye mambo ya msingi.
Iachane na mambo ya faragha za watu.
Bravo bravissimo Mheshimiwa Tundu Lissu.
tukubaliane tuwanaotumia jina mabeberu hawajui wanalo ongelea kiasi kwamba hata kutaja nchi hawawezi. Ukisema beberu ukashidwa kuwataja basi wewe ni mbuzi jike