Tundu Lissu: CHADEMA haitakwama kwa kukosa pesa za Mbowe

Tundu Lissu: CHADEMA haitakwama kwa kukosa pesa za Mbowe

Ila chadema wapunguze kuomba omba wanakuwa omba omba kwani pesa wanayopewa na serikali kwa ajili ya kuendesha chama huwa inaenda wapi inafanha kazi gani?
Watafute wachumi bingwa na wataalam wa fedha wawashauri na ya kupata fedha bila vikwazo na kwa njia halali. Government Bond, UTT, nk
 
Hivi chadema ikiwa na wanachama milioni moja..kila mmoja akichanga hata 1500 kwa mwezi..si ni hela ya kutosha??
 
Wewe uliiona Chadema ndio Mbowe na Mbowe ndio Chadema.....
Msiishie kusema hadi mnarusha mate hadi mnatokwa ute changieni chama sio mnaikisa matumbo mnaacha wajumbe wanashalilika mahotelini
 
Ukweli mchungu ni Kwamba CHADEMA ilikua bado sana kuishi bila Mbowe…. Muda ni msemo Kweli tutajionea…. Nyie wanaharakati uchwara na wapumbavu ndo mtaiua CDM
Wanaume woga mnawatis nuksi wanaume wenzenu..wewe hofu yako iko angle gani? Khaa
 
Amesema chama ni mali ya wanachama, inabidi wachange. Amesema wakae kama chama wajue huyu mtoto wanamleaje.

Vema kabisa na si vema kama ulivyosema kutegemea fedha za Mbowe. LAKINI

Kumbuka:

1. Hakuna wa kuchanga , linapokuja suala la kuchanga watanzania ni wagumu/watu ni wagumu generally. Utaitisha michango kila siku, watakuchoka! WATACHANGA ZA KUNUUA LUKU SIYO CHOPA YA KAMPENII!, MISHAHARA and the big like!

2. CCM inapeta kwa vile wanachota huko mahali, wanachota wanavyotaka! Kumbuka Mkapa na Bilioni 300 za uchaguzi alizochota benki kuu.

Soma: Pre GE2025 - Tundu Lissu: Hatutashiriki Uchaguzi Mkuu bila Katiba Mpya na Tume Huru

3. Kumbuka una resistance ya 48% vs 52%. Hawa 48% hawatachanga

4. Mashabiki wako wengi ni lumpen proletariat...hawana hela zakuchanga

Ni hayo kwa leo

Chama kinaweza kabisa kwenda kwa michango wakijipanga.

1. Diaspora wana pesa nyingi na wanapenda demokrasia. Chadema ikijipanga na kusema wachangiwe pesa ya kupigania katiba mtaona michango mingi sana. Mimi na rafiki zangu mfano hapa diaspora tunaweza kuchangia lakini tunasubiri tuone mpango kamili ili tusaidie taifa letu.
2. Misaada ya vyama rafiki. Kama wakionyesha uadilifu na matumizi mazuri vyama rafiki vingi Duniani vipo tayari kuchangia hasa wakiweka mipango mizuri na kuwa wawazi. CCM inasaidia sana na Chama cha Kijamaa cha china! kwa mfano
3. Watanzania kwa njia ya digital card. Yaani card za mitandao na kwasasa watanzania wengi wana matumaini


Chadema kwa mpango wa mbali wanatakiwa wawe na account na wanumue Bondo za Tsh10B amabzo zinalipa 10%-14% kwa mwaka. Hili fungu likuwe mpaka Tsh30B
 
Amesema chama ni mali ya wanachama, inabidi wachange. Amesema wakae kama chama wajue huyu mtoto wanamleaje.

Vema kabisa na si vema kama ulivyosema kutegemea fedha za Mbowe. LAKINI

Kumbuka:

1. Hakuna wa kuchanga , linapokuja suala la kuchanga watanzania ni wagumu/watu ni wagumu generally. Utaitisha michango kila siku, watakuchoka! WATACHANGA ZA KUNUUA LUKU SIYO CHOPA YA KAMPENII!, MISHAHARA and the big like!

2. CCM inapeta kwa vile wanachota huko mahali, wanachota wanavyotaka! Kumbuka Mkapa na Bilioni 300 za uchaguzi alizochota benki kuu.

Soma: Pre GE2025 - Tundu Lissu: Hatutashiriki Uchaguzi Mkuu bila Katiba Mpya na Tume Huru

3. Kumbuka una resistance ya 48% vs 52%. Hawa 48% hawatachanga

4. Mashabiki wako wengi ni lumpen proletariat...hawana hela zakuchanga

Ni hayo kwa leo
Kumbuka hao 48% wengi wao walihongwa hivyo hawakuwa na mapenzi ya dhati moyoni
 
Ukweli mchungu ni Kwamba CHADEMA ilikua bado sana kuishi bila Mbowe…. Muda ni msemo Kweli tutajionea…. Nyie wanaharakati uchwara na wapumbavu ndo mtaiua CDM
Pole sana manka, kama mmeumia Mbowe kushindwa hameni chama.
 
Umaskini na unyani wa fikra unakusumbua nilikudharau sana uliposema unatamani jeshi lichukue nchi mna utoto mwingi sana watu tulikua tunachnagia hadi milioni 5 CDM Leo mnaita hela Za wauza unga!! Mna thinking Za kishenzi sana kama Za Akina Magufuli…. Uzuri haya mambo huwa hayahitaji porojo…..

Yaani seriously unasema bora chama kife?? Hizi akili Za kipumbavu na kinyani ndo Lissu anazitegemea seriously???

Siasa ni Pesa sio kuongea ongea hadi unatokwa ute mweupe mdomoni…..
Kumbe mlikua mnachangia na huku chama kikiongozwa na Tajiri Mbowe, acha na sisi tutachangia bukubuku kwa sababu kinaongozwa na mbangaizaji mwenzetu. Wengine tulidhani kipindi kinaendeshwa na Billionea watu walikua hawachangii!!.
 
Mbowe 🐼

Halafu usiwe mjinga hiyo 48% ni Watu 500 tu 😂
Hujasoma statistics, this is a representative sample....sampling...wewe ni kama ule mgomba unaoitwa Juma Mhuni, unadanganya sana kujifanya nao unatoa ndizi kume ni ndizi mhuni tu...KAMA WEWE

Sampling in research is the process of selecting a smaller group (called a "sample") from a larger population to participate in a study, allowing researchers to make inferences about the entire population by studying a manageable subset when it's impractical to examine everyone within that population.
 
Chama kinaweza kabisa kwenda kwa michango wakijipanga.

1. Diaspora wana pesa nyingi na wanapenda demokrasia. Chadema ikijipanga na kusema wachangiwe pesa ya kupigania katiba mtaona michango mingi sana. Mimi na rafiki zangu mfano hapa diaspora tunaweza kuchangia lakini tunasubiri tuone mpango kamili ili tusaidie taifa letu.
2. Misaada ya vyama rafiki. Kama wakionyesha uadilifu na matumizi mazuri vyama rafiki vingi Duniani vipo tayari kuchangia hasa wakiweka mipango mizuri na kuwa wawazi. CCM inasaidia sana na Chama cha Kijamaa cha china! kwa mfano
3. Watanzania kwa njia ya digital card. Yaani card za mitandao na kwasasa watanzania wengi wana matumaini


Chadema kwa mpango wa mbali wanatakiwa wawe na account na wanumue Bondo za Tsh10B amabzo zinalipa 10%-14% kwa mwaka. Hili fungu likuwe mpaka Tsh30B
YOUR WISHES ANYWAY! DIASPORA WANA HELA GANI, WAKO WANGAPI CHADEMA AU SPCES NDIZO ZINAKUPOTEZA
 
Uko sahihi isipokuwa kwenye suala LA CCM, Lissu alidhani kuongoza chama ni walk in the park, aka wa anamtukana Mbowe alipokuwa anakopa mahali tofauti ili chama kijiendeshe
 
Back
Top Bottom