..kwa kweli wangempandisha ndege kuja Dsm halafu muhimbili au mzena watu wangeimba parapanda na kula ubwabwa.
..hivi kuna mahali popote Magufuli alitoa amri uchunguzi wa tukio la Lissu ufanyike?
..tukio kubwa kama lile nilitegemea Magufuli awe mkali na aamrishe uchunguzi kamili na wa haraka.
Kuna mijamaa ina maumivu makubwa sana kwamba huyu bwana yu hai na kwamba kama Mbowe wangali wamesimama imara.
Ahahaha..Niko very positive mkuuUsikimbilie kwa MOD acha tukunyoshe mbwa wewe
Usikonde mkuu tathmini hazina proprietary rights. Au vipi?Mkuu km unataka tushindane km unavyofanyaga na hao wengine basi hapa umekosea njia..Mimi sihusiki na bavicha wala uviccm..kiufupi sinaga shobo wala kutetea wanasiasa
Alafu Acha shobo za kuingia profiles za watu unascreen short kisha unakuja kumwanika hapa,nimekuona mara kadhaa ukiwafanyia watu hicho kitu na sasa hivi imenifanya Mimi mwenyewe
CC Moderator
Pamoja mkuu..saluteUsikonde mkuu tathmini hazina proprietary rights. Au vipi?
..Lissu angepanda ndege toka Dom kuja Dar mimi ningewahisha mahema ya msiba kijijini kwao ikungi.
..Mbowe alicheza kama " messi " kuhakikisha jamaa anapelekwa nairobi.
..Na Katibu Mkuu wizara ya afya ashukuriwe kwa kusimama upande wa Mbowe na familia.
Cha ajabu izraeli katambaa naye Mara tu baada ya huo uchaguzi. That president was a real devilHaya si maneno yangu, bali ni maneno ya Kamanda wetu alieko ughaihuni aliyoyatoa leo kupitia twitter akimjibu kibosile fulani aliebua upya sakata hili.
Kamanda kadai kuwa alipata taarifa kuwa Bwana Yule aliagiza amalizwe mara baada ya uchaguzi kwisha.
Hakika Bwana Yule alikuwa na tatizo tena sio dogo.
Yupi Huyo Kairuki au?Bas mbunge wangu kaukwaa jaman
Sijawahi kuona aigipii mnafiki namna hii
Huyu angevua tu hayo magwanda yake aingie siasani
Siro si pia aseme kwa nini walitaka kumkamata baada ya uchaguzi.... Mpaka wakamfuata kwa Balozi wa Germany.
Siro si pia aseme kwa nini walitaka kumkamata baada ya uchaguzi.... Mpaka wakamfuata kwa Balozi wa Germany.
nisubiri nyama ziko chini sio??!!hahahaEndelea kubaki hapa hapa jf
Baada ya hapo katibu mkuu akapewa ubarozi na kunangwa juu..Lissu angepanda ndege toka Dom kuja Dar mimi ningewahisha mahema ya msiba kijijini kwao ikungi.
..Mbowe alicheza kama " messi " kuhakikisha jamaa anapelekwa nairobi.
..Na Katibu Mkuu wizara ya afya ashukuriwe kwa kusimama upande wa Mbowe na familia.
Kwahiyo wanazungumziwa wamoroco hapa??Yahatuhusu.
Tuna mengi yakufanya .
Wanajuana wao kwa wao
Risasi zilipigwa upande wa kushoto zikaumiza upande wa kulia,hii ni zaidi ya sanaaaMwanasiasa machachari wa Tanzania anayeishi mamtoni baaada ya kufanyiwa unyama amekanusha taarifa na kauli ya Igp Sirro kuwa alipigiwa simu na jeshi la polisi ili ahojiwe juu ya madhila yaliyompata...
Peramiho moja hiyoYupi Huyo Kairuki au?
ndio maana mamia kwa maelfu ya watz tunafurahia kwa kifo chake.Haya si maneno yangu, bali ni maneno ya Kamanda wetu alieko ughaihuni aliyoyatoa leo kupitia twitter akimjibu kibosile fulani aliebua upya sakata hili.
Kamanda kadai kuwa alipata taarifa kuwa Bwana Yule aliagiza amalizwe mara baada ya uchaguzi kwisha.
Hakika Bwana Yule alikuwa na tatizo tena sio dogo.
HahahahaAhahaha..Niko very positive mkuu
Njoo Kwa Shari,njoo Kwa peace hata siogopi
Keyboards hizi.. samtaimz mtu anatokea kusikojulikana anakushambulia alafu kumbe boya Tu Fulani ahahahah.Inabidi nicheke tu
Mkomavu