Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hakuna kitu kama hicho hiki chama Mbowe amekipambania kutoka ground, hata huyu Lisu tunayemkubali anekuwa moulded na Mbowe.
Tusitake kuvurugana humu, pasipo Mbowe hiki chama kingekuwa sasa hakipo, kuhusu Katibu huyu Kapwaya tena sana.
Mengine tuache tu lkn kuna walakini kwa ndani, nikama tumepoteana