Tundu Lissu: CHADEMA haijapokea ruzuku hata senti 5, Baraza Kuu kukaa Machi au Aprili

Tundu Lissu: CHADEMA haijapokea ruzuku hata senti 5, Baraza Kuu kukaa Machi au Aprili

Haahaa hili swala la covid 19 kumlaumu mbowe na mnyika no kujifanya hamnazo, mgogo kashamaliza wale ni wabunge hata Kama wamefukuzwa chama.mbowe afanyeje?...
Anayo anayoyajua ila anaficha rufaa mbona haitoi majibu!
 
Kama mwenyekiti Mbowe alitoa tamko la maamuzi ya kamati juu ya watu hao kuwa wanakufukuzwa mara moja kwa nini Kamati Kuu haikutani haraka kutimiza takwa hilo. Kama maagizo ya kamati yalikuwa kujazwa maramoja kwa nafasi zao za uongozi katika chama, kwa nini mpaka leo hazijajazwa. Mnatoa mwanya huu wa muda wa nini? Au mmegundua ruzuku ni kidogo mnasubiri mpaka April zitakuwa zimeongezeka kidogo mchukuwe za mkupuo wa miezi yote ya nyuma maana kisheria bado ni zenu😃😃😃
Hiyo inaonyesha kukomaa kwa taasisi, chama hakikurupuki kutoa maamuzi hata kama yametolewa na mkiti kina taratibu zake ambazo lazima zifuatwe.
 
Mnyika na yule Afisa Habari Makene wapo wapi? Taarifa nyingine Makamu Mwenyekiti angekuwa anawaachia hawa watu.
 
Hata wewe Tundu Lisu ni muasi, usijione kana kuwa wewe pekee ni mwenye haki katika nchi hii, unaongeleaje maswala ya Taifa hili ukiwa porini,huo si uasi?

Unazidiwa na kijana mdogo Bob Wine anayepambana akiwa nchini kwake.

Mahakamani umekimbia kesi zako kwa visingizio ,mara matibabu,mara hoo wanataka kunia.
Hofu yako inasababishwa na mdomo wako mchafu uliojaa matusi na kejeli kwa viongozi wa nchi, hali ambayo inasababisha ukimbie hata kivuli chako mwenyewe.

Kama una jambo mahakama zipo, njoo ufungue kesi,sio kulalama ovyo, hata huko watakuchoka siku moja.

Chadema nao wameugua sonona,iweje kiongozi anayeishi porini awapelekeshe kiasi hiki?
Itambueni serikali na mchangie katika ujenzi wa Taifa, huo ndio uzalendo.
 
Mkuu hutamuona Mbowe wala Mnyika anaongelea hii ishu ya akina Mdee. Tatizo mmefungwa na mahaba ya chama hamko tayari kuangalia upande mwingine wa shilingi. Nasisitiza Mchaga hajawahi kuniangusha kwenye shilingi. Kuna mambo mkijakiyajua huko mbeleni mtajiona wajinga sana. CCM na CDM ni walewale tu.
OK; tufanye wewe upo sahihi; jibu swali hili kufuatia alioyasema Lissu; Kwamba msajiri aliitisha kikao cha kugawana ruzuku na katibu mkuu wa Chadema huyo unae mtuhumu alialikwa, HAKWENDA kwa kikao hicho, hiyo ni kulingana na UZI, je kwa mujibu wako wewe, Mnyika alipewa mwaliko au laa, kama alipewa, alihudhuria kikao hicho au LA!?
 
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara Ndg Tundu Lissu amesema, chama hakijapokea ruzuku yeyote toka serikalini na kama kuna mtu ana ushahidi kuwa wamepokea basi auonyeshe, kaongeza kusema, fedha za ruzuku kwa vyama vya siasa ni chanzo kimoja tu cha mapato ya chama, kuna vyama havina ruzuku lakini vinaendesha shughuli zao. Chadema kina wanachama 6,700,000 hao wanachama ndio watakaoendesha shughuli za chama.

"Hatujapokea ruzuku yoyote. Katibu Mkuu wa @ChademaTz aliandikiwa barua na Msajili wa Vyama vya siasa aende kwenye mkutano wa kujadili masuala ya ruzuku. Katibu mkuu alikataa, kama wanasema tumepokea ruzuku, waoneshe ni sehemu gani tumepokea na kusaini" Ndg. @TunduALissu.

Kuhusu wanachama 19 waasi waliofukuzwa Lissu kasema, kazi ya Kamati Kuu ni kusimamia katiba na misingi ya chama na wala sio kusimamia kanuni za Bunge, kama wanakwenda bungeni sio kosa letu ni kosa la aliyewapokea.

"Kamati Kuu ya @ChademaTz imeketi na kuamua kuwa wabunge 19 ambao wameasi na kukiuka maamuzi ya chama tuliwafukuza uanachama, kwa mujibu wa katiba ya nchi yetu tangu 1965 tulipoingia rasmi katika mfumo wa chama kimoja mpaka leo, Mbunge akipoteza uanachama wa chama cha siasa anapoteza na ubunge, kama wanakwenda bungeni sio kosa letu ni kosa la wanaowapokea na kuwapa fedha za umma wakati si wabunge”.

"Ni kweli wabunge 19 tuliowafukuza wamekata rufaa. Kwenye kikao cha kamati kuu wiki iliyopita tumefanya maamuzi kuwa, kikao cha Baraza Kuu kitaitishwa kati ya mwezi Machi na Aprili, hatuwezi kuitisha kikao cha Baraza Kuu eti tu kwa ajili ya kuwasikiliza hao waasi" @TunduALissu.
Nahisi hiyo pesa imeisha IBWA
 
Hatuhitaji kwa kila kitu maana vingi ukweli wake uko wazi, ila hili limekaa ambapo ushahidi wake hauko wazi. Sasa kwakuwa nyie ndio mnasema cdm wanachukua ruzuku ina maana mna ushahidi, basi malizeni mchezo wa kuweka ushahidi mezani. Mnakwama wapi?
Basi endelea mkuu huku wenzio wakijipigia mihela ya ruzuku! Si watetezi mpo
 
Chadema kina wanachama 6,700,000 hao wanachama ndio watakaoendesha shughuli za chama.
Uongo Chama chenye wanachama 6,700,000 haya ndio makao makuu ya chama? Mbona idadi haiakisi uhalisia?

1612421077641.png




TLP kina wanachama elfu 70 tu ona jengo lao la makao makuu ona walivyojitahidi

1612420911667.png

Uongo
 
Kukimbia nchi kivipi? Mbona Mandela aliwahi kimbia nchi yake akaishi pale Moro na Kongwa? Huna hoja mkuu
Aliona sio sawa ndio maana alirudi nchini kwake

Watu walimpenda Mandela sababu alishiriki tabu zao akiwa ndani ya nchi yake akipata shida nao sio huyu Lisu mkimbia nchi anakula pizza ulaya akibweka kuwa nyie huko Tanzania andaeni mazingira mazuri nije kugombea uraisi!!!! Wenzie wote walioishi uhamishomni wawe akina Museveni akina Kagame nk wote walikuwa nchini mwao kuongoza mapambano hawakukaa ubelgiji wakiongelea kwenye watsap wakisubiri uchaguzi ufike wahonge uongozi wa juu wagombee !!!

Lisu is a modern day political coward tofauti na akina Bob wine wa Uganda ambaye full time yuko nchini kwake
 
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara Ndg Tundu Lissu amesema, chama hakijapokea ruzuku yeyote toka serikalini na kama kuna mtu ana ushahidi kuwa wamepokea basi auonyeshe, kaongeza kusema, fedha za ruzuku kwa vyama vya siasa ni chanzo kimoja tu cha mapato ya chama, kuna vyama havina ruzuku lakini vinaendesha shughuli zao. Chadema kina wanachama 6,700,000 hao wanachama ndio watakaoendesha shughuli za chama.

"Hatujapokea ruzuku yoyote. Katibu Mkuu wa @ChademaTz aliandikiwa barua na Msajili wa Vyama vya siasa aende kwenye mkutano wa kujadili masuala ya ruzuku. Katibu mkuu alikataa, kama wanasema tumepokea ruzuku, waoneshe ni sehemu gani tumepokea na kusaini" Ndg. @TunduALissu.

Kuhusu wanachama 19 waasi waliofukuzwa Lissu kasema, kazi ya Kamati Kuu ni kusimamia katiba na misingi ya chama na wala sio kusimamia kanuni za Bunge, kama wanakwenda bungeni sio kosa letu ni kosa la aliyewapokea.

"Kamati Kuu ya @ChademaTz imeketi na kuamua kuwa wabunge 19 ambao wameasi na kukiuka maamuzi ya chama tuliwafukuza uanachama, kwa mujibu wa katiba ya nchi yetu tangu 1965 tulipoingia rasmi katika mfumo wa chama kimoja mpaka leo, Mbunge akipoteza uanachama wa chama cha siasa anapoteza na ubunge, kama wanakwenda bungeni sio kosa letu ni kosa la wanaowapokea na kuwapa fedha za umma wakati si wabunge”.

"Ni kweli wabunge 19 tuliowafukuza wamekata rufaa. Kwenye kikao cha kamati kuu wiki iliyopita tumefanya maamuzi kuwa, kikao cha Baraza Kuu kitaitishwa kati ya mwezi Machi na Aprili, hatuwezi kuitisha kikao cha Baraza Kuu eti tu kwa ajili ya kuwasikiliza hao waasi" @TunduALissu.
Ushahidi anao mwenye chama chake
 
Kwanini chama kipoteze muda na gharama kubwa kujadili ajenda moja ya ‘waasi’ ambao tayari aliyewateua kasema atawalinda kwa gharama yeyote?

Haraka ya nini be patient (you) they will get what they deserve.
Kuzingatia na kuheshimu matakwa ya kikatiba si jambo muhimu kwako?!
 
Swafi saana Rais wa watanzania kwa ufafanuzi huo!!
 
Angeongea Mbowe au Mnyika waweza kuamini CHADEMA haijapokea ruzuku, Ila mtu yupo Ulaya tena kwenye LOCKDOWN aje kujua ya account za chama bongo!?.. au wanacheza na akili za NYUMBU wa ufipa wakamtumia Lissu kuwatuliza. Mchaga kwenye shilingi hajawahi kuniangusha.
Anasema kama kuna ushahidi uwekwe, mwanangu ana A tupu sayansi, nimemwambia akwende kwa sheria.
 
Mchaga Mbowe hawezi mshirikisha Chasaka Lissu mambo ya pesa !!! Haiwezekani
 
Back
Top Bottom