johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kama ni kuwashughulikia wanasiasa wakorofi huyo Magufuli hakufanya hata robo ya kilichofanywa awamu ya kwanza ya Mwalimu Nyerere
Kama Oscer Kambona na mzanzibari Abdulahman Baby walirudi hao akina Tundu Lisu, Lema na Wenje watakuwa na Jipya gani?
Kama Dr Slaa na Prof Lipumba walirudi baada ya kukimbilia Canada na Rwanda huyo Tundu Lisu ana maajabu gani?
Watanzania chapeni Kazi Putin hasomeki hadi sasa.
Kama Oscer Kambona na mzanzibari Abdulahman Baby walirudi hao akina Tundu Lisu, Lema na Wenje watakuwa na Jipya gani?
Kama Dr Slaa na Prof Lipumba walirudi baada ya kukimbilia Canada na Rwanda huyo Tundu Lisu ana maajabu gani?
Watanzania chapeni Kazi Putin hasomeki hadi sasa.