Uchaguzi 2020 Tundu Lissu haijui vizuri siasa, wamjenge kisaikolojia asije kupata tena maumivu mengine

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu haijui vizuri siasa, wamjenge kisaikolojia asije kupata tena maumivu mengine

Umeandika kihunihuni kumpitisha mtu bila kupingwa ni kutoheshimu kazi nzuri ya uumbaji. Ni kuto kujali utajiri wa Mungu.
 
Nashangaa sana sikuhizi Ccm mumekuwa washauri wazuri wa Chadema.

Mimi binafsi ningependa asimame Nyalandu,lakini sipendi ma ccm yanavyokuja na ushauri wao
 
Nigrastratatract, Naona umeandika hujui hata vifungu vinavyoweza kumfanya mtu akose sifa za kuwa mgombea .. unaijua sheria ya uchaguzi kuliko Lissu na chadema?

Lissu alishawahi kufungwa? Alishawahi kukwepa Kodi? Kuvuliwa ubunge na yule spika uchwara ndo kigezo cha kukosa sifa? Tunamleta Lissu mpende msipende ..tunajua mnamhofia ndio maana mnaandika upimbi mwiiiiiingi eti amekosa sifa ..sifa gani hizo za kujinga?

Mlisema hawezi kurudi .. sasa karudi, mkasema akifika tu atakamatwa, lakini holaa hakukamatwa Zaidi Zaidi polisi wakawa wanampigia salute ...weee endelea kuweweseka tu
 
kuna mchezo unaendelea wa kumtoa mtu kwenye reli...tena masukudi

na kwa aina ya mapokezi yake Lisu anakubalika,raia hawakuogopa zaidi walitumia mbinu zote kufika JKNA

CDM wakimwacha Lissu wakapimwe akili walahi
 
kuna mchezo unaendelea wa kumtoa mtu kwenye reli...tena masukudi

na kwa aina ya mapokezi yake Lisu anakubalika,raia hawakuogopa zaidi walitumia mbinu zote kufika JKNA

CHADEMA wakimwacha Lissu wakapimwe akili walahi
Mipango ni mingi hata kumtia ndani mpaka baada ya uchaguzi wangeweza wangefanya.
 
TUNDU LISSU akae chini atulize kichwa ajiulize kuwa kwa nini chama hakimpi heshima anayoistahili ya kupita bila kupingwa?

Chama kinajua ukweli kuwa Tundu Lissu amepoteza sifa za kuomba ridhaa ya kuchaguliwa nafasi yoyote ya kisiasa kwa kukiaka masharti ya watumishi wa umma baada ya kuvuliwa nafasi ya Ubunge.

Lissu ni mwanasheria mzuri anaujua ukweli ila anataka kulazimisha kinyume na utaratibu ili ionekane kwamba ameonewa ili hali anajuaa wazi kuwa hawezi kuwa mgombea kwa miaka hii mitano.

CHADEMA wanashindwa kumwambia Lissu ukweli kwamba ameshapoteza sifa za kugombea nafasi yoyote ya kisiasa Tanzania.

CHADEMA wangekuwa hawana hvy vizingiti Tundu Lisu angekuwa mwenyewe.

Kingine Tundu Lisu ana kesi nyingi zinazomkabili ukizingatia kuwa tarehe 26/08/2020 ana kesi ina msubiri mahakamani.

Vyote hivi vikwazo vinawapa shida sn CHADEMA kuamua hatima ya ugombea wa Lisu wakicheza wanaweza kukosa mgombea kabisa wanaweza wakalichukulia poa hili jambo lakini ndivyo ilivyo.

Lakini pia kuna habari za chini ya kapeti zinazoonyesha kuwa wale mabwenyenye wa wa Chama hawamtaki Lisu kwa aina ya siasa zake zenye msimamo mkali.

Tundu Lissu atulize akili sana ajiandae kwa lolote.
Achana na Lissu hangaikeni na kichaa wenu apite bila kupingwa
 
Wanajua wa kwao hana uwezo wa kujibu hoja zaidi ya kupaniki na kufanya vituko. Wanaccm wana jofu sana na Lissu! Wanajua atamchakaza mgombea wao vibaya kwa hoja!
 
wengine tunamtaka JK maisha yarudi poa kama zamani maana Jiwe mmmmh
 
Analysis nzuri na ya ukweli, ila hawa vijana wa Chadema, hawalioni na hawatalikubali hilo, kwani hawana logical thinking capacity.
Eti analysis nzuri na ya ukweli..pyuuuu..halafu na wewe unaweza kuwa ni graduate? Hebu tusaidie: Lissu amepotezaje sifa ya kuwa mgombea urais? Tuanzie hapa!
 
Mkuu mi naomba unifafanulie kisheria hapo kwenye kupoteza sifa ya kuwa kiongozi wa umma. Naona kama umefika hapo redio ikauma kanda
 
Na mwaka huu lazima uruke kichaa kwa sababu ya Lissu maana anavyokuchanganya inaelekea hata kula huli. Jiandae tu kumkabidhi ikulu hapo October 2020. Amini nakwambia huyu ndo Raisi wako wa Jamhuri ya Muungano Tanzania coming October 2020
Atakabidhiwa kitu kinaitwa kuru kwa lugha ya kanda ya ziwa huko ni kobe, lakii sio Ikuru.
 
Atakabidhiwa kitu kinaitwa kuru kwa lugha ya kanda ya ziwa huko ni kobe, lakii sio Ikuru.
Endelea kusapoti tu CCM kwa sababu unafaidika na ukanda. Ila watanzania wa maeneo mengine yote tumeamua. Uraisi tunaenda kumpa Tundu Antipas Lissu.
 
Ukweli unauma sana hata hvy CCM ya Leo hata akigombea yeyote nakuhakikishia CCM itajipunguzia ushindi ww unadhani Tundu Lisu hata apitishwe atakuwa na hoja gani zaidi ya kusema alipigwa risasi 16. Hili nalo ni kosa jingine alipaswa kutoongelea kabisa shambulio lake aziachie mamlaka ndizo zenye uwezo wa kujua hayo yote.
Lazma aongelee yaliyomsibu kwanza alafu aombe kura basi
 
N
Endelea kusapoti tu CCM kwa sababu unafaidika na ukanda. Ila watanzania wa maeneo mengine yote tumeamua. Uraisi tunaenda kumpa Tundu Antipas Lissu.

Ni wewe na familia yako ndo mtamchagua
Na huenda ukawa wewe mwenyewe maana kura ni siri.
Lisu muda wa kutumia elimu yake ni kurudi ulaya akamalizie umri wake.

Narudia baada ya uchaguzi atakimbia tu huyo maana usanii umemjaa na kuwahadaa nyie bavicha ili mumuone wa maana.
 
Ccm wanamtaka nyarandu ili kwenye kampeni wafukue ufisadi wake kwenye wizara ya utalii na kumfanya jiwe apite kirahisi.

Lkn bahati mbaya kwao njama zao zimegonga mwamba, tunaenda na lisu safari hii, makosa ya 2015 hayajirudii tena
 
N

Ni wewe na familia yako ndo mtamchagua
Na huenda ukawa wewe mwenyewe maana kura ni siri.
Lisu muda wa kutumia elimu yake ni kurudi ulaya akamalizie umri wake.

Narudia baada ya uchaguzi atakimbia tu huyo maana usanii umemjaa na kuwahadaa nyie bavicha ili mumuone wa maana.
Tukutane hapa October 2020
 
Back
Top Bottom