Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Ulitakaje sasa?Abdul Nondo kachokoza Mada
Tundu Lisu kamaliza kila kitu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulitakaje sasa?Abdul Nondo kachokoza Mada
Tundu Lisu kamaliza kila kitu
Tunywe mtori Nyama utazikuta chini!Ulitakaje sasa?
Leo ibarikiwe chadema sio manyumbu te na?Mungu ibariki CCM na CDM.
Kwa hiyo ACT imekuwa msemaji mkuu wa chadema? Hii nchi ngumu sanaNdio maana tumeona uswahiba wa ghafla baina ya pande hizi mbili "CCM" na "CHADEMA"
Ndio maana tunaona nguvu mpya ya Mikutano na maandamano ya Bodaboda...
Langu lilikuwa ni kuhusu ACT W kuikanusha taarifa iliyopokelewa na nyie akina voicer bila kuwa na subira.Mimi siko humu kusaka legitimacy ya kufanya siasa!
Ni kwa akili mfu kama zako ndio unaendelea kuamini hicho una hokisema...
Aione ErythrocyteKama mnao ubavu ebu jaribuni kuwajibu badala ya kushupaza shingo upande mmoja?
Ruzuku imepokelewa au haijapokelewa...
"Lissu kadhibitisha club house Jana" voicerLangu lilikuwa ni kuhusu ACT W kuikanusha taarifa iliyopokelewa na nyie akina voicer bila kuwa na subira.
MARIDHIANO yanawatoa POVU ZITO ACTNdio maana tumeona uswahiba wa ghafla baina ya pande hizi mbili "CCM" na "CHADEMA"
Ndio maana tunaona nguvu mpya ya Mikutano na maandamano ya Bodaboda...