Tundu Lissu: CHADEMA haitakwama kwa kukosa pesa za Mbowe

Tundu Lissu: CHADEMA haitakwama kwa kukosa pesa za Mbowe

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
44,629
Reaction score
83,056
Amesema chama ni mali ya wanachama, inabidi wachange. Amesema wakae kama chama wajue huyu mtoto wanamleaje.

Vema kabisa na si vema kama ulivyosema kutegemea fedha za Mbowe. LAKINI

Kumbuka:

1. Hakuna wa kuchanga , linapokuja suala la kuchanga watanzania ni wagumu/watu ni wagumu generally. Utaitisha michango kila siku, watakuchoka! WATACHANGA ZA KUNUUA LUKU SIYO CHOPA YA KAMPENII!, MISHAHARA and the big like!

2. CCM inapeta kwa vile wanachota huko mahali, wanachota wanavyotaka! Kumbuka Mkapa na Bilioni 300 za uchaguzi alizochota benki kuu.

Soma: Pre GE2025 - Tundu Lissu: Hatutashiriki Uchaguzi Mkuu bila Katiba Mpya na Tume Huru

3. Kumbuka una resistance ya 48% vs 52%. Hawa 48% hawatachanga

4. Mashabiki wako wengi ni lumpen proletariat...hawana hela zakuchanga

Ni hayo kwa leo
 
Watanzania sio kwamba hawataki kuchanga ukweli ni kwamba Watanzania wengi ni masikini sana..

Fikiria mtu ni mjumbe wa KK lakini laki moja inamtoa roho hadi vitu vinazuiwa hotelini...

TL ana endeleza parade la furaha na kuwasagia kunguni team FAM..

Tumpe muda... Yupo kujitambulisha kwenye Media daily... Dancing troupe yake inaendeleza libeneke X na CH...

Good riddance
 
Amesema chama ni mali ya wanachama, inabidi wachange. Amesema wakae kama chama wajue huyu mtoto wanamleaje.

Vema kabisa na si vema kama ulivyosema kutegemea fedha za Mbowe. LAKINI

Kumbuka:

1. Hakuna wa kuchanga , linapokuja suala la kuchanga watanzania ni wagumu/watu ni wagumu generally. Utaitisha michango kila siku, watakuchoka! WATACHANGA ZA KUNUUA LUKU SIYO CHOPA YA KAMPENII!, MISHAHARA and the big like!

2. CCM inapeta kwa vile wanachota huko mahali, wanachota wanavyotaka! Kumbuka Mkapa na Bilioni 300 za uchaguzi alizochota benki kuu.

3. Kumbuka una resistance ya 48% vs 52%. Hawa 48% hawatachanga

4. Mashabiki wako wengi ni lumpen proletariat...hawana hela zakuchanga

Ni hayo kwa leo
Tanu zilichota wapi kipindi cha nyerere...?
 
Amesema chama ni mali ya wanachama, inabidi wachange. Amesema wakae kama chama wajue huyu mtoto wanamleaje.

Vema kabisa na si vema kama ulivyosema kutegemea fedha za Mbowe. LAKINI

Kumbuka:

1. Hakuna wa kuchanga , linapokuja suala la kuchanga watanzania ni wagumu/watu ni wagumu generally. Utaitisha michango kila siku, watakuchoka! WATACHANGA ZA KUNUUA LUKU SIYO CHOPA YA KAMPENII!, MISHAHARA and the big like!

2. CCM inapeta kwa vile wanachota huko mahali, wanachota wanavyotaka! Kumbuka Mkapa na Bilioni 300 za uchaguzi alizochota benki kuu.

3. Kumbuka una resistance ya 48% vs 52%. Hawa 48% hawatachanga

4. Mashabiki wako wengi ni lumpen proletariat...hawana hela zakuchanga

Ni hayo kwa leo
Kipimo ni gari analochangiwa hadi Leo hela haijatimia…. Kama yeye alijibu simply hiyo mil 30 Hana Leo yeye ndo baba wa familia watu wanategemea waone mambo yanasonga.
 
Wewe retired ulidhani CHADEMA ni Mali ya mtu binafsi?

Watu walikuwa hawachangi sababu walijua Kuna uhuni.

Hivi sasa Kuna mtu serious kuongoza harakati za kupatikana Tume huru ya Uchaguzi na Katiba mpya,

Babu zetu walimchangia Nyerere kudai uhuru, iweje tushindwe kuchangia harakati kupata Sanduku la kura lisilonajisiwa?

Tunaweza.
 
Amesema chama ni mali ya wanachama, inabidi wachange. Amesema wakae kama chama wajue huyu mtoto wanamleaje.

Vema kabisa na si vema kama ulivyosema kutegemea fedha za Mbowe. LAKINI

Kumbuka:

1. Hakuna wa kuchanga , linapokuja suala la kuchanga watanzania ni wagumu/watu ni wagumu generally. Utaitisha michango kila siku, watakuchoka! WATACHANGA ZA KUNUUA LUKU SIYO CHOPA YA KAMPENII!, MISHAHARA and the big like!

2. CCM inapeta kwa vile wanachota huko mahali, wanachota wanavyotaka! Kumbuka Mkapa na Bilioni 300 za uchaguzi alizochota benki kuu.

3. Kumbuka una resistance ya 48% vs 52%. Hawa 48% hawatachanga

4. Mashabiki wako wengi ni lumpen proletariat...hawana hela zakuchanga

Ni hayo kwa leo
Nadhani kiongozi mbowe ni mjinga sana. Inamaana hata kama ngo yake angepata kiti cha urais uwezekano mkubwa angefanya ufisadi kuimarisha chama. CCM tuna vyanzo vya mapato vingi na tuna hela ni chama tajiri.
 
Kipimo ni gari analochangiwa hadi Leo hela haijatimia…. Kama yeye alijibu simply hiyo mil 30 Hana Leo yeye ndo baba wa familia watu wanategemea waone mambo yanasonga.
Kwahiyo mlitaka Mbowe aendelee kufanyia vikao vya chama nyumbani kwake Mikocheni pamoja na machawa wake huku Katibu mkuu akibakia ofisini hana la kufanya? Nyie mnakera sana. Kwamba Chadema chini ya Mbowe ilikuwa njia sahihi? Au hamjui? Ulizeni hali ilivtokuwa tuwaambieni!
 
Back
Top Bottom