Uchaguzi 2020 Tundu Lissu haijui vizuri siasa, wamjenge kisaikolojia asije kupata tena maumivu mengine

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu haijui vizuri siasa, wamjenge kisaikolojia asije kupata tena maumivu mengine

Ni kweli Tundu hajui kushika bunduki, kuteka wala kupoteza watu, na hata kubambikia wengine kesi.
Ukweli unauma sana hata hvy CCM ya Leo hata akigombea yeyote nakuhakikishia CCM itajipunguzia ushindi ww unadhani Tundu Lisu hata apitishwe atakuwa na hoja gani zaidi ya kusema alipigwa risasi 16. Hili nalo ni kosa jingine alipaswa kutoongelea kabisa shambulio lake aziachie mamlaka ndizo zenye uwezo wa kujua hayo yote.
 
Na mwaka huu lazima uruke kichaa kwa sababu ya Lissu maana anavyokuchanganya inaelekea hata kula huli. Jiandae tu kumkabidhi ikulu hapo October 2020. Amini nakwambia huyu ndo Raisi wako wa Jamhuri ya Muungano Tanzania coming October 2020
 
Na mwaka huu lazima uruke kichaa kwa sababu ya Lissu maana anavyokuchanganya inaelekea hata kula huli. Jiandae tu kumkabidhi ikulu hapo October 2020. Amini nakwambia huyu ndo Raisi wako wa Jamhuri ya Muungano Tanzania coming October 2020
Ukweli unauma sana hata hvy CCM ya Leo hata akigombea yeyote nakuhakikishia CCM itajipunguzia ushindi ww unadhani Tundu Lisu hata apitishwe atakuwa na hoja gani zaidi ya kusema alipigwa risasi 16. Hili nalo ni kosa jingine alipaswa kutoongelea kabisa shambulio lake aziachie mamlaka ndizo zenye uwezo wa kujua hayo yote.
 
Haiwezekani mtu aogopwe na Mkulu halafu mseme hafai kugombea tunapiga kwenye maumivu hapo hapo, Lissu for president.
 
Ukweli unauma sana hata hvy CCM ya Leo hata akigombea yeyote nakuhakikishia CCM itajipunguzia ushindi ww unadhani Tundu Lisu hata apitishwe atakuwa na hoja gani zaidi ya kusema alipigwa risasi 16. Hili nalo ni kosa jingine alipaswa kutoongelea kabisa shambulio lake aziachie mamlaka ndizo zenye uwezo wa kujua hayo yote.
Huoni hoja za Lissu kwenye uchaguzi huu??? Hata mwanafunzi wa form four tu Mwenye uelewa hawezi kukosa hoja za kupambana na JPM mwaka huu.

Mtu aliyeharibu vibaya sana uchumi wa nchi kupelekea vijana na watu wengi kupoteza na kukosa ajira jioni kama iyo ni hoja????

Mtu ameharibu biashara ya mazao kama korosho, mbaazi na mahindi na kupelekea umasikini mkubwa kwa watanzania unadhani hiyo sio hoja????

Mtu kwa kauli zake tu alisababisha bei ya sukari kupanda kutoka 1800 mpaka 2500 hiyo unaona sio hoja?????

Mtu ambayo kwa miaka 5 yeye na watendaji wake wanekuwa wakinyanyasa watumishi wa umma na kupelekea hata mishahara kutoongezwa kwa miaka 5 unaona hilo sio hoja????
 
Uzuri Lissu anajitete mwenyewe hana haja ya kutetewa.
 
Huu ni mtihani mgumu kati ya wenye chama, watafuta masilahi kupitia chama, wanachama na mashabiki wa chama. kundi mojawapo lazima liibuke na ushindi. Muhimu kuliko vyote ni mini itakuwa hatima ya ushindi huo.
 
Haiwezekani mtu aogopwe na Mkulu halafu mseme hafai kugombea tunapiga kwenye maumivu hapo hapo, Lissu for president.
Ukweli unauma sana hata hvy CCM ya Leo hata akigombea yeyote nakuhakikishia CCM itajipunguzia ushindi ww unadhani Tundu Lisu hata apitishwe atakuwa na hoja gani zaidi ya kusema alipigwa risasi 16. Hili nalo ni kosa jingine alipaswa kutoongelea kabisa shambulio lake aziachie mamlaka ndizo zenye uwezo wa kujua hayo yote.
 
Kwa hiyo kupita bila kupingwa ni heshima? Ulitaka CHADEMA wachapishe form moja kama CCM?

Ndugu jaribu basi kuficha upumbavu wako hata kidooooogo. Nina uhakika angepitishwa bila kupingwa ungekuwa wakwanza kuleta uzi wa kupinga hilo kwa vigezo vyote. Tulia.
 
Lissu anawakosesha sana usingizi
Ukweli unauma sana hata hvy CCM ya Leo hata akigombea yeyote nakuhakikishia CCM itajipunguzia ushindi ww unadhani Tundu Lisu hata apitishwe atakuwa na hoja gani zaidi ya kusema alipigwa risasi 16. Hili nalo ni kosa jingine alipaswa kutoongelea kabisa shambulio lake aziachie mamlaka ndizo zenye uwezo wa kujua hayo yote.
 
Ukweli unauma sana hata hvy CCM ya Leo hata akigombea yeyote nakuhakikishia CCM itajipunguzia ushindi ww unadhani Tundu Lisu hata apitishwe atakuwa na hoja gani zaidi ya kusema alipigwa risasi 16. Hili nalo ni kosa jingine alipaswa kutoongelea kabisa shambulio lake aziachie mamlaka ndizo zenye uwezo wa kujua hayo yote.
Mamlaka zipi? Kwahiyo Lissu kupigwa risasi 16 sio issue ila Mwenyekiti wa CCM kupokea jogoo huko barabarani kwenu ni issue.
 
Kwahiyo kupita bila kupingwa ni heshima? Ulitaka CHADEMA wachapishe form moja kama CCM? Ndugu jaribu basi kuficha upumbavu wako hata kidooooogo. Nina uhakika angepitishwa bila kupingwa ungekuwa wakwanza kuleta uzi wa kupinga hilo kwa vigezo vyote. Tulia.
Ukweli unauma sana hata hvy CCM ya Leo hata akigombea yeyote nakuhakikishia CCM itajipunguzia ushindi ww unadhani Tundu Lisu hata apitishwe atakuwa na hoja gani zaidi ya kusema alipigwa risasi 16. Hili nalo ni kosa jingine alipaswa kutoongelea kabisa shambulio lake aziachie mamlaka ndizo zenye uwezo wa kujua hayo yote.
 
Mamlaka zipi? Kwahiyo Lissu kupigwa risasi 16 sio issue ila Mwenyekiti wa CCM kupokea jogoo huko barabarani kwwnu ni issue.
Si kupokea jogoo tu na kumtafutia bibi ubavu wa pili.
 
Mamlaka zipi? Kwahiyo Lissu kupigwa risasi 16 sio issue ila Mwenyekiti wa CCM kupokea jogoo huko barabarani kwwnu ni issue.
Ukweli unauma sana hata hivyo CCM ya Leo hata akigombea yeyote nakuhakikishia CCM itajipunguzia ushindi wewe unadhani Tundu Lisu hata apitishwe atakuwa na hoja gani zaidi ya kusema alipigwa risasi 16. Hili nalo ni kosa jingine alipaswa kutoongelea kabisa shambulio lake aziachie mamlaka ndizo zenye uwezo wa kujua hayo yote.
 
Back
Top Bottom