Halafu wapigaji wakiwa wanapiga kutokea nyuma ya gari laoKwa wanaoijua CHADEMA inawezekana kabisa ni inside job!
- CHADEMA mabingwa wa mapichapicha, walijitahidi kuhakikisha picha za tukio hilonhazisambai kinyume na utamaduni wao!
- Risasi kutoboa upande moja wa gari na yeye kuumizwa upande mwingine. Risasi zitoboe kushoto na muathirika aumie mguu wa kulia!
- Dereva aliyeko kulia risasi isimpate hata moja!
- Zipigwe risasi 38 na atoke kama alivyotoka!
- Dereva kuingia mitini na mpkumficha kwa nguvu zote!
Haina uhusiano hii..Wala siko huko- kwa alivyoeleza ni sahihi hajapigwa risasi atakuwa aliletwa hapo na dreva wake akiwa majeruhi tayari. Hebu fikiria unachema ulisoma chuo na kuhitimu mwaka fulani ila huwezi kumtaja hata mwanafunzi mmoja uliyesoma naye- maana yake hujawahi soma chuo hicho unachosema
Kwani wewe kuhoji maswali ya kisengerema unapata nini cha ziada?Unafikiri ukizira na kususa kunachochote kitahamia kwangu?
🤣🤣Hata wapumbavu huzeeka,wewe ni Mzee mpumbavu
Maelezo ya Lissu alipohojiwa na CLOUDS
Nafasi za parking zimechukuliwa imebaki moja kwa sababu niko mbele nikaingia kwenye hiyo parking. Wakaingia upande wa kushoto wanatafuta eneo la kupaki kuna magari, kulia kuna magari wakageuza gari kuelekea walipotokea dereva akaniambia nisishuke, wakasubiri na wao
Mmoja akatoka siti ya nyuma akaamia mbele upande wa abiria wakazungumza akarudi ndani akafunga mlango ghafla akafungua yeye, akafungua mwingine wanamashine hapo wakaachia" - Lissu
MASWALI
1. Je risasi zilipigwa kutoka nyuma yake ?
2. Mbona gari lake lilionekana kuwa risasi zilikuwazimepigwa ubavuni. Kama niko sahihi hii iliwezekana vipi wakati hakukuwa na nafasi ya wao kuegesha gari hapo? Maana yake ni kuwa nafasi kati ya gari na gari kwenye maegesho isIngeweza kumfanya mpigaji atumie bunduki kwa usahihi mpaka asogee karibu sana na hii ingemfanya amtambue aliyemshambulia.
3. Kwa nini dreva wake kama mtu aliyekuwa kwenye tukio anamzuia asitoe maelezo yake?
Halikuwa tukio la siri japo hawajapatikana wahusika...hili ni tukio la jinai. Wacha polisi waendelee nalo..Huwezi kuwa shuhuda wa tukio halafu ukadanganya tukio lilivyotokea
Wewe inaonekana hata masikio hayafanyi kazi. Habari hii iliongelewa kwa kirefu, na aliyetoa maelezo marefu zaidi alikuwa ni dereva. Sasa wewe labda una tatizo la kutosikia, au una tatizo la kutokuwa na kumbukumbu, au una tatuzo la unafiki.Kwa wanaoijua CHADEMA inawezekana kabisa ni inside job!
- CHADEMA mabingwa wa mapichapicha, walijitahidi kuhakikisha picha za tukio hilonhazisambai kinyume na utamaduni wao!
- Risasi kutoboa upande moja wa gari na yeye kuumizwa upande mwingine. Risasi zitoboe kushoto na muathirika aumie mguu wa kulia!
- Dereva aliyeko kulia risasi isimpate hata moja!
- Zipigwe risasi 38 na atoke kama alivyotoka!
- Dereva kuingia mitini na mpkumficha kwa nguvu zote!
Wewe kukosa akili ya kuelewa, haimaanishi maelezo yamekosa mantiki. Ni tatizo lako, la upungufu wa uelewa.Maelezo yake hayana mantiki- kwa kweli sikumuelewa
Chinga wa book7, usitishe watu!Unajua utaalamu wangu au unanichukulia juujuu siyo? Tuheshimiane sawa
Maelezo ya Lissu alipohojiwa na CLOUDS
Nafasi za parking zimechukuliwa imebaki moja kwa sababu niko mbele nikaingia kwenye hiyo parking. Wakaingia upande wa kushoto wanatafuta eneo la kupaki kuna magari, kulia kuna magari wakageuza gari kuelekea walipotokea dereva akaniambia nisishuke, wakasubiri na wao
Mmoja akatoka siti ya nyuma akaamia mbele upande wa abiria wakazungumza akarudi ndani akafunga mlango ghafla akafungua yeye, akafungua mwingine wanamashine hapo wakaachia" - Lissu
MASWALI
1. Je risasi zilipigwa kutoka nyuma yake ?
2. Mbona gari lake lilionekana kuwa risasi zilikuwazimepigwa ubavuni. Kama niko sahihi hii iliwezekana vipi wakati hakukuwa na nafasi ya wao kuegesha gari hapo? Maana yake ni kuwa nafasi kati ya gari na gari kwenye maegesho isIngeweza kumfanya mpigaji atumie bunduki kwa usahihi mpaka asogee karibu sana na hii ingemfanya amtambue aliyemshambulia.
3. Kwa nini dreva wake kama mtu aliyekuwa kwenye tukio anamzuia asitoe maelezo yake?
Aendelee kushuhulika na biashara ugoroMleta mada ni wazi wewe sio mtaalamu wa kupeleleza jambo hili na maswali unayouliza yanaweza hata yasiulizwe na mtaalamu wa uchunguzi. Jaribu kushughulika na mambo uliyo na uwezo nayo!!
Vijana wa nchi hii tutadharauliwa kwa ujumla wetu kumbe dharau ilipaswa kuelekezwa kwako tu.
Kwa wanaoijua CHADEMA inawezekana kabisa ni inside job!
- CHADEMA mabingwa wa mapichapicha, walijitahidi kuhakikisha picha za tukio hilonhazisambai kinyume na utamaduni wao!
- Risasi kutoboa upande moja wa gari na yeye kuumizwa upande mwingine. Risasi zitoboe kushoto na muathirika aumie mguu wa kulia!
- Dereva aliyeko kulia risasi isimpate hata moja!
- Zipigwe risasi 38 na atoke kama alivyotoka!
- Dereva kuingia mitini na mpkumficha kwa nguvu zote!