johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Sisi tunaomjua Mbowe tangu akiwa mlinzi pale BoT tunaamini ulimi haukuteleza!Jo unatia aibu kwa kijadili vijineno vya kitoto!
Katiba ya CCM ni ya 1977
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisi tunaomjua Mbowe tangu akiwa mlinzi pale BoT tunaamini ulimi haukuteleza!Jo unatia aibu kwa kijadili vijineno vya kitoto!
Achana na Vyama vya kwenye makaratasi. Vyama vya Mtungi hakuna vyama hapoHahahah jomba ,,Tanzania Ina jumla ya Vyama 23 kama sijakosea..pls correct if am wrong
Ruzuku mlianza kupokea kitambo sanaBado ni Haramu ndio maana kuna maridhiano.
Na kupokea ruzuku ni matokeo ya maridhiano na si matokeo ya Uchaguzi
Roho inakuuma?Ruzuku mlianza kupokea kitambo sana
Mnamsumbua bure Kibatala na Covid 19Roho inakuuma?
Nimesha Seema Chadema kuwa fukuza wale uviko 19 ni ngumu Sana watarudi vzr sanaSo uchaguzi wa 2020 ni halali ama sio halali? Ruzuku inatokana na kina Mdee? So ni wabunge halali?
Sasa hiyo ni Ruzuku, Asali au Bakshish!?Bado ni Haramu ndio maana kuna maridhiano.
Na kupokea ruzuku ni matokeo ya maridhiano na si matokeo ya Uchaguzi
Wewe ni wa kupuuza tuuSisi tunaomjua Mbowe tangu akiwa mlinzi pale BoT tunaamini ulimi haukuteleza!
Katiba ya CCM ni ya 1977
Hahaha Ina maana havina wanachama jomba..?? Unajua Kuna criteria za kuwa Vyama vya siasa..na idadi ya wanachama ni mojawapoAchana na Vyama vya kwenye makaratasi. Vyama vya Mtungi hakuna vyama hapo
Makamu Mwenyekiti Mh Tundu Lissu akiwa ktk mtandao wa Club house ameweka wazi kuwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo kimeanza kupokea Ruzuku Mwezi huuuliopita.
Makamu huyo nguli wa sheria na siasa bora Tanzania ametumia nafasi hiyo kuwapongeza watanzania waliokiunga mkono chama hicho kikiwa katika hali ngumu ya kifedha.
" wanachama wetu na wafuasi waliendelea kufanya kazi za chama bure kabisa bila malipo, na hii inaonesha kuwa Chama chetu ni chama cha watu."
Sababu huujui ukweliWewe ni wa kupuuza tuu
Sasa jomba we unazungumzia chama gani..kwa sababu Chadema Wana Mbunge mmoja tu..wale wengine Covid 19 wametemwa zamani ingawa ruzuku yao inaendelea kuchukuliwa... Hahahah..sijaelewa hapa wajameniAchana na Vyama vya kwenye makaratasi. Vyama vya Mtungi hakuna vyama hapo
Labda yeye ndio Kaanza kuionaRuzuku mlianza kupokea kitambo sana
Hatuisifu sirikali ya Mama ila ni haki zetu. Mungu amzidishie afya njema na ulinzi tele. Aliyetembea na kuvukia ngambo akwame huko huko. Period!Makamu Mwenyekiti Mh Tundu Lissu akiwa ktk mtandao wa Club house ameweka wazi kuwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo kimeanza kupokea Ruzuku Mwezi huuuliopita.
Hii ni hatua nyingine ya matunda ya maridhiano yanayoendelea baina ya chama hicho na serikali.
Swali la msingi ni jee msimamo wao wa kutoshiriki uchaguzi wowote bila Katiba Mpya uko pale pale? Au maridhiano yanawafanya waamini kuwa haki itatendeka?Makamu Mwenyekiti Mh Tundu Lissu akiwa ktk mtandao wa Club house ameweka wazi kuwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo kimeanza kupokea Ruzuku Mwezi huuuliopita.
Hii ni hatua nyingine ya matunda ya maridhiano yanayoendelea baina ya chama hicho na serikali.
Chadema ndo chama pekee Cha upinzani hapa nchini... hivyo vingine ni wavuvi na maswahiba wa ccm ... chama hakina wanachama 20 nchi nzima??? Kikitaka kufanya mkutano mkuu kinaazima wanachama kutoka ccmHahahah jomba ,,Tanzania Ina jumla ya Vyama 23 kama sijakosea..pls correct if am wrong
Hiyo ni Saccos ya Mbowe, nyie wengine ni wavamizi.Wajenge ofisi sasa, japo tumewaona hawana msimamo.
Njaaa ilikua bado iko miguuni.Mbona hatukuchukua 2021 na 2022?
Kwa majina ubaoni pale Kwa msajili, huku mtaani hakuna anayeiulizia KATIBA au Tume huru ukiacha CDM na UMOJA- wa Bavicha.Hahahah jomba ,,Tanzania Ina jumla ya Vyama 23 kama sijakosea..pls correct if am wrong
Sasa jomba we unazungumzia chama gani..kwa sababu Chadem Wana Mbunge mmoja tu..wale wengine Covid 19 wametemwa zamani ingawa ruzuku yao inaendelea kuchukuliwa...hahahah..sijaelewa hapa wajameni