Katiba haijazuia waziri kuteuliwa kutoka chama ambacho hakijashinda. Inataka ili uwe waziri uwe mbunge tu.
Pia, sheria ya uchaguzi haijalazimisha chama kilichoshinda kitekeleze ilani yake. Ndo maana ccm haijatekeleza ahadi nyingi na haijafutwa. Na Mengine yametekelezwa hayapo kwenye ilani na hakuna tatizo kwa mujibu wa sheria.
Kilichopo, ofisi ya msajili na NEC wanajivua nguo kujionesha ni watupu kichwani
Pia, sheria ya uchaguzi haijalazimisha chama kilichoshinda kitekeleze ilani yake. Ndo maana ccm haijatekeleza ahadi nyingi na haijafutwa. Na Mengine yametekelezwa hayapo kwenye ilani na hakuna tatizo kwa mujibu wa sheria.
Kilichopo, ofisi ya msajili na NEC wanajivua nguo kujionesha ni watupu kichwani