4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 8,406
- 9,619
Mkuu hii yaitwa kimbunga 2020 sonamiNyie si mmefanya tamasha la wavuta bange pale uwanja wa mkapa, tena na leo wale watoza sadaka waliitisha kongamano la kumpongeza mgombea wenu au?
Mbona mnawashwawashwa sana na Lissu?
Halafu hotuba ya leo Waziri Mkuu kaitoa kwa mikwara sana wakati akiongea na wale wapiga dili kwa kutumia jina la Yesu, ukimuona mwambie asitufokee..!!
Mbona upepo wa kiangazi kanda za pwani ya bagamoyomkuu hii yaitwa kimbunga 2020 sonami
Si ni wiki ijayo tu, tutaona.NEC imeandaa bonge la knife, lenye makali pande zote
I'm guessing anaweza akalimwa mkuuSi ni wiki ijayo tu, tutaona.
Wewe unajua au unahisi?unajua maana ya kampeni au unapopoma tu?
Just keep on guessingI'm guessing anaweza akalimwa mkuu
Mkuu, anafanya kampeni yuleWewe unajua au unahisi?
Ukisikiliza hotuba ya waziri mkuu kwa umakini utagundua kua amepanic, kaanza kutoa lugha za vitisho.17 Agosti 2020
WAZIRI MKUU KATIKA MKUTANO WA VIONGOZI WA DINI, KUUNGA MKONO JUHUDI ZA JPM
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa ameshiriki katika Mkutano wa Viongozi wa Dini kuelekea Uchaguzi Mkuu Kuunga mkono Juhudi za Rais Dkt John Magufuli.
Source: Global TV online
Amini nakwambia. Ndo raisi wako huyo baada ya uchaguzi wa October mwaka huu!!Kuchukua nchi yule? Acha basi kuchekesha mkuu
Ikifika muda wenyewe wa kampeni atakuwa kashakata pumzi, shauri yake!Ndugu zangu,
Kipekee, napenda kumshukuru Mungu kwa kunipa uhai siku ya leo.
Mh. Tundulisu namfuatilia kwa umakini sana, tangia aanze kuzunguka mikoani kutafuta wadhamini, ni kama vile anafanya kampeni tayari. Japo mimi siyo mwanasheria, ila kwa kumsikia tu, ndugu huyu anafanya kampeni tayari. Na kwa kadri siku zinavyooendelea ndiyo anazidi kujinadi kabisa.
Kwa mfano, alipokuwa Morogoro leo, ameahidi akiingia madarakani ataanzisha : ninamnukuu “a taxper’s bil of right, maana yake nini? Haki ya mlipa kodi”
().
Kwa mwenendo huu, na tetesi tunazozisikia za ndugu huyu kukatwa kwa sababu ya kuanza kufanya kampeni kabla ya wakati, NEC itakuwa imekosea? Sambamba na hili, nimejiuliza maswali yafuatayo:
Kwa tafisri yangu isiyokuwa rasimi, namalizia kwa kusema, kuna asilimia 95% Mh. TL atakatwa kwa sababu anatafuta wadhamini huku akifanya kampeni.
- Kwanini wagombea wengine wanatafuta wadhamini kimya kimya?
- Je, yawezekana kuna kipengele kinawafanya wagombea hawa watafute wadhamini kimya kimya, ila TL hakijui?
- Au TL amejifanya much know, akawa na tafisri yake? Yaani mwanasheria nguli katoa boko?
- Kwanini TL kwa kadri siku zinavyozidi kusongea ndiyo anafanya kampeni kabisa?
- Au tayari ameshajua kuwa jina lake litakatwa, ndiyo maana ameamua kuanza kufanya kampeni kabisa, yaani, liwalo na liwe?
- Je, akikatwa Chadema watasusia uchaguzi?
- Kama wakisusia uchaguzi, vyama vingine navyo vitasusia
- Kama navyo vitasusia, mwendo utakuwa kama ule wa uchaguzi wa serikali za mtaa?
Asanteni,
Nawasilisha
Kejuu
Yaani amepanic vibaya sana. Hadi anatia huruma. Huyu Lissu huyu??? Watu watalukwa vichaa mwaka huu!!Ukisikiliza hotuba ya waziri mkuu kwa umakini utagundua kua amepanic, kaanza kutoa lugha za vitisho.
Tundu Lissu kawashika vibaya CCM na hoja zake hazijibiwi kwa propaganda za tumetekeleza.
God appointed him!..Ndugu zangu,
Kipekee, napenda kumshukuru Mungu kwa kunipa uhai siku ya leo.
Mh. Tundulisu namfuatilia kwa umakini sana, tangia aanze kuzunguka mikoani kutafuta wadhamini, ni kama vile anafanya kampeni tayari. Japo mimi siyo mwanasheria, ila kwa kumsikia tu, ndugu huyu anafanya kampeni tayari. Na kwa kadri siku zinavyooendelea ndiyo anazidi kujinadi kabisa.
Kwa mfano, alipokuwa Morogoro leo, ameahidi akiingia madarakani ataanzisha : ninamnukuu “a taxper’s bil of right, maana yake nini? Haki ya mlipa kodi”
().
Kwa mwenendo huu, na tetesi tunazozisikia za ndugu huyu kukatwa kwa sababu ya kuanza kufanya kampeni kabla ya wakati, NEC itakuwa imekosea? Sambamba na hili, nimejiuliza maswali yafuatayo:
Kwa tafisri yangu isiyokuwa rasimi, namalizia kwa kusema, kuna asilimia 95% Mh. TL atakatwa kwa sababu anatafuta wadhamini huku akifanya kampeni.
- Kwanini wagombea wengine wanatafuta wadhamini kimya kimya?
- Je, yawezekana kuna kipengele kinawafanya wagombea hawa watafute wadhamini kimya kimya, ila TL hakijui?
- Au TL amejifanya much know, akawa na tafisri yake? Yaani mwanasheria nguli katoa boko?
- Kwanini TL kwa kadri siku zinavyozidi kusongea ndiyo anafanya kampeni kabisa?
- Au tayari ameshajua kuwa jina lake litakatwa, ndiyo maana ameamua kuanza kufanya kampeni kabisa, yaani, liwalo na liwe?
- Je, akikatwa Chadema watasusia uchaguzi?
- Kama wakisusia uchaguzi, vyama vingine navyo vitasusia
- Kama navyo vitasusia, mwendo utakuwa kama ule wa uchaguzi wa serikali za mtaa?
Asanteni,
Nawasilisha
Kejuu
Hakiwezi kunuka hata akikatwa. Ubavu huo hamna! Mmevurumishwa Hai na vitoto vidogo mbona hakikunuka? Msijaribu kutisha, maana hakuna anae tishika. Na pia kuhusu sheria, Lissu hajui kuzitafsiri kwa undani - ndiyo maana hajashinda kesi hata moja miaka hii.Mkateni kinuke. Mbona Jiwe miaka 5 kafanya kampeni peke yake? Mpaka na matamasha kabisa ya kumnadi. Afterall bado Lissu hajapitishwa kuwa mgombea wa Urais hivyo hiyo sio kampeni usihofu.