Godo
JF-Expert Member
- Apr 11, 2017
- 1,089
- 1,468
Huyo mwanaharakati aache kugeuza tukio Lake kuwa mtaji wa kisiasa, mtu yoyote akitendewa kinyume na sheria hasa kijinai anajukumu la kutoa taarifa kituo cha polisi cha jirani yake na pia ana jukumu la kutoa ushirikiano wa kutosha kuwezesha upelelezi na kumpata aliyemtendea uhalifu huo.
Pamoja na kuwa alikuwa akijiuguza huko nchi jirani baadae Ulaya lakini baada kupata nafuu hakurudi nyumbani kutoa ushirikiano na polisi lakini akawa anapiga misele kwenye vyombo mbali mbali vya habari akihubili kuhusu kupigwa risasi ili aonewe huruma na aje kugombea uraisi na uchaguzi ulipo karibia alirudi na hakwenda kulipoti polisi akafanya kampeni na baada ya kushindwa uchaguzi alisingizia anatishiwa
bila kwenda kutoa taarifa kituo cha polisi na wala hakusema anatishiwa na nani na kwanini na matokeo yake alikwenda kutunga uwongo kwenye ubalozi wa nchi fulani ya ulaya akasafirishwa kwenda huko alipo na wakati alifanya kampeni takribani miezi mitatu huku akikorofishana na polisi mara nyingi.
Pamoja na kuwa alikuwa akijiuguza huko nchi jirani baadae Ulaya lakini baada kupata nafuu hakurudi nyumbani kutoa ushirikiano na polisi lakini akawa anapiga misele kwenye vyombo mbali mbali vya habari akihubili kuhusu kupigwa risasi ili aonewe huruma na aje kugombea uraisi na uchaguzi ulipo karibia alirudi na hakwenda kulipoti polisi akafanya kampeni na baada ya kushindwa uchaguzi alisingizia anatishiwa
bila kwenda kutoa taarifa kituo cha polisi na wala hakusema anatishiwa na nani na kwanini na matokeo yake alikwenda kutunga uwongo kwenye ubalozi wa nchi fulani ya ulaya akasafirishwa kwenda huko alipo na wakati alifanya kampeni takribani miezi mitatu huku akikorofishana na polisi mara nyingi.