Tundu Lissu: Baada ya kauli ya Serikali kututaka turudi, mimi na wenzangu tunajiandaa kurudi

Tundu Lissu: Baada ya kauli ya Serikali kututaka turudi, mimi na wenzangu tunajiandaa kurudi

Sijawahi ipenda nchi yangu baada ya Nyerere kama kipindi hiki cha Samia.

Salaam Wakuu,

Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu yupo njiani anarudi

Hapa chini nimeweka nukuu alipokuwa anaongea na EATV

"Nimeambiwa niandike barua ili kudai gharama za matibabu, nimekusanya nyaraka zote zilizotumika kwenye matibabu kuanzia Dodoma, Nairobi hadi Ubelgiji, matibabu niliyoyapata baada ya Juni 2019 hayo hayahusiki kwa sabbau nilikuwa nimefutiwa ubunge,"

"Kwa mujibu wa sheria ya mafao ya viongozi wa kisiasa Tanzania, Mbunge ana haki ya kupata kiinua mgongo ambacho ni asilimia 40 ya mishahara yake kwa kipindi alichotumikia, pale Ubunge wake unapofikia ukomo iwe kwa kifo, kufukuzwa, kuachishwa, kujiuzulu,"

"Haya mafao yangu ya kisheria yalipaswa kulipwa Juni 29, 2019 nilipofutiwa ubunge na Job Ndugai, kama mnavyofahamu zama zile Mungu alikuwa hajaamua, kwahiyo nilinyimwa hayo mafao,"

"Rais @SuluhuSamia alipokuja Ubelgiji na nikapata fursa ya kuzungumza naye na kumuambia kwamba nisipolipwa mafao yangu sasa itakuwa ni kwa sababu yako, na akasema atalifanyia kazi, nimelipwa miezi kama miwili iliyopita.

"Leo Waziri Msauni amezungumza wale wote waliokimbia Tanzania kwa sababu za kisiasa warudi watakuwa salama, hiyo ni kauli ya serikali iliyotolewa Bungeni, hiyo ni hatua nzuri sana, sasa kitakachofanyika ni mimi na wenzangu kuandaa safari ya kurudi,"

Chanzo: EATVSaa1
 
Hana lolote huyo anakuja kulamba asali tu.
Mara, ooh sutarudi mpaka nihakikishiwe usalama wangu; ooh, sitarudi mpaka rais atoe tamko rasmi kunikaribisha; upuuzi mtupu. Sasa mbona ameamua kujikaribisha mwenyewe? Tukisema huyo jamaa yenu #dishlimetilt mkubali.
Lamba asali na wewe kama una maana yoyote ndani ya ccm.
 
Angekuwa huyu sasa ndio Waziri wa Mambo ya ndani sijui ingekuwaje

View attachment 2253614
Ccm ni mafi
JamiiForums1131551449.jpg
 
Lissu amekuwa kama yule masihi....kila mara anasema narudi lakini hatokei...haya CDM endeleeni kusubiri...atarudi
 
Salaam Wakuu,

Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu yupo njiani anarudi

Hapa chini nimeweka nukuu alipokuwa anaongea na EATV

"Nimeambiwa niandike barua ili kudai gharama za matibabu, nimekusanya nyaraka zote zilizotumika kwenye matibabu kuanzia Dodoma, Nairobi hadi Ubelgiji, matibabu niliyoyapata baada ya Juni 2019 hayo hayahusiki kwa sabbau nilikuwa nimefutiwa ubunge,"

"Kwa mujibu wa sheria ya mafao ya viongozi wa kisiasa Tanzania, Mbunge ana haki ya kupata kiinua mgongo ambacho ni asilimia 40 ya mishahara yake kwa kipindi alichotumikia, pale Ubunge wake unapofikia ukomo iwe kwa kifo, kufukuzwa, kuachishwa, kujiuzulu,"

"Haya mafao yangu ya kisheria yalipaswa kulipwa Juni 29, 2019 nilipofutiwa ubunge na Job Ndugai, kama mnavyofahamu zama zile Mungu alikuwa hajaamua, kwahiyo nilinyimwa hayo mafao,"

"Rais @SuluhuSamia alipokuja Ubelgiji na nikapata fursa ya kuzungumza naye na kumuambia kwamba nisipolipwa mafao yangu sasa itakuwa ni kwa sababu yako, na akasema atalifanyia kazi, nimelipwa miezi kama miwili iliyopita.

"Leo Waziri Msauni amezungumza wale wote waliokimbia Tanzania kwa sababu za kisiasa warudi watakuwa salama, hiyo ni kauli ya serikali iliyotolewa Bungeni, hiyo ni hatua nzuri sana, sasa kitakachofanyika ni mimi na wenzangu kuandaa safari ya kurudi,"

Chanzo: EATVSaa1
Toka mwaka jana wanasema watarudi lakini hawarudi wanachosha.Waje tu kimyakimya.
 
Ameingia kwa neema ya Mungu
Huwa mnakusudia Mungu gani? Maana utasikia mara Lowasa ni mpango wa Mungu mara Lissu ni mpango wa Mungu ila matokeo hujatofauti, ndio najiuliza huyo Mungu wa aina gani asiyefanikiwa mipango yake?
 
Huwa mnakusudia Mungu gani? Maana utasikia mara Lowasa ni mpango wa Mungu mara Lissu ni mpango wa Mungu ila matokeo hujatofauti, ndio najiuliza huyo Mungu wa aina gani asiyefanikiwa mipango yake?
Utajua hujui
 
Salaam Wakuu,

Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu yupo njiani anarudi

Hapa chini nimeweka nukuu alipokuwa anaongea na EATV

"Nimeambiwa niandike barua ili kudai gharama za matibabu, nimekusanya nyaraka zote zilizotumika kwenye matibabu kuanzia Dodoma, Nairobi hadi Ubelgiji, matibabu niliyoyapata baada ya Juni 2019 hayo hayahusiki kwa sabbau nilikuwa nimefutiwa ubunge,"

"Kwa mujibu wa sheria ya mafao ya viongozi wa kisiasa Tanzania, Mbunge ana haki ya kupata kiinua mgongo ambacho ni asilimia 40 ya mishahara yake kwa kipindi alichotumikia, pale Ubunge wake unapofikia ukomo iwe kwa kifo, kufukuzwa, kuachishwa, kujiuzulu,"

"Haya mafao yangu ya kisheria yalipaswa kulipwa Juni 29, 2019 nilipofutiwa ubunge na Job Ndugai, kama mnavyofahamu zama zile Mungu alikuwa hajaamua, kwahiyo nilinyimwa hayo mafao,"

"Rais @SuluhuSamia alipokuja Ubelgiji na nikapata fursa ya kuzungumza naye na kumuambia kwamba nisipolipwa mafao yangu sasa itakuwa ni kwa sababu yako, na akasema atalifanyia kazi, nimelipwa miezi kama miwili iliyopita.

"Leo Waziri Msauni amezungumza wale wote waliokimbia Tanzania kwa sababu za kisiasa warudi watakuwa salama, hiyo ni kauli ya serikali iliyotolewa Bungeni, hiyo ni hatua nzuri sana, sasa kitakachofanyika ni mimi na wenzangu kuandaa safari ya kurudi,"

Chanzo: EATVSaa1
Lipi jipya toka kwa Lissu kwa watanzania?

Si huyu ndie tulikuwa naye hapa majuzi kwenye uchaguzi 2020?

Si huyuhuyu aliekuwa akila mishikaki barabarani na kudandia Mwendokasi eti anasalimia wananchi?

Si huyuhuyu tunaekesha nae huko Club House na Sarungi Spaces?

Tofauti moja ni kwamba safari hii anakuja akiwa kishapokea mkwanja wake toka kwa Samia.

Same whiskey in... A new Bottle.
 
Back
Top Bottom