kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Anayo anayoyajua ila anaficha rufaa mbona haitoi majibu!Haahaa hili swala la covid 19 kumlaumu mbowe na mnyika no kujifanya hamnazo, mgogo kashamaliza wale ni wabunge hata Kama wamefukuzwa chama.mbowe afanyeje?...
Hiyo inaonyesha kukomaa kwa taasisi, chama hakikurupuki kutoa maamuzi hata kama yametolewa na mkiti kina taratibu zake ambazo lazima zifuatwe.Kama mwenyekiti Mbowe alitoa tamko la maamuzi ya kamati juu ya watu hao kuwa wanakufukuzwa mara moja kwa nini Kamati Kuu haikutani haraka kutimiza takwa hilo. Kama maagizo ya kamati yalikuwa kujazwa maramoja kwa nafasi zao za uongozi katika chama, kwa nini mpaka leo hazijajazwa. Mnatoa mwanya huu wa muda wa nini? Au mmegundua ruzuku ni kidogo mnasubiri mpaka April zitakuwa zimeongezeka kidogo mchukuwe za mkupuo wa miezi yote ya nyuma maana kisheria bado ni zenu😃😃😃
Atoe majibu ya kikao kipi.Anayo anayoyajua ila anaficha rufaa mbona haitoi majibu!
Mkuu..Bunge limekuwa ni kusanyiko la Wapumbavu.MATAGA wameumbuka!
OK; tufanye wewe upo sahihi; jibu swali hili kufuatia alioyasema Lissu; Kwamba msajiri aliitisha kikao cha kugawana ruzuku na katibu mkuu wa Chadema huyo unae mtuhumu alialikwa, HAKWENDA kwa kikao hicho, hiyo ni kulingana na UZI, je kwa mujibu wako wewe, Mnyika alipewa mwaliko au laa, kama alipewa, alihudhuria kikao hicho au LA!?Mkuu hutamuona Mbowe wala Mnyika anaongelea hii ishu ya akina Mdee. Tatizo mmefungwa na mahaba ya chama hamko tayari kuangalia upande mwingine wa shilingi. Nasisitiza Mchaga hajawahi kuniangusha kwenye shilingi. Kuna mambo mkijakiyajua huko mbeleni mtajiona wajinga sana. CCM na CDM ni walewale tu.
Nahisi hiyo pesa imeisha IBWAMakamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara Ndg Tundu Lissu amesema, chama hakijapokea ruzuku yeyote toka serikalini na kama kuna mtu ana ushahidi kuwa wamepokea basi auonyeshe, kaongeza kusema, fedha za ruzuku kwa vyama vya siasa ni chanzo kimoja tu cha mapato ya chama, kuna vyama havina ruzuku lakini vinaendesha shughuli zao. Chadema kina wanachama 6,700,000 hao wanachama ndio watakaoendesha shughuli za chama.
"Hatujapokea ruzuku yoyote. Katibu Mkuu wa @ChademaTz aliandikiwa barua na Msajili wa Vyama vya siasa aende kwenye mkutano wa kujadili masuala ya ruzuku. Katibu mkuu alikataa, kama wanasema tumepokea ruzuku, waoneshe ni sehemu gani tumepokea na kusaini" Ndg. @TunduALissu.
Kuhusu wanachama 19 waasi waliofukuzwa Lissu kasema, kazi ya Kamati Kuu ni kusimamia katiba na misingi ya chama na wala sio kusimamia kanuni za Bunge, kama wanakwenda bungeni sio kosa letu ni kosa la aliyewapokea.
"Kamati Kuu ya @ChademaTz imeketi na kuamua kuwa wabunge 19 ambao wameasi na kukiuka maamuzi ya chama tuliwafukuza uanachama, kwa mujibu wa katiba ya nchi yetu tangu 1965 tulipoingia rasmi katika mfumo wa chama kimoja mpaka leo, Mbunge akipoteza uanachama wa chama cha siasa anapoteza na ubunge, kama wanakwenda bungeni sio kosa letu ni kosa la wanaowapokea na kuwapa fedha za umma wakati si wabunge”.
"Ni kweli wabunge 19 tuliowafukuza wamekata rufaa. Kwenye kikao cha kamati kuu wiki iliyopita tumefanya maamuzi kuwa, kikao cha Baraza Kuu kitaitishwa kati ya mwezi Machi na Aprili, hatuwezi kuitisha kikao cha Baraza Kuu eti tu kwa ajili ya kuwasikiliza hao waasi" @TunduALissu.
Basi endelea mkuu huku wenzio wakijipigia mihela ya ruzuku! Si watetezi mpoHatuhitaji kwa kila kitu maana vingi ukweli wake uko wazi, ila hili limekaa ambapo ushahidi wake hauko wazi. Sasa kwakuwa nyie ndio mnasema cdm wanachukua ruzuku ina maana mna ushahidi, basi malizeni mchezo wa kuweka ushahidi mezani. Mnakwama wapi?
Uongo Chama chenye wanachama 6,700,000 haya ndio makao makuu ya chama? Mbona idadi haiakisi uhalisia?Chadema kina wanachama 6,700,000 hao wanachama ndio watakaoendesha shughuli za chama.
Mbowe hajakanusha, Tundu anakula za mashoga wenzake. Atulize kalio.Barikiwa TAL
Dingi wako ndiye shoga na akakurithisha wewe.Mbowe hajakanusha, Tundu anakula za mashoga wenzake. Atulize kalio.
Aliona sio sawa ndio maana alirudi nchini kwakeKukimbia nchi kivipi? Mbona Mandela aliwahi kimbia nchi yake akaishi pale Moro na Kongwa? Huna hoja mkuu
Ushahidi anao mwenye chama chakeMakamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara Ndg Tundu Lissu amesema, chama hakijapokea ruzuku yeyote toka serikalini na kama kuna mtu ana ushahidi kuwa wamepokea basi auonyeshe, kaongeza kusema, fedha za ruzuku kwa vyama vya siasa ni chanzo kimoja tu cha mapato ya chama, kuna vyama havina ruzuku lakini vinaendesha shughuli zao. Chadema kina wanachama 6,700,000 hao wanachama ndio watakaoendesha shughuli za chama.
"Hatujapokea ruzuku yoyote. Katibu Mkuu wa @ChademaTz aliandikiwa barua na Msajili wa Vyama vya siasa aende kwenye mkutano wa kujadili masuala ya ruzuku. Katibu mkuu alikataa, kama wanasema tumepokea ruzuku, waoneshe ni sehemu gani tumepokea na kusaini" Ndg. @TunduALissu.
Kuhusu wanachama 19 waasi waliofukuzwa Lissu kasema, kazi ya Kamati Kuu ni kusimamia katiba na misingi ya chama na wala sio kusimamia kanuni za Bunge, kama wanakwenda bungeni sio kosa letu ni kosa la aliyewapokea.
"Kamati Kuu ya @ChademaTz imeketi na kuamua kuwa wabunge 19 ambao wameasi na kukiuka maamuzi ya chama tuliwafukuza uanachama, kwa mujibu wa katiba ya nchi yetu tangu 1965 tulipoingia rasmi katika mfumo wa chama kimoja mpaka leo, Mbunge akipoteza uanachama wa chama cha siasa anapoteza na ubunge, kama wanakwenda bungeni sio kosa letu ni kosa la wanaowapokea na kuwapa fedha za umma wakati si wabunge”.
"Ni kweli wabunge 19 tuliowafukuza wamekata rufaa. Kwenye kikao cha kamati kuu wiki iliyopita tumefanya maamuzi kuwa, kikao cha Baraza Kuu kitaitishwa kati ya mwezi Machi na Aprili, hatuwezi kuitisha kikao cha Baraza Kuu eti tu kwa ajili ya kuwasikiliza hao waasi" @TunduALissu.
Kuzingatia na kuheshimu matakwa ya kikatiba si jambo muhimu kwako?!Kwanini chama kipoteze muda na gharama kubwa kujadili ajenda moja ya ‘waasi’ ambao tayari aliyewateua kasema atawalinda kwa gharama yeyote?
Haraka ya nini be patient (you) they will get what they deserve.
Anasema kama kuna ushahidi uwekwe, mwanangu ana A tupu sayansi, nimemwambia akwende kwa sheria.Angeongea Mbowe au Mnyika waweza kuamini CHADEMA haijapokea ruzuku, Ila mtu yupo Ulaya tena kwenye LOCKDOWN aje kujua ya account za chama bongo!?.. au wanacheza na akili za NYUMBU wa ufipa wakamtumia Lissu kuwatuliza. Mchaga kwenye shilingi hajawahi kuniangusha.
Weka uthibitisho bank gani imewekwa na chama kikatoa hizo hela usilete porojoTundu Lissu anapewa tu taarifa, signatories ni Mbowe na Mnyika.
Ruzuku ina kujadiliana nini wakati formulae inafahamika?