Tundu Lissu: CHADEMA haitakwama kwa kukosa pesa za Mbowe

Tundu Lissu: CHADEMA haitakwama kwa kukosa pesa za Mbowe

Mtoto akililia wembe mpe.

Sisi tumekaa pembeni tunakula popcorn. Tunaangalia mambo yanavyokwenda.

Hapo Bado anatakiwa kufanya ziara nchi nzima ya kujitambulisha , kushukuru , kuomba ushirikiano na kutangaza vipaumbele vyake.

Sisi ni wanachama tutamuunga mkono ila tunataka tuone ataendeshaje chama.

Kama unajua jogoo hapandi mtungi, unaoa ili nini?
Usijali maadam ni mkatoliki tutampa support ya kutosha.
 
  • Kicheko
Reactions: rr4
Lissu aache kutaka kuwaumiza watanzania na michango ya kipumbavu.
Hujalazimishwa , na CCM muache kuchota Kodi zetu hazina na kuzitumia kwenye mambo yenu ya kisiasa, mwisho wenu unakaribia maana mlijisahau kwa muda mrefu
 
Hujasoma statistics, this is a representative sample....sampling...wewe ni kama ule mgomba unaoitwa Juma Mhuni, unadanganya sana kujifanya nao unatoa ndizi kume ni ndizi mhuni tu...KAMA WEWE

Sampling in research is the process of selecting a smaller group (called a "sample") from a larger population to participate in a study, allowing researchers to make inferences about the entire population by studying a manageable subset when it's impractical to examine everyone within that population.
Acha ujinga sample ya Ntobi au Yeriko?

Bure kabisa 😂
 
. Kama ulikuwa unatoa 5m kwa chama hata sasa endelea kutoa maana chama kipo. V
Una kichaa wewe, unataka nichange hela Za unga??? Siwezi toa hata Mia yangu kwa mtu mshenzi na mhuni kama Lissu….. na hatutakubali chama kife na akishindwa tutamnyonya lile tumbo linalomfanya akose akili.
 
Ruzuku inatokana na idadi ya kura za Urais,

Ambapo chama kilidai kuibiwa kura,

Hivyo kupokea ruzuku ni kukubali kura na kukubali kushindwa uchaguzi, ni kubariki matokeo ya wizi wa kura.
Kwani ccm wameanza kuiba 2020 mbona tokea 1995 wanaiba

Chadema walikuwa sahihi kuigomea mwanzoni sababu wangeikubali haraka-haraka ingeleta picha mbaya kwa wanachama wao

Ukweli ni kwamba hakuna uchaguzi ambao ccm hawajaiba kura
 
Una kichaa wewe, unataka nichange hela Za unga??? Siwezi toa hata Mia yangu kwa mtu mshenzi na mhuni kama Lissu….. na hatutakubali chama kife na akishindwa tutamnyonya lile tumbo linalomfanya akose akili.
Wewe usichangie sababu hukuna sehemu umelazimishwa
 
Kwani ccm wameanza kuiba 2020 mbona tokea 1995 wanaiba

Chadema walikuwa sahihi kuigomea mwanzoni sababu wangeikubali haraka-haraka ingeleta picha mbaya kwa wanachama wao

Ukweli ni kwamba hakuna uchaguzi ambao ccm hawajaiba kura
Sasa hiyo Hali ya unafiki Lissu haitaki na amekuja kuukomesha,

Tunataka Sanduku la kura liheshimiwe.
 
Watu wanaiba wazi wazi alafu unasema sanduku la kura liheshimiwe kwa tume hii ya mchongo ya uchaguzi ambayo inapika matokeo
Ndio maana ya No Reform, no Election.

Ni kulazimisha mabadiliko ya Sheria za uchaguzi kupata Uchaguzi huru na WA HAKI.

Kulalamikia kuibiwa Kila siku ni Ujinga.
 
Una kichaa wewe, unataka nichange hela Za unga??? Siwezi toa hata Mia yangu kwa mtu mshenzi na mhuni kama Lissu….. na hatutakubali chama kife na akishindwa tutamnyonya lile tumbo linalomfanya akose akili.
Weka deposit ya hela ulizowahi kuchanga. Vinginevyo kaa kimya ukiwa unaendelea kuugulia maumivu.
 
Haya sasa chama mmepewa, tunataka kuona kinasonga mbele maana mlidhani Mbowe ndiye kikwazo. Sasa hizi kauli za bora kife zinadhihirisha chuki zenu kwa Mbowe, hasa wewe Tindo.
Kisonge mbele mara mbili? Ama nyie mmeshahama chama?
 
Amesema chama ni mali ya wanachama, inabidi wachange. Amesema wakae kama chama wajue huyu mtoto wanamleaje.

Vema kabisa na si vema kama ulivyosema kutegemea fedha za Mbowe. LAKINI

Kumbuka:

1. Hakuna wa kuchanga , linapokuja suala la kuchanga watanzania ni wagumu/watu ni wagumu generally. Utaitisha michango kila siku, watakuchoka! WATACHANGA ZA KUNUUA LUKU SIYO CHOPA YA KAMPENII!, MISHAHARA and the big like!

2. CCM inapeta kwa vile wanachota huko mahali, wanachota wanavyotaka! Kumbuka Mkapa na Bilioni 300 za uchaguzi alizochota benki kuu.

Soma: Pre GE2025 - Tundu Lissu: Hatutashiriki Uchaguzi Mkuu bila Katiba Mpya na Tume Huru

3. Kumbuka una resistance ya 48% vs 52%. Hawa 48% hawatachanga

4. Mashabiki wako wengi ni lumpen proletariat...hawana hela zakuchanga

Ni hayo kwa leo
Lumpen ni labda ni wewe tu.
Chama kipitie orodha ya wanachama na kuwepo na program ya kusajili tena wanachama hasa wapya waliokuwa wamekatishwa tamaa na aina ya siasa za mbowe.
Tulipe ada na ningependekeza ada ipandishwe ili ikidhi mahitaji ya wakati.
Tupate wanachama mil 2.5 na kila mmoja alipe ada ya sh 5000 tu.
Inatosha kwa matumizi ya mwaka mzima
 
Back
Top Bottom