Tundu Lissu, kabla ya kufuta Idara ya Maelezo, futa Idara ya Habari na Uenezi ya CHADEMA

Hiyo ya Chadema hana mamlaka nayo.
 
Human resource CHADEMA kwa sasa ni mtihani.

Huyu Tumaini Makene anafanya nini pale Mnyika yuko kimya as if siasa ni za kufanyia ofisini.

Where is Dr Marco's Albanie ?

Acha kabisa boss, kuna tatizo la dhahiri. Marcos Albanie alikuwa mtu sahihi kwa hiyo nafasi hiyo toka wakati ule alipoondoka Slaa na kupewa Mashinji.
 
Hili tatizo limelalamikiwa sana but tujiulize vyema

Unafikir wanapenda haya?? No rahisi sana kuongea ukiwa nje ila humo ndani hali ni tofauti sana.

Tukiongea hivi huyo ambaye ni chanzo cha tatizo atafahamika tu.
 
Makene ana kinyongo baada ya kupata habari za kutafuniwa
 
Hiyo idara ni kweli, inamhujumu mheshimiwa Rais Tundu Lisu.
 
Hiyo idara ni kweli, inamhujumu mheshimiwa Rais Tundu Lisu.
 
Huna lolote mtumwa wa mbowe.
 
huu ni wakati ambao vyombo vyote vya habari vinafanya kazi kwa dhiki kuu
so far kumlaumu Tumaini Makene ni kujidai kuwa hamuioni hali inayoendelea nchini
 
Mnyika apumzike
 
Umeongea point sana kamanda!
Nakumbuka Zitto aliyasema wazi haya mara baada ya akina Mbowe na Lisu kukubali dili la Lowasa na kumtema Dr Slaa.
Nimeigoogle ile interview yake pale Azam TV sijafanikiwa.
Zitto alisema wazi kuwa kitendo cha akina Lisu na Mbowe kumtema Dr Slaa kwa ajili ya Lowasa kilikuwa ni suicidal kwa CHADEMA.
Alimuuliza Mhando amuoneshe mwenye akili aliyebaki pale ni nani?
 
John Heche ndo alistahili kuwa mwenyekiti au katibu mkuu.Yuko committed sana na chama,ana utulivu wa kutosha lakini pia ni jasiri.
 
Chadema Media TV inapost video kwenye YouTube yenye vichwa vya habari vyenye makosa ya hovyo, huku ikiwa imechelewa sana.
Ati Tundu Lissu ANAJIPANDA kupambana na mapingamizi, ....badala ya ANAJIPANGA.
Ati Tume ya Uchaguzi yampitisha TUNDI Lissu .... badala ya TUNDU Lissu.
Hizo "spelling mistakes" zinazosambazwa dunia nzima hazikubaliki.
Chadema Media TV ni aibu kwa Chadema na Taifa kwa ujumla
 
Kaam hawawekezi Kwenye midia na resilimali watu unategemea miujiza watu wanatafuna kile ruzuku kwa watu wasiopungua 5
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…