Uchaguzi 2020 Tundu Lissu haijui vizuri siasa, wamjenge kisaikolojia asije kupata tena maumivu mengine

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu haijui vizuri siasa, wamjenge kisaikolojia asije kupata tena maumivu mengine

Ukweli unauma sana hata hvy CCM ya Leo hata akigombea yeyote nakuhakikishia CCM itajipunguzia ushindi ww unadhani Tundu Lisu hata apitishwe atakuwa na hoja gani zaidi ya kusema alipigwa risasi 16. Hili nalo ni kosa jingine alipaswa kutoongelea kabisa shambulio lake aziachie mamlaka ndizo zenye uwezo wa kujua hayo yote.
Subiri uone nondo zake, mtoto Wa singida mashariki. Jpm kwa hoja hamwezi lissu
 
Chama kinajua ukweli kuwa Tundu Lissu amepoteza sifa za kuomba ridhaa ya kuchaguliwa nafasi yoyote ya kisiasa kwa kukiaka masharti ya watumishi wa umma baada ya kuvuliwa nafasi ya Ubunge.
Hili liko wazi kabisa. Tundu Lissu alipoteza ubunge wake kwa kosa la kukiuka sheria ya maadili ya viongozi wa umma No. 13 ya mwaka 1995. Ushahidi wa kosa hilo upo wazi. Mawakili wa Tundu Lissu walifungua kesi mahakama kuu kujaribu kupinga uamuzi huo wakashindwa. Hivyo Tundu Lissu hawezi kugombea ubunge au urais hadi miaka 5 ipite baada ya uamuzi huo kwa mjibu wa sheria hiyo.

Sasa sijui ni kipi chadema wanakitaka kwa kumpendekeza Tundu awe mgombea wao? Wanajua atakatwa. Jee wanataka wapate kick ya kisiasa pale NEC itakapomkata na washirika wao wa DW na BBC kiswahili kutangazia dunia kwamba kaonewa?
 
Halafu kama keshasahaulika vile?! Hata waseme nini he's not a presidential material. Ila tuwaachie wao waone utamu wa mpilipili na maua yake.
Magu ndio presidential material, mzee wa kudeal na vyoo. You cant even delegate tasks
 
Hongera mtoa mada kwa kumpa maono yako sahihi muheshimiwa Lissu.
 
Ukweli unauma sana hata hvy CCM ya Leo hata akigombea yeyote nakuhakikishia CCM itajipunguzia ushindi ww unadhani Tundu Lisu hata apitishwe atakuwa na hoja gani zaidi ya kusema alipigwa risasi 16. Hili nalo ni kosa jingine alipaswa kutoongelea kabisa shambulio lake aziachie mamlaka ndizo zenye uwezo wa kujua hayo yote.
Kwanza CCM hamjui hoja kazi yenu ni kugonga meza tu, unawezaje kujua Lisu ana hoja su hana.

Hata hoja ya kupigwa risasi 16 kwenye eneo lenye ulinzi mkali na CCTV cameras bila culprits kujulikana mpaka leo inatosha kumuondoa mgombea wa urais wa CCM.
 
Ukweli unauma sana hata hvy CCM ya Leo hata akigombea yeyote nakuhakikishia CCM itajipunguzia ushindi ww unadhani Tundu Lisu hata apitishwe atakuwa na hoja gani zaidi ya kusema alipigwa risasi 16. Hili nalo ni kosa jingine alipaswa kutoongelea kabisa shambulio lake aziachie mamlaka ndizo zenye uwezo wa kujua hayo yote.
Sasa mbona mlitoa fomu moja tu kama yeyote anafaa katika CCM
 
Ukweli unauma sana hata hvy CCM ya Leo hata akigombea yeyote nakuhakikishia CCM itajipunguzia ushindi ww unadhani Tundu Lisu hata apitishwe atakuwa na hoja gani zaidi ya kusema alipigwa risasi 16. Hili nalo ni kosa jingine alipaswa kutoongelea kabisa shambulio lake aziachie mamlaka ndizo zenye uwezo wa kujua hayo yote.
Grow up please, this is JF not Facebook
 
Tuache tumchague Lissu, mbona unatupa mbinu wakati wewe ni CCM? Tuache tuangukie pua ili ufurahi.
Hili liko wazi kabisa. Tundu Lissu alipoteza ubunge wake kwa kosa la kukiuka sheria ya maadili ya viongozi wa umma No. 13 ya mwaka 1995. Ushahidi wa kosa hilo upo wazi. Mawakili wa Tundu Lissu walifungua kesi mahakama kuu kujaribu kupinga uamuzi huo wakashindwa. Hivyo Tundu Lissu hawezi kugombea ubunge au urais hadi miaka 5 ipite baada ya uamuzi huo kwa mjibu wa sheria hiyo.

Sasa sijui ni kipi chadema wanakitaka kwa kumpendekeza Tundu awe mgombea wao? Wanajua atakatwa. Jee wanataka wapate kick ya kisiasa pale NEC itakapomkata na washirika wao wa DW na BBC kiswahili kutangazia dunia kwamba kaonewa?
 
TUNDU LISSU akae chini atulize kichwa ajiulize kuwa kwa nini chama hakimpi heshima anayoistahili ya kupita bila kupingwa?

Chama kinajua ukweli kuwa Tundu Lissu amepoteza sifa za kuomba ridhaa ya kuchaguliwa nafasi yoyote ya kisiasa kwa kukiaka masharti ya watumishi wa umma baada ya kuvuliwa nafasi ya Ubunge.

Lissu ni mwanasheria mzuri anaujua ukweli ila anataka kulazimisha kinyume na utaratibu ili ionekane kwamba ameonewa ili hali anajuaa wazi kuwa hawezi kuwa mgombea kwa miaka hii mitano.

CHADEMA wanashindwa kumwambia Lissu ukweli kwamba ameshapoteza sifa za kugombea nafasi yoyote ya kisiasa Tanzania.

CHADEMA wangekuwa hawana hvy vizingiti Tundu Lisu angekuwa mwenyewe.

Kingine Tundu Lisu ana kesi nyingi zinazomkabili ukizingatia kuwa tarehe 26/08/2020 ana kesi ina msubiri mahakamani.

Vyote hivi vikwazo vinawapa shida sn CHADEMA kuamua hatima ya ugombea wa Lisu wakicheza wanaweza kukosa mgombea kabisa wanaweza wakalichukulia poa hili jambo lakini ndivyo ilivyo.

Lakini pia kuna habari za chini ya kapeti zinazoonyesha kuwa wale mabwenyenye wa wa Chama hawamtaki Lisu kwa aina ya siasa zake zenye msimamo mkali.

Tundu Lissu atulize akili sana ajiandae kwa lolote.
 
TUNDU LISSU akae chini atulize kichwa ajiulize kuwa kwa nini chama hakimpi heshima anayoistahili ya kupita bila kupingwa?

Chama kinajua ukweli kuwa Tundu Lissu amepoteza sifa za kuomba ridhaa ya kuchaguliwa nafasi yoyote ya kisiasa kwa kukiaka masharti ya watumishi wa umma baada ya kuvuliwa nafasi ya Ubunge.

Lissu ni mwanasheria mzuri anaujua ukweli ila anataka kulazimisha kinyume na utaratibu ili ionekane kwamba ameonewa ili hali anajuaa wazi kuwa hawezi kuwa mgombea kwa miaka hii mitano.

CHADEMA wanashindwa kumwambia Lissu ukweli kwamba ameshapoteza sifa za kugombea nafasi yoyote ya kisiasa Tanzania.

CHADEMA wangekuwa hawana hvy vizingiti Tundu Lisu angekuwa mwenyewe.

Kingine Tundu Lisu ana kesi nyingi zinazomkabili ukizingatia kuwa tarehe 26/08/2020 ana kesi ina msubiri mahakamani.

Vyote hivi vikwazo vinawapa shida sn CHADEMA kuamua hatima ya ugombea wa Lisu wakicheza wanaweza kukosa mgombea kabisa wanaweza wakalichukulia poa hili jambo lakini ndivyo ilivyo.

Lakini pia kuna habari za chini ya kapeti zinazoonyesha kuwa wale mabwenyenye wa wa Chama hawamtaki Lisu kwa aina ya siasa zake zenye msimamo mkali.

Tundu Lissu atulize akili sana ajiandae kwa lolote.
LISSU KIBOKO YA CCM
 
Back
Top Bottom