Mrs Byesige
JF-Expert Member
- Nov 5, 2019
- 862
- 1,549
Kanunua mboweKanunua Lissu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kanunua mboweKanunua Lissu?
Kubali tu matokeo nduguataropoka tu kama kawaida yake. Mpuuzi mkubwa
sikiliza clip hiyo.....halafu umwamini mtu kama huyo...if you are a sensible man, you can no longer trust that person! kama Idd Amin!
LemaWachagga wote wameomba Kustaafu akina Mrema, Munisi nk Sasa migogoro ataleta nani?
Mbowe alishajifukuzisha mwenyewe, hana madhara tenaPlease 🙏 picha. Halafu muulize Lissu. Lini watamfukuza Mbowe Chadema? Maana walimtuhumu mlarushwa
Mbowe kapumzika kawaachia watakaoleta maandamano mchana na usikuMbowe alishajifukuzisha mwenyewe, hana madhara tena
🤣🤣🤣(kama anazo)
CCM mbona hamtulii!?Lazima ataongea ya kuudhi tuu
Ni kweliLissu ametukanwa na Mangapi kutoka kwa kundi FAM , ?
Hivi hakujua kuwa Katibu Mkuu wake alizuiliwa kufanya press conference?Kama ilivyokuwa kwa Lowassa 2015, huu ni mwaka wa Tundu Lissu.
Kila anachogusa ni dhahabu!
Yeye na lema kwa mdomo wao sio team lussu..lkn Wao wenyeweNi kweli
Nipo hapa Mikocheni opposite na CHADEMA HQ na ninashuhudia idadi kubwa ya Watu wakiwemo waandishi wa Habari ninaowafahamu wakiingia ofisi za Chadema
Wote wanasema wamekuja kupata Neno la Kwanza la Mwenyekiti wa CHADEMA Mh Tundu Lissu na makamu wake Mh John Heche wakiwa rasmi ofisini
Ngoja tumsikie.
Fuatilia live hapa
View: https://www.youtube.com/watch?v=J254F4V0YWE
Umepaniki sana. Bado huamini? Nenda kaishi na mbowe awe mwenyekiti wa mahusiano yenu🤣ataropoka tu kama kawaida yake. Mpuuzi mkubwa
sikiliza clip hiyo.....halafu umwamini mtu kama huyo...if you are a sensible man, you can no longer trust that person! kama Idd Amin!
Tofautisha, Mbowe ametukanwa na Lissu mwenyewe. Lissu ametukanwa na wafuasi wa Mbowe. Huoni tofauti hapo?Lissu ametukanwa na Mangapi kutoka kwa kundi FAM , ?
UPO SAHIHI. HILI WENGI HAWANA UPEO WA KULIELEWA. MBOWE NI KAMA MHINDI ANAIFADHILI TEAM KWEUPE ANAKULA MATUNDA YA TEAM GIZANI. HAKUNA MFANYABIASHARA ANAFANYA JAMBO KWA HASARA. NA USIMWAMINI HATA AKISEMA ANAENDESHA TEAM KWA HASARA.Mbowe ni Mfanyabiashara hakunaga jambo kalifanya Chadema Kwa hasara 😂😂
Lissu alimtukana mbowe matusi gani? Mkiulizwa hamsemi.Tofautisha, Mbowe ametukanwa na Lissu mwenyewe. Lissu ametukanwa na wafuasi wa Mbowe. Huoni tofauti hapo?
Tusi lipi ,tajaTofautisha, Mbowe ametukanwa na Lissu mwenyewe. Lissu ametukanwa na wafuasi wa Mbowe. Huoni tofauti hapo?