Tundu Lissu: CHADEMA haina mamlaka kisheria kufungua kesi ICC kuhusiana na Uchaguzi 2020

Tundu Lissu: CHADEMA haina mamlaka kisheria kufungua kesi ICC kuhusiana na Uchaguzi 2020

Kamanda tunajidili namna mlivyodanganya kuhusu kufungua kesi ICC,leo Lissu amewaumbua kwa uongo wenu. Chadema haina mamlaka ya kufungua kesi ICC.
Sijawahi kuiona hiyo taarifa ya Chadema, usijekuwa ulichanganya baada ya kuona Lissu amefungua kesi ukadhani ndio Chadema, haya mambo yako wazi kwenye statute ya ICC, nikusoma tu, sijui mnashangilia nini hapa, ujinga wenu utawaponza.
 
Wewe mbumbumbu akiwa kwenye kampeni alipewa ulinzi na serikali, baada ya kampeni kwisha serikali ikamuondolea ulinzi.
We kamanda,acha hasira. Kama aliuwawa Mzee Kabila na mlinzi wake ndio ishindikane kwa Lissu? Kama wanataka kukuua wanakuua tu.
 
Sijawahi kuiona hiyo taarifa ya Chadema, usijekuwa ulichanganya baada ya kuona Lissu amefungua kesi ukadhani ndio Chadema, haya mambo yako wazi kwenye statute ya ICC, nikusoma tu, sijui mnashangilia nini hapa, ujinga wenu utawaponza.
Mlidanganya kuwa mmefungua kesi,Lissu amewaumbua. Soma The Citizen kama unajua kimombo. Kwani unajua kusoma kimombo?
 
We kamanda,acha hasira. Kama aliuwawa Mzee Kabila na mlinzi wake ndio ishindikane kwa Lissu? Kama wanataka kukuua wanakuua tu.
Aisee sasa kama mlimkosa mara ya kwanza ndio mnataka awasubiri mjaribu tena mara ya pili!.
 
Mlidanganya kuwa mmefungua kesi,Lissu amewaumbua. Soma The Citizen kama unajua kimombo. Kwani unajua kusoma kimombo?
Niwekee hiyo taarifa ya Chadema niisome vizuri, hiyo ya Lissu nimeimaliza saa nyingi sana.
 
Niwekee hiyo taarifa ya Chadema niisome vizuri, hiyo ya Lissu nimeimaliza saa nyingi sana.
Jamaa yangu unapost bila hata kusoma nimepost nini? Nimekuwekea Clip na Habari kamili ili uridhike.
 
Jamaa yangu unapost bila hata kusoma nimepost nini? Nimekuwekea Clip na Habari kamili ili uridhike.
Tatizo una kichwa kizito sana, umesema juu kule Chadema walidanganya kwamba wameenda ICC ndio leo Lissu kawaumbua, sasa mimi nimekwambia nipe hiyo taarifa ya Chadema unayodai ni ya uongo niisome, nakuona unarembua tu hapa.
 
Tatizo una kichwa kizito sana, umesema juu kule Chadema walidanganya kwamba wameenda ICC ndio leo Lissu kawaumbua, sasa mimi nimekwambia nipe hiyo taarifa ya Chadema unayodai ni ya uongo niisome, nakuona unarembua tu hapa.
Kwa hiyo umeshasahau nyuzi mlizosambaza humu kuwa mmefungua kesi Icc? Hujui chama ni watu?
 
Hivi yule mwendesha mashtaka anaitwa nani tena vile?
Ana majia fulani hivi amazing kama a.k.a fulani
 
Kwahiyo alipewa ulinzi na serikali kipindi cha kampeni?sasa kwa nini anaituhumu serikali ?
Wewe mbumbumbu akiwa kwenye kampeni alipewa ulinzi na serikali, baada ya kampeni kwisha serikali ikamuondolea ulinzi.
 
Mbona lumumba hamuishi kumfuatilia Lissu?

Kama mnamkumbuka sana muhakikishieni usalama wake arudi muwe mnamfanyia interview kila siku.

Chadema kufungua kesi au kutofungua sioni tatizo provided Chadema watatoa ushirikiano kwa Lissu kwa kumpa ushahidi wa yale yaliyofanyika, sasa hiki kicheko chenu hapa kinaonesha msivyojiamini, waoga, mnaotetemeka, ndio maana kutwa kumfuatilia Lissu.
Alipokuja kupiga kampeni alihakikishiwa usalama na nani?
 
Fatou Bensouda. Tunasubiri aje afanye uchunguzi.

..Jaji Mohamed Othman Chande wa Tanzania na Fatou Bensouda wa Gambia ndio walioshinda usaili wa kuwa Mwendesha Mashtaka wa ICC. Viongozi wa nchi za Kiafrika walipendekeza Fatou Bensouda ateuliwe kuchukua nafasi hiyo.
 
Sijawahi kuiona hiyo taarifa ya Chadema, usijekuwa ulichanganya baada ya kuona Lissu amefungua kesi ukadhani ndio Chadema, haya mambo yako wazi kwenye statute ya ICC, nikusoma tu, sijui mnashangilia nini hapa, ujinga wenu utawaponza.
 
Niwekee hiyo taarifa ya Chadema niisome vizuri, hiyo ya Lissu nimeimaliza saa nyingi sana.
Hiyo hapo

 
Tatizo una kichwa kizito sana, umesema juu kule Chadema walidanganya kwamba wameenda ICC ndio leo Lissu kawaumbua, sasa mimi nimekwambia nipe hiyo taarifa ya Chadema unayodai ni ya uongo niisome, nakuona unarembua tu hapa.
Hiyo hapo

 
Back
Top Bottom