Tundu Lissu: CHADEMA haitakwama kwa kukosa pesa za Mbowe

Tundu Lissu: CHADEMA haitakwama kwa kukosa pesa za Mbowe

Amesema chama ni mali ya wanachama, inabidi wachange. Amesema wakae kama chama wajue huyu mtoto wanamleaje.

Vema kabisa na si vema kama ulivyosema kutegemea fedha za Mbowe. LAKINI

Kumbuka:

1. Hakuna wa kuchanga , linapokuja suala la kuchanga watanzania ni wagumu/watu ni wagumu generally. Utaitisha michango kila siku, watakuchoka! WATACHANGA ZA KUNUUA LUKU SIYO CHOPA YA KAMPENII!, MISHAHARA and the big like!

2. CCM inapeta kwa vile wanachota huko mahali, wanachota wanavyotaka! Kumbuka Mkapa na Bilioni 300 za uchaguzi alizochota benki kuu.

3. Kumbuka una resistance ya 48% vs 52%. Hawa 48% hawatachanga

4. Mashabiki wako wengi ni lumpen proletariat...hawana hela zakuchanga

Ni hayo kwa leo
Mangi umenuna.
Mambo hayaendi hivi
 
Amesema chama ni mali ya wanachama, inabidi wachange. Amesema wakae kama chama wajue huyu mtoto wanamleaje.

Vema kabisa na si vema kama ulivyosema kutegemea fedha za Mbowe. LAKINI

Kumbuka:

1. Hakuna wa kuchanga , linapokuja suala la kuchanga watanzania ni wagumu/watu ni wagumu generally. Utaitisha michango kila siku, watakuchoka! WATACHANGA ZA KUNUUA LUKU SIYO CHOPA YA KAMPENII!, MISHAHARA and the big like!

2. CCM inapeta kwa vile wanachota huko mahali, wanachota wanavyotaka! Kumbuka Mkapa na Bilioni 300 za uchaguzi alizochota benki kuu.

3. Kumbuka una resistance ya 48% vs 52%. Hawa 48% hawatachanga

4. Mashabiki wako wengi ni lumpen proletariat...hawana hela zakuchanga

Ni hayo kwa leo
Naona mpaka sasa hamuamini CHADEMA kuongozwa na wakuja! Mshafanya chama cha ukoo bin kabla ehhh... Wacha sindano iwaingie... 😁 😁
Jipeni moyo mtazoea tu 😁 🙏
 
Wewe retired ulidhani CHADEMA ni Mali ya mtu binafsi?

Watu walikuwa hawachangi sababu walikuwa Kuna uhuni.

Hivi sasa Kuna mtu serious kuongoza harakati za kupatikana Tume huru ya Uchaguzi na Katiba mpya,

Babu zetu walimchangia Nyerere kudai uhuru, iweje tushindwe kuchangiwa harakati kupata Sanduku la kura lisilonajisiwa?

Tunaweza.
Atashangaa watu watakavyokuwa na muamko wa kuchanga kwani wana uhakika pesa zao kutumika vizuri.

Mbowe alikuwa anajipendelea anakusanya mapato anapanda chopa wenzage wakila vumbi barabarani
 
Amesema chama ni mali ya wanachama, inabidi wachange. Amesema wakae kama chama wajue huyu mtoto wanamleaje.

Vema kabisa na si vema kama ulivyosema kutegemea fedha za Mbowe. LAKINI

Kumbuka:

1. Hakuna wa kuchanga , linapokuja suala la kuchanga watanzania ni wagumu/watu ni wagumu generally. Utaitisha michango kila siku, watakuchoka! WATACHANGA ZA KUNUUA LUKU SIYO CHOPA YA KAMPENII!, MISHAHARA and the big like!

2. CCM inapeta kwa vile wanachota huko mahali, wanachota wanavyotaka! Kumbuka Mkapa na Bilioni 300 za uchaguzi alizochota benki kuu.

Soma: Pre GE2025 - Tundu Lissu: Hatutashiriki Uchaguzi Mkuu bila Katiba Mpya na Tume Huru

3. Kumbuka una resistance ya 48% vs 52%. Hawa 48% hawatachanga

4. Mashabiki wako wengi ni lumpen proletariat...hawana hela zakuchanga

Ni hayo kwa leo
So unataka chama akishikilie Mbowe? Je akifa ghafla? Ndo wanachama waanze kujifunza hakuna kumtegemea mtu. Kumtegemea mtu mmoja ni kutaka kuolewa na huyo mtu. Hao asilimia ngapi hawataki wasichange. Ni ujinga kutehemea kusaidiwa miaka yote. Mnaweza olewa wote na pia mnampa nafasi ya kuchukua rushwa na kutakatisha kwa kujifanya anafadhili.
 
Kwahiyo mlitaka Mbowe aendelee kufanyia vikao vya chama nyumbani kwake Mikocheni pamoja na machawa wake huku Katibu mkuu akibakia ofisini hana la kufanya? Nyie mnakera sana. Kwamba Chadema chini ya Mbowe ilikuwa njia sahihi? Au hamjui? Ulizeni hali ilivtokuwa tuwaambieni!
Ukweli mchungu ni Kwamba CHADEMA ilikua bado sana kuishi bila Mbowe…. Muda ni msemo Kweli tutajionea…. Nyie wanaharakati uchwara na wapumbavu ndo mtaiua CDM
 
Atashangaa watu watakavyokuwa na muamko wa kuchanga kwani wana uhakika pesa zao kutumika vizuri.

Mbowe alikuwa anajipendelea anakusanya mapato anapanda chopa wenzage wakila vumbi barabarani
Watanzania Si wajinga.

Kiongozi Leo aseme hatambui matokeo,

Kesho huyo huyo anayatambua Kisha anapokea ruzuku,

Kesho anakuja kuchangisha tena,🤔
 
hao watanzagiza huwa mnawalaumu bure tu, hivi per capital income ya mtanzagiza ni kiasi gani? ni watanzagiza wangapi baada ya kulipia mahitaji yote ya lazima atabakiza fedha ya kulipia chama cha siasa? wakati mwingine nafikiri mko sooo out of touch, kama anataka fedha kuna matajiri nje na ndani ya nchi akafanye lobying wachangie lkn kulaumu watanzagiza “wagumu kuchanga” siyo fair na hata ni dhambi kwa Mungu …
 
Amesema chama ni mali ya wanachama, inabidi wachange. Amesema wakae kama chama wajue huyu mtoto wanamleaje.

Vema kabisa na si vema kama ulivyosema kutegemea fedha za Mbowe. LAKINI

Kumbuka:

1. Hakuna wa kuchanga , linapokuja suala la kuchanga watanzania ni wagumu/watu ni wagumu generally. Utaitisha michango kila siku, watakuchoka! WATACHANGA ZA KUNUUA LUKU SIYO CHOPA YA KAMPENII!, MISHAHARA and the big like!

2. CCM inapeta kwa vile wanachota huko mahali, wanachota wanavyotaka! Kumbuka Mkapa na Bilioni 300 za uchaguzi alizochota benki kuu.

Soma: Pre GE2025 - Tundu Lissu: Hatutashiriki Uchaguzi Mkuu bila Katiba Mpya na Tume Huru

3. Kumbuka una resistance ya 48% vs 52%. Hawa 48% hawatachanga

4. Mashabiki wako wengi ni lumpen proletariat...hawana hela zakuchanga

Ni hayo kwa leo
CHADEMA wamezoea kujitegemea, (kujitolea)
 
Yuko sawa! Bado Chama kinapokea Ruzuku kila mwezi kwa sababu ya Wale covid 19 na yule Mama wa Rukwa!
Chadema haitakufa bali itaishi!
Chama ni watu, na tumeshuhudia hamasa kubwa ya watu juu ya chadema.
Uongozi mpya ukienda na hii trend mapema otaimarisha chama sana
 
1. Hakuna wa kuchanga , linapokuja suala la kuchanga watanzania ni wagumu/watu ni wagumu generally. Utaitisha michango kila siku, watakuchoka! WATACHANGA ZA KUNUUA LUKU SIYO CHOPA YA KAMPENII!, MISHAHARA and the big like!
Acha uongo, hizo ofisi za wilaya, majimbo na kanda zimejengwa na makao makuu? Miaka yote huko chini wanajiendesha kwa michango hata ruzuku hawaijui ni nini.

Yaani nyie team mbowe hamjitambui kabisa, malipo ya kadi tu yanatosha kama mfumo utawekwa vizuri. Ukiwa na database ya 1m members and fans wakalipa tu hiyo 2000 kwa mwaka ni zaidi ya 2 Billion nje ya ruzuku.
 
Kama mashabiki wa Team ya Simba walichanga zaidi ya milioni 68 ndani ya siku zisizozidi 5 itakuwa kwa wanachama Nchi nzima, muhimu ielezwe matumizi yake na kuwe na uwazi kwa viongozi juu ya kiasi kilichochngwa na matumizi yake
Usilinganishe ushabiki wa mpira na siasa

Nchi hii watu wako tayari kuchangia timu yao au hata kuifata inakocheza kwa gharama zao lakini sio siasa
 
Amesema chama ni mali ya wanachama, inabidi wachange. Amesema wakae kama chama wajue huyu mtoto wanamleaje.

Vema kabisa na si vema kama ulivyosema kutegemea fedha za Mbowe. LAKINI

Kumbuka:

1. Hakuna wa kuchanga , linapokuja suala la kuchanga watanzania ni wagumu/watu ni wagumu generally. Utaitisha michango kila siku, watakuchoka! WATACHANGA ZA KUNUUA LUKU SIYO CHOPA YA KAMPENII!, MISHAHARA and the big like!

2. CCM inapeta kwa vile wanachota huko mahali, wanachota wanavyotaka! Kumbuka Mkapa na Bilioni 300 za uchaguzi alizochota benki kuu.

Soma: Pre GE2025 - Tundu Lissu: Hatutashiriki Uchaguzi Mkuu bila Katiba Mpya na Tume Huru

3. Kumbuka una resistance ya 48% vs 52%. Hawa 48% hawatachanga

4. Mashabiki wako wengi ni lumpen proletariat...hawana hela zakuchanga

Ni hayo kwa leo
Watu wafupi huwa na akili fupi sana.
Watu wafupi wengi ni wajinga.
 
Back
Top Bottom