Tarehe ya uchaguzi ndo ilikuwa halali siyo uchaguzi wenyewe. Wacha uwongo bwashe. Kumbuka huu ni mwezi mtukufu kwa wakristu.Ule uchaguzi ni halali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tarehe ya uchaguzi ndo ilikuwa halali siyo uchaguzi wenyewe. Wacha uwongo bwashe. Kumbuka huu ni mwezi mtukufu kwa wakristu.Ule uchaguzi ni halali
Endelea kuamini ccmKumwamini mpinzani LAZIMA uwe chizi
unalazimisha uwanachama na mbowe badala ya chongolo na msukuma hahahaaaaa.Ni jambo jema
Mbowe: Wanachama wenzangu wa CCM
Kikosi kazi kilishauri katiba mpya iwe baada ya 2025 na Chadema huenda wameona hawawezi tena kushinikiza hilo.......ila huenda wenye nchi wakafanya marekebisho kadhaa tu kwenye sheria za uchaguzi ili kuipaka rangi hiyo NEC.Swali la msingi ni jee msimamo wao wa kutoshiriki uchaguzi wowote bila Katiba Mpya uko pale pale? Au maridhiano yanawafanya waamini kuwa haki itatendeka?
Amandla...
Wenzako wanapokea ruzuku za akina Halima Mdee 😂Tarehe ya uchaguzi ndo ilikuwa halali siyo uchaguzi wenyewe. Wacha uwongo bwashe. Kumbuka huu ni mwezi mtukufu kwa wakristu.
😆unalazimisha uwanachama na mbowe badala ya chongolo na msukuma hahahaaaaa.
Ndio maana yakeKwahiyo covid-19 wanatambulika na chadema?
Hawatambuliki tangu mwanzo chadema ilishajivua kw akuwafukuza uanachama. Hao wamebaki ni wabunge Dr Tulia tuKwahiyo covid-19 wanatambulika na chadema?
[emoji23][emoji23][emoji23]Si nilikuwa nakwambia hapa kila siku ukawa unakomaza shingo?Wajenge ofisi sasa, japo tumewaona hawana msimamo.
Ni ngumu kwa nyie mataahira ya Mbowekwahiyo tunakwenda kuwaridhia covid-19! Siasa ngumu sana!
Ukichukua akili zako kwa Mbowe utaelewa nini kamaanisha huyo msemaji wa ACTMsemaji wa ACT ni kama amnazo kt siasa, unampongeza Samia kushiriki kongamano la Bawacha, maanake samia atashirikiana na wamama wa CDM kisha unailaumu CDM kuchukua ruzuku toka serikalini...
Unapata tabu sana kuitetea chademafake news imewanasa wajingawajinga wa lumumba wale buku saba huku mamayenu akienda kukabidhiwa kadi ya chadema kule moshi na hamshtuki hahahaaaa kweli ccm inamabongolala ndio maana hata katibu mkuu wenu mmemtelekeza wakati anamikutano kila siku.
Sasa ulifikiri Lema na kule kulegea kwa Mbowe ni bure bure?Milioni Mia 898,,ccm na CDM ni wakwapuaji wa hazina...Hivi kumbe kupiga siasa kuna faida kiasi hiki
Una uliza makofi polisi?Kwa hiyo Covid 19 ni rukra, au sielewi?
Mbowe akiamua nyie takataka mtafanya nini?Kwahiyo covid-19 wanatambulika na chadema?
Mbowe mwenyewe akiona hizi coment zako atakucheka kwa dharau sanaHawatambuliki tangu mwanzo chadema ilishajivua kw akuwafukuza uanachama. Hao wamebaki ni wabunge Dr Tulia tu