Tundu Lissu, hana mapenzi mema na Watanzania


Inaonesha wazi kuwa una exposure na ufahamu mdogo sana wa mambo wewe...

Hata sijaelewa exactly, what are you trying to criticise to Tundu Lissu. What I see, is just empty none sense...

Sasa kama hampendi yeye binafsi kama unavyosema, shida yako nini? Hatupendi vyote, na hatuchukii vyote. This is natural to all human beings.....

Kama ambavyo "wewe unampenda", yeye anaweza kuwa " hampendi" kweli kwa sbb alijaribu kumuua akashindwa. Kwa hiyo amefanya choice ya "kutompenda"...

Kwa hiyo wote mko sawa. You all have same share. Yeye ni yeye na wewe ni wewe...
 

Id ya 2021eti ni ya mfuasi wa cdm, hakuna mfuasi wa cdm anatetea au kumuombea jizi lolote la kura.
 
Hakuna mtu anajua uchungu wa risasi hivyo kama kweli ana amini Magu ndiye alitoa maelekezo ya yeye kupigwa hatuwezi kulazimisha mapenzi yake kwa hao wawili. Wewe na mimi hatujawahi kupigwa risasi hivyo haya hayatuhusu tuache umbeya
Umenena Mkuu. Tuna jamii ambayo inakuchomea nyumba moto usiku alafu kesho asubuhi inataka uipigie makofi.
 
Bwana Mdogo Acha kuweka tumaini lako kwa Mwanadamu
Mungu akipenda na kumchukua Raisi Maisha yataendelea na wala hakuna Mtu atakayedhurika
 
Hupendelei kuja huku ndio maana umekuwa mbumbumbu , haya hebu soma maelezo ya serikali ya Tanzania kuhusu shambulio la kishamba la Lissu

 
Tundu lissu zilishafyatuka,
 
Kwa mashambulizi yale ya risasi jijini Dodoma, kwa asilimia kubwa lazima wema umalizike.
 
Wewe ni pimbi kama mapimbi wengine ova.

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Hiyo haijawahi kujulikana nani aliye husika katika tukio lile. Au wewe unamjua?
Anaetakiwa kufanya juhudi za kumtafuta muuaji ni nani? Nani aliyetoa amri asilipiwe gharama za matibabu pamoja na kuwa ilikuwa ni stahiki yake badala yake watu ambao hawakuainishwa kisheria wakapewa kipaombele!
 
Sijaona kosa lake suala la mtu kuugua siyo Siri na hasa kiongozi mkuu. Shughuli za kawaida serikali na vyombo vote vya habari hadi vya burudani vinakuwa live kutuletea live, Sasa kwa Nini iwe Siri kusema aliko rais.
 
Ushawahi kupigwa hata manati wewe sembuse risasi utampendaje aliyeamuru upigwe risasi
 
Sijaona kosa lake suala la mtu kuugua siyo Siri na hasa kiongozi mkuu. Shughuli za kawaida serikali na vyombo vote vya habari hadi vya burudani vinakuwa live kutuletea live, Sasa kwa Nini iwe Siri kusema aliko rais.
Mkuu kama king'amuzi kinafanya kazi nenda kwa jamaa waliogoma kula mahindi yenye sumu kuvu ABC zipo huko za mooootooooo za kuamkia leo
 
Yaani afadhali usingekuja huku kwenye siasa ubaki hukohuko kwenye jukwaa la mapenzi kunakufaa Sana
Kwani ndivyo ulivyoumbwa

Huku Kuna watu wenye akili nyingi Sana,hukuwezi huku, unaeza sababisha watu kupigwa burn, wakati tunahitaji michango yao.

Umeandika uchafu uliokithiri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…