guwe_la_manga
JF-Expert Member
- Oct 20, 2019
- 2,820
- 2,758
Magufuli aombe Lissu asipitishwe na NECMagufuli hatokaa amuweze Lissu kwa hoja, atatumia vyombo vya serikali kumzuia asigombee. Na hapo pia Lissu ana plan B na C
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Magufuli aombe Lissu asipitishwe na NECMagufuli hatokaa amuweze Lissu kwa hoja, atatumia vyombo vya serikali kumzuia asigombee. Na hapo pia Lissu ana plan B na C
Ahhahahah..Polisi wanafundishwa na mabeberu.
..jeshi wanapewa sare na mabeberu.
..dreamliners tunanua kwa mabeberu.
.."hedi-kopta" za raisi zimenunuliwa kwa mabeberu.
..mkopo wa kujenga SGR umetoka kwa mabeberu.
..mkopo wa kuendesha elimu ya sekondari unatoka kwa mabeberu.
..dhahabu zinachimbwa na makampuni ya mabeberu.
..makinikia yanasafirishwa na mabeberu.
..Nikisema Jpm ni wakala wa mabeberu nitakuwa nimemkosea?
Ni upumbavu kuhangaika na mambo ya faragha kwa sababu huwezi kufanikiwa.Mambo ya faraga kwa jambo halisi sio jambo hovyo la kuingiliana kinyume na maumbile huyu ni chizi tu.
Ahahahh,weka picha yake hapaUnamjua mazinde shoga maarufu Zanzibar alipigwa kisa kutaka kugombea urais kupitia chama gani?
Airport Chato ni dhulma kwa kodi za wananchiTundu Lissu hawezi kupingana na ushoga, mbona yeye hajajikita ktk mambo ya msingi bali kashupalia uwanja wa ndege Chato, mbuga ya wanyama Burigi basi hana jipya
Mkuu mbona unatoaga ile kitu?Naona mashoga'marafiki' wakufa na kuzikana mnajimwambafai tu na kauli za rafiki yenu.
Serikali ya ccm ilithibitisha mahakamani na wakafungwaUtatuhakikishiaje kama walawiti..?
Kwa hiyo ccm ndio ilienda kushtaki??Serikali ya ccm ilithibitisha mahakamani na wakafungwa
Kwani wapi Lissu kazungumzia ndoa za jinsia moja?Wewe kama umeona wamezungumzia suala la ndoa ya jinsia moja nipe link nikasome na mie au nisikilize.
Hapa Tundu Lissu ana hoja nzuri kabisa. Ninakubaliana naye 💯/💯!
Serikali yetu ijikite kwenye mambo ya msingi.
Iachane na mambo ya faragha za watu.
Bravo bravissimo Mheshimiwa Tundu Lissu.
Kazungumzia ushoga, na kaepuka kuweka sawa hasa msimamo wake. Hakuna anaekataa ya faragha ni ya faragha, hata kama umefanya na ng'ombe. Lakini dunia hii tunapozungumza masuala ya ushoga, hatuzungumzii masuala ya faragha na yeye analijua hilo. tunazungumzia masuala mazima ya ndoa jinsia moja, vitendo vya kishoga kuwepo hadharani na kuonekana vya kawaida. Msijibabaishe bure hapa kutaka kudai ni mambo ya faragha, tunajua sote hapa wanaopigia kampeni ushoga wanataka ushoga na usagaji uonekane jambo la kawaida na likubalike, ukiona wanaume wamekaa cocobeach wanakulana denda uwaachie na uone ni suala la kawaida tu.Kwani wapi Lissu kazungumzia ndoa za jinsia moja?
Msimamo wake ni kuwa faragha haistahili kuingiliwa maana katiba imekataza. Lakini akikuta umeinamishwa hadharani atakemeaKazungumzia ushoga, na kaepuka kuweka sawa hasa msimamo wake. Hakuna anaekataa ya faragha ni ya faragha, hata kama umefanya na ng'ombe. Lakini dunia hii tunapozungumza masuala ya ushoga, hatuzungumzii masuala ya faragha na yeye analijua hilo. tunazungumzia masuala mazima ya ndoa jinsia moja, vitendo vya kishoga kuwepo hadharani na kuonekana vya kawaida. Msijibabaishe bure hapa kutaka kudai ni mambo ya faragha, tunajua sote hapa wanaopigia kampeni ushoga wanataka ushoga na usagaji uonekane jambo la kawaida na likubalike, ukiona wanaume wamekaa cocobeach wanakulana denda uwaachie na uone ni suala la kawaida tu.
Sasa tunataka tujue msimamo wake upoje? au wewe msaidie basi.
Huna akili wewe LB7Tundu Lissu hawezi kupingana na ushoga, mbona yeye hajajikita ktk mambo ya msingi bali kashupalia uwanja wa ndege Chato, mbuga ya wanyama Burigi basi hana jipya
Na akikuta mnakulaana denda na mwanaume mwenzio hadharani? Maana madenda sio ngono na hayahitaji faragha, hamna uchi unaoonekana hapo. Hio itakuaje?Msimamo wake ni kuwa faragha haistahili kuingiliwa maana katiba imekataza. Lakini akikuta umeinamishwa hadharani atakemea
Nasubiria hili jibu, siondokiKwani Wizara ya Mambo ya Nje ilisemaje kwenye operesheni ya Makonda???
Kwani kulana denda hadharani hiyo ni faragha??? Unajua maana ya faragha????Kazungumzia ushoga, na kaepuka kuweka sawa hasa msimamo wake. Hakuna anaekataa ya faragha ni ya faragha, hata kama umefanya na ng'ombe. Lakini dunia hii tunapozungumza masuala ya ushoga, hatuzungumzii masuala ya faragha na yeye analijua hilo. tunazungumzia masuala mazima ya ndoa jinsia moja, vitendo vya kishoga kuwepo hadharani na kuonekana vya kawaida. Msijibabaishe bure hapa kutaka kudai ni mambo ya faragha, tunajua sote hapa wanaopigia kampeni ushoga wanataka ushoga na usagaji uonekane jambo la kawaida na likubalike, ukiona wanaume wamekaa cocobeach wanakulana denda uwaachie na uone ni suala la kawaida tu.
Sasa tunataka tujue msimamo wake upoje? au wewe msaidie basi.
Kweli nyie nyumbu
Ko mnaharalisha ushoga sa