Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Hakukataliwa bhana...... isitoshe walipishana kura chache sana.John Mrema alilia ukumbini kama kitoto kichanga bosi wake alivyokataliwa na wajumbe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakukataliwa bhana...... isitoshe walipishana kura chache sana.John Mrema alilia ukumbini kama kitoto kichanga bosi wake alivyokataliwa na wajumbe.
Watapata kwa uchaguzi gani, huu ambao genge la ccm linaamua matokeo yaweje?Harafu Bado ana dharau eti Kwa kukosa pesa za Mbowe 🤣🤣
Hawa wasipate hata Mbunge mmja harafu tuone
Hela za cdm ndio zilikuwa zinaendesha familia yake, na hakutarajia Mbowe atashindwa.John Mrema alilia ukumbini kama kitoto kichanga bosi wake alivyokataliwa na wajumbe.
PoleWatapata kwa uchaguzi gani, huu ambao genge la ccm linaamua matokeo yaweje?
Hoja:Amesema chama ni mali ya wanachama, inabidi wachange. Amesema wakae kama chama wajue huyu mtoto wanamleaje.
Vema kabisa na si vema kama ulivyosema kutegemea fedha za Mbowe. LAKINI
Kumbuka:
1. Hakuna wa kuchanga , linapokuja suala la kuchanga watanzania ni wagumu/watu ni wagumu generally. Utaitisha michango kila siku, watakuchoka! WATACHANGA ZA KUNUUA LUKU SIYO CHOPA YA KAMPENII!, MISHAHARA and the big like!
2. CCM inapeta kwa vile wanachota huko mahali, wanachota wanavyotaka! Kumbuka Mkapa na Bilioni 300 za uchaguzi alizochota benki kuu.
Soma: Pre GE2025 - Tundu Lissu: Hatutashiriki Uchaguzi Mkuu bila Katiba Mpya na Tume Huru
3. Kumbuka una resistance ya 48% vs 52%. Hawa 48% hawatachanga
4. Mashabiki wako wengi ni lumpen proletariat...hawana hela zakuchanga
Ni hayo kwa leo
Msijitape sana.Nadhani kiongozi mbowe ni mjinga sana. Inamaana hata kama ngo yake angepata kiti cha urais uwezekano mkubwa angefanya ufisadi kuimarisha chama. CCM tuna vyanzo vya mapato vingi na tuna hela ni chama tajiri.
Amesema chama ni mali ya wanachama, inabidi wachange. Amesema wakae kama chama wajue huyu mtoto wanamleaje.
Vema kabisa na si vema kama ulivyosema kutegemea fedha za Mbowe. LAKINI
Kumbuka:
1. Hakuna wa kuchanga , linapokuja suala la kuchanga watanzania ni wagumu/watu ni wagumu generally. Utaitisha michango kila siku, watakuchoka! WATACHANGA ZA KUNUUA LUKU SIYO CHOPA YA KAMPENII!, MISHAHARA and the big like!
2. CCM inapeta kwa vile wanachota huko mahali, wanachota wanavyotaka! Kumbuka Mkapa na Bilioni 300 za uchaguzi alizochota benki kuu.
Soma: Pre GE2025 - Tundu Lissu: Hatutashiriki Uchaguzi Mkuu bila Katiba Mpya na Tume Huru
3. Kumbuka una resistance ya 48% vs 52%. Hawa 48% hawatachanga
4. Mashabiki wako wengi ni lumpen proletariat...hawana hela zakuchanga
Ni hayo kwa leo
Pamoja na mapesa yote aliyomwaga! Yeriko alisema mbowe kamwaga zaidi ya m 300.Hakukataliwa bhana...... isitoshe walipishana kura chache sana.
Acha kuweweseka muache Mwenyekiti afanye kazi, changamoto zote zitapata majibu kwa wakati husikaAmesema chama ni mali ya wanachama, inabidi wachange. Amesema wakae kama chama wajue huyu mtoto wanamleaje.
Vema kabisa na si vema kama ulivyosema kutegemea fedha za Mbowe. LAKINI
Kumbuka:
1. Hakuna wa kuchanga , linapokuja suala la kuchanga watanzania ni wagumu/watu ni wagumu generally. Utaitisha michango kila siku, watakuchoka! WATACHANGA ZA KUNUUA LUKU SIYO CHOPA YA KAMPENII!, MISHAHARA and the big like!
2. CCM inapeta kwa vile wanachota huko mahali, wanachota wanavyotaka! Kumbuka Mkapa na Bilioni 300 za uchaguzi alizochota benki kuu.
Soma: Pre GE2025 - Tundu Lissu: Hatutashiriki Uchaguzi Mkuu bila Katiba Mpya na Tume Huru
3. Kumbuka una resistance ya 48% vs 52%. Hawa 48% hawatachanga
4. Mashabiki wako wengi ni lumpen proletariat...hawana hela zakuchanga
Ni hayo kwa leo
Wafadhili hawawezi kutoa pesa kwa wakati, (at desired time)Nafikiri Kuna wafadhili na vyama rafiki kutoka nje, hilo linawasaidia.