Tundu Lissu: CHADEMA haijapokea ruzuku hata senti 5, Baraza Kuu kukaa Machi au Aprili

Excellent and mature information. Alluta continua. Members are ever ready to finance the party activities.
 
Mkuu achana na hawa watu. Akili zao hazina akili. Unajisumbua bure kuwaeleza. "Just ignore them".
 
Baada ya uchaguzi wa 2020 kuna mengi chadema imeyapitia kiasi kwamba hakuna ruzuku iliyopaswa kwenda chadema.

Je, chama cha chadema kinapewa ruzuku? kama ndiyo kwanini na nani inaipokea?
 
Baada ya uchaguzi wa 2020 kuna mengi chadema imeyapitia kiasi kwamba hakuna ruzuku iliyopaswa kwenda chadema.

Je, chama cha chadema kinapewa ruzuku? kama ndiyo kwanini na nani inaipokea?
Kwa nini ina wabunge
nani anapokea mwenye chama nafikiri unamjua.
 
Mbunge mmoja tu?
sasa hata kama chadema watapewa ruzuku kupitia mbunge mmoja ni bora awe anaichukua tu yeye huyo mbunge
 
Baada ya uchaguzi wa 2020 kuna mengi chadema imeyapitia kiasi kwamba hakuna ruzuku iliyopaswa kwenda chadema.

Je, chama cha chadema kinapewa ruzuku? kama ndiyo kwanini na nani inaipokea?
Chadema haipokei ruzuku kwa sababu haijawahi kupeleka namba ya akaunti kwenye ofisi ya msajili kama ilivyotakiwa kufanya baada ya uchaguzi wa 2020
 
Mbowe atakuwa anapokea kimyakimya. Unamjua Mbowe unamsikia?
 
Mbowe atakuwa anapokea kimyakimya. Unamjua Mbowe unamsikia?
Kwa mujibu wa Katiba ya Nchi Mwenyekiti wa Chama cha siasa hawezi kupokea ruzuku , ni Lipumba peke yake aliyeruhusiwa kufanya hivyo
 
Lissu anampango wa kuwapiga tena hela wanyonge
 
 
Mwanasheria Lissu anakiri Mdee & co wamekata rufaa inayotakiwa kusikilizwa na baraza kuu, lakini mwanasheria huyohuyo anasema hawawezi kuitisha kikao cha baraza kuu kujadili rufaa ya hao anaowaita waasi!

Kuna kitu hakipo sawa kichwani kwake.
Yaani bila hata rufaa za mdee baraza kuu lingeketi March/April kwahyo Lissu anadai kwamba hawawezi itisha Baraza kuu February kwa emergency eti kisa tu kuna rufaa za hawa wasaliti.

More so Rufaa imekatwa latter days za december hivyo mpaka March itakua haijazidi siku hizo 90 toka appeal iletwe.

Unajiita great thinker alafu unashindwa kuelewa simple explanations?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…