Tundu Lissu: IGP Sirro ni Jeshi la Polisi, hawajawahi kunipigia simu wala kunihoji, Waliagizwa wanipoteze baada ya Uchaguzi

Tundu Lissu: IGP Sirro ni Jeshi la Polisi, hawajawahi kunipigia simu wala kunihoji, Waliagizwa wanipoteze baada ya Uchaguzi

Haya si maneno yangu, bali ni maneno ya Kamanda wetu alieko ughaihuni aliyoyatoa leo kupitia twitter akimjibu kibosile fulani aliebua upya sakata hili.

Kamanda kadai kuwa alipata taarifa kuwa Bwana Yule aliagiza amalizwe mara baada ya uchaguzi kwisha.

Hakika Bwana Yule alikuwa na tatizo tena sio dogo.
Bwana yule alikuwa katili sana!!ila MUNGU FUNDI.
 
Mwanasiasa machachari wa Tanzania anayeishi mamtoni baaada ya kufanyiwa unyama amekanusha taarifa na kauli ya Igp Sirro kuwa alipigiwa simu na jeshi la polisi ili ahojiwe juu ya madhila yaliyompata...
Lissu anadhani ni kitu rahisi kwenda kumhoji mtu nchi ya mwezio tena utumie vyombo vya dola vya nchi yako?
 
Taarifa zingekua zinavuja kirahisi hivyo asingetoka ile siku aliyoshambuliwa
 
Haya si maneno yangu, bali ni maneno ya Kamanda wetu alieko ughaihuni aliyoyatoa leo kupitia twitter akimjibu kibosile fulani aliebua upya sakata hili.

Kamanda kadai kuwa alipata taarifa kuwa Bwana Yule aliagiza amalizwe mara baada ya uchaguzi kwisha.

Hakika Bwana Yule alikuwa na tatizo tena sio dogo.
Mungu fundi sana kamuua muuaji
 
Haya si maneno yangu, bali ni maneno ya Kamanda wetu alieko ughaihuni aliyoyatoa leo kupitia twitter akimjibu kibosile fulani aliebua upya sakata hili.

Kamanda kadai kuwa alipata taarifa kuwa Bwana Yule aliagiza amalizwe mara baada ya uchaguzi kwisha.

Hakika Bwana Yule alikuwa na tatizo tena sio dogo.
Yako mengi na hoja lukuki ambazo WanaJf wangependa kusikia kutoka kwako zinazohusu "operations" za hicho chama ili zijadiliwe kwa maslahi mapana ya Taifa.

Hivyo basi, ni wakati sasa ukaachana na udaku wa chuki, ila kama wewe ni jeruhi wa enzi hizo. Lakini hata kama ulijeruhiwa busara ni mbele kwa mbele nyuma mwiko. Wahenga walinena Dondandugu halina dawa
 
Maiti haiongei..hapa naomba niwe upande wa hayati

Kamanda amechelewa sn kuongea hili,anayemtuhumu hawezi kujitetea
 
Wasiojulikana utawajua tu kwa vitendo na kauli zao.

ID zao eti wanaita ni za KIMKAKATI hapo kwenye red zina kamfanano:

IMG_20210711_220631_539.jpg


Maisha ya binadamu hayana thamani kwao.
 
Haya si maneno yangu, bali ni maneno ya Kamanda wetu alieko ughaihuni aliyoyatoa leo kupitia twitter akimjibu kibosile fulani aliebua upya sakata hili.

Kamanda kadai kuwa alipata taarifa kuwa Bwana Yule aliagiza amalizwe mara baada ya uchaguzi kwisha.

Hakika Bwana Yule alikuwa na tatizo tena sio dogo.
Una ushahidi?
 
IGP Sirro angekuwa na busara angekaa kimya.
Umeniwahi!
Sirro huwa namkubali sana,ila kwenye issue ya lissu huwa naona bora akae kimya kabisa.nani asiyejua magu alikuwa anatumia nguvu kubwa zakimafia kwakuwazunguka hata wenye vyombo vya ulinzi.(kibinadamu lissu ni kwamba alitetewa na malaika liwe somo kwa watawala).

NB!
Kuna wanaccm walichangia kwa siri Magu asijue ili lissu akatibiwe.

Mbowe angekuwa limbukeni kuwataja walioguswa na tukio lile lakinyama hakika uadui ungekuwa mkubwa zaidi.
Mfano hai ni Covid 19.

Msiwalaumu Covid 19 kuwa bungeni.Ipo siku mtaelewa kuwa waliingia mkataba nashetani mwenye hela na nguvu.

Tuombee nchi yetu yasitukute ya Haiti
 
Nimeshaelewa point yako..Lakini unadhani kila mmoja ni mwanasiasa humu?

Nimeona ukiwafanyia watu kadhaa hiki ulichonifanyia mimi..sasa nikupe kazi nyingine, maana hii uliyofanya haijatosha kunihukumu..angalia comments na replies zangu zote kisha Rudi hapa kunihukumu,km nishawahi kubishana kwenye hili jukwaa

Bro Mimi sihusiki na siasa kabisa,na sipo hapa kubishana na nyie wafia siasa.Nimetoa Tu maoni yangu,so yaheshimiwe please
 
Back
Top Bottom