Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #81
Siyo zuma tu karibu dunia nzima inajua hivyo , nitoe wito itoe tamko kukanusha hili , iweke wazi kwamba Tundu lissu ni mwanasheria mkuu wa chadema na wakili wa mahakama kuu , hajawahi kufungamana na ccm .Muulize Zuma alikuwa anajua Lisu nfio AG waTanzania..
Ushakua acha hoja za kitoto,Kama Lisu ni shujaa arudishe ile list of shame kwenye tovuti ya Chadema
Yanayozidi kuonekana sasa ni ushahidi kwamba Tundu Lissu ni kiboko !Lissu ni shujaa! Ameapa kuilinda na kuitetea katiba pamoja na sheria za nchi.
Yuko mbioni kurudi huyo mtu mjomba .kuna mtu alikuwa anaongea na kusumbua serikali kama Dr. ulimboka???
kuna mtu alikuwa anaongea na kusumbua serikali kama Dr. ulimboka???
Tatizo kubwa la huyu bwana ni kutokujua nini anachokifanya na ni kwa maslahi ya nani. Wenzie wenye akili nzuri hizi harakati wanafanyia nje ya mikoa yao. Ndiyo maana utakuta mikoa ya wafamaji wenzie at least hali si mbaya sana. MKOA anakotoka huyu bwana ni hali ngumu sana kimaendeleo. Ni moja kati ya mikoa maskini kabisa hapa Tanzania. Vita ikipiganiwa katika nchi yako, hata kama utashinda lakini utakuwa umepata hasara kubwa. Ni vema akabadili staili, badala ya kuhamasisha maandamano aanze kuhamasisha maendeleo katika mkoa wake ili awe sawa na wenzie. Kwa hilo hata mimi ningeona kama yuko vizuri.
Mungu akulinde sana ...TL alitetea wavuvi wa Rufiji delta.
..akatetea wachimbaji wa bulyankulu waliouawa kinyama kwa kufukiwa ktk migodi yao.
..hakuishia hapo ametetea wananchi wa mikoa ya Mara na Geita wafaidike na madini yanayopatikana ktk maeneo yao.
..wakati huyu akijitoa na hata kuhatarisha usalama wake wabunge wa maeneo hayo walikaa kimya huku serikali ikiingia mikataba ya kifisadi.
..leo hii kuna watu wakubwa wanakuja kulia mbele za wananchi ati nchi inaibiwa. Walikuwa wapi wakati TL akihangaika Rufiji, Bulyankulu, na kwingineko?
..TL anafanya harakati popote pale ambapo kuna ukiukwaji wa sheria na haki za binaadamu. Haijalishi ni jimboni kwake, au ktk mkoa wake.
..kama unaona hayo ni mapungufu, tueleze wananchi wa KANDA YA ZIWA wamefaidika vipi kwa wabunge wao kutokufanya harakati za kupinga uporwaji wa rasilimali zao.
..je, mwananchi wa Geita, Mara, Simiyu, Shinyanga, Tabora, ana hali nzuri ya maisha kuliko mwananchi wa jimboni kwa TL?
..kwa mtizamo wangu nchi hii inahitaji wanaharakati na wapambanaji wengi kama TL.
Ametukanwa mangapi tena ndio kwanza huwa ajali anasonga mbele kwa kasi ya kutisha!Kama siyo tusi nenda Kamuite Mbowe dikteta uchwara
Wewe unajisfia dola,kama ndivyo hata hao wabadola wakiboronga wanatiwa ndani....sema sheria ccm huwa mnadeka mnadhani dola ni ya ccm!!Kama yeye ni mbabe, saa hizi yuko wapi? Hakuna mtu anayeweza kushindana na dola, hasa katika kipindi hiki. Hata kama una pembe ngumu namna gani ni lazima hizo pembe zitang'olewa na hatimaye utashika adabu tu.
Yeah lissu ni mwanaharakati wa kisiasahuwezi kuniambia kuwa lissu ni mwanasiasa makini nikakukubalia hata kidogo huyu c mwana siasa bali ni mwanaharakati na mpiga kelele tu mwanasiasa makini cku zote. ujenga hoja zenye mashiko si kuongea kauli zenye kuvunja amani au kufanya ushawishi wowote wenye kuatalisha amani vitendo afanyavyo lissu ni vitendo vya kiharakati si kisiasa Na ni mtu ambae anataka kucheza na akili za watu kwa propaganda dhaifu na kupata attention ya vyombo vya habari lakini linapo kuja swala. la hoja zenye mashiko lissu ni mweupe huwezi hata kumlinganish@ na mnyika, zitto,
Na raisi wao pia ametuita sisi vilaza, sasa sijui hilo halioni?Mbona Nape anatukana watu na anapeta tu mtaani
Yeah kama alivyo raisi wakoAtatia akili tu na kuweza kujua nini tofauti ya sense na nonsense, siasa na harakati, kuhutubia na uchochezi.
Usalama wa wananchi hauwezi kuwekwa rehani kwa sababu ya mropokaji, mchu wa madaraka, mchumia tumbo na mtafuta kick.
Nasikia kajenga kabisa kibanda pale kisutuLissu ni shujaa. Kisutu hawana hamu na Lissu. Kaigalagaza kisutu haijapata kutokea