Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
~ Ndio maana tumeona uswahiba wa ghafla baina ya pande hizi mbili CCM na CHADEMA.
~ Ndio maana tunaona nguvu mpya ya Mikutano na Maandamano ya Bodaboda!
~ Ndio Maana tunaona sasa mmepata nguvu ya kutangaza operesheni mpya kuzunguka nchi bila ukomo!
Kumbe Uongozi wa CHADEMA umekwisha pokea ruzuku ya zaidi ya Tsh. milioni 898 kibindoni kimyakimya! La kustaabisha ni pale ambapo majukwaani hamsemi haya mambo! Na badala yake mmepiga kimya, huku mkihadaa wananchi na wafuasi wenu kwamba hamuutambui Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020!
Wakati kiuhalisia mmekwisha utambua huo Uchaguzi na ndio maana mnamtambua pia Rais wa JMT na kumuunga mkono. Na ndio maana mmeipokea rasmi hiyo Ruzuku! Tatizo mnaona aibu kuhusu kuwatambua wale wabunge 19 wa viti maalumu, ingawa tunatambua kwamba pumzi ya ufuatiliaji wa kesi ile imepungua na ni kama haipo kabisa!
Sasa macho na miwani imeelekezwa kwenye hizi milioni 898 za Ruzuku.
View attachment 2538843CHADEMA yatangaza kuanzisha Operesheni Maalum nchi nzima kwa Mwaka Mzima bila kukoma
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimetangaza Operesheni kabambe ya kuzunguka Nchi nzima kuelimisha na kuamsha wananchi Nchi nzima. Operesheni hiyo ambayo Jina lake linahifadhiwa kwa sasa imetangazwa na Mwenyekiti wa Chama hicho , Freeman Mbowe alipokuwa anaongea na Waandishi wa...www.jamiiforums.com
Ebu kama mnayo pumzi muwajibu ACT-Wazalendo kutokana na huo waraka wao!
Wale wazee wa Povu! Mlilete taratibu... Mlete majibu yenu, na sio Matusi yenu!
kadhibitisha kupitia wewe huko club house hahaaaaa uvccm bongolala kabisa 2025 si mtataga kama mapema hivi mmechanganyikiwa."Lissu kadhibitisha club house Jana" voicer
kama yule mungu wao alitakachadema ife akafa yeye sembuse kauli za mataga wa buku saba hao watakuwa wanasubir embe lidondoke kwenye mgunga.Kusubiri chadema ife ni sawa na kutumia choo ndotoni
Tundu anasema kikao Kamati Kuu kimekaa Jmosi mchana. Kabla Katibu Mkuu hajamaliza kuchakata maazimio na kutoa taarifa rasmi Jpili wameshaleakisha taarifa. Tundu anadai taarifa rasmi inatolewa na Ofisi ya Katibu Mkuu na ina mchakato unaweza kuchukua siku moja au mbili.Unapokea ruzuku kisha unakaa kimya mpaka wengine waseme kwa niaba yenu? kwani hiyo taarifa kutolewa mpaka ruhusa itoke mbinguni?
Chadema wamelala.
Swadakta" wanachama wetu na wafuasi waliendelea kufanya kazi za chama bure kabisa bila malipo, na hii inaonesha kuwa Chama chetu ni chama cha watu."
[emoji1545]
Kwa mambo haya mazuri Mungu amesaidia sana CCM are changing for Good under SamiaMungu ibariki CCM na CDM
Tafadhali soma coment no 62Isingekuwa ACT kuliibua hili,wangeendelea kukaa kimya.
Wanapokataa jambo wanaita press,ni busara wanapobadili msimamo kuita press pia.
Wanapaswa watoke nje waseme wameridhiana hiki na kile.
Mama ameamua kuacha dhambi z mauaji. Lazima tukae pamoja tumtie moyo
Kwa mambo na mabadiliko yanayoendelea ndani ya Maridhiano na Utashi wa Rais Samia itakuwa ni ujinga kugomea mambo mazito kama Katiba Mpya na Tume huru ya Uchaguzi eti kwa sababu ya covid 19 ambao hawana faida kwa chama zaidi ya kupigiwa chapuo na ccm.kwahiyo tunakwenda kuwaridhia covid-19! Siasa ngumu sana!
Katiba Mpya na Tume huru ya Uchaguzi. Kumbuka hapa unaridhiana na mtu mwenye msumeno kwenye mpini wewe umeshika makali. Lazima busara itumike"Mambo makubwa" inayobaki nayo CHADEMA ni yapi ambayo yatakuwa ni tofauti na yale ya CCM ya Samia? Majimbo...
Bado ni Uchafuzi. Tar 8 tukutane Bawacha.Wanapenda hela hawa watu🤣 so uchaguzi wa 2020 wanautambua au?