Tundu Lissu, kabla ya kufuta Idara ya Maelezo, futa Idara ya Habari na Uenezi ya CHADEMA

Tundu Lissu, kabla ya kufuta Idara ya Maelezo, futa Idara ya Habari na Uenezi ya CHADEMA

Hakuna kitu kama hicho hiki chama Mbowe amekipambania kutoka ground, hata huyu Lisu tunayemkubali anekuwa moulded na Mbowe.

Tusitake kuvurugana humu, pasipo Mbowe hiki chama kingekuwa sasa hakipo, kuhusu Katibu huyu Kapwaya tena sana.

Mengine tuache tu lkn kuna walakini kwa ndani, nikama tumepoteana
FB_IMG_1595009729173.jpg
 
Tutahakikisha idara ya habari inang'olewa yote , ni wapuuzi sana na wako kama konokono , hatutaki ujinga kabisa , mleta uzi ni kama amechokoza nyuki , na kwa kweli kama kuanzia kesho hawajang''olewa patachimbika , sasa baaaasi !

Baadhi wananifahamu lakini Liwalo na liwe , hatutafuga ujinga
Hahahaaaa.
Ngoja nikutest nijue kitu
[emoji443] wataisoma nambaaaaa
[emoji443]... mbele kwa mbele
Oooh ooooh
Mbona kama unayumba na hii rythm na machozi ya kijani?
 
Kichwa cha habari chahusika.

Idara ya habari ya cdm ina matatizo mengi, nikianza kuyataja yote tutajaza ukurasa huu.

Kuna tatizo la kutotoa habari kwa wakati.

Pia wanatoa habari zikiwa zimekatwa-katwa.

Zaidi hawamuandai mgombea kwa maswali anayoulizwa na waandishi wa habari.

In short, these ppl need to wake up. Wanakiangusha chama na wanamuangusha mgombea Uraisi.
CC:
CHADEMA
Tumaini Makene
Chadema Diaspora
Tafadhali chukueni hatua kuna baadhi ya hotuba za Lissu tunazikosa kwenye mtandao wa YouTube, au zinakuwa zimekatwakatwa sana badala ya full story.

Nadhani chadema online media ndiyo ingekuwa mainstream ya taarifa na hotuba za TAL hususani katika kipindi cha ukosefu wa Uhuru wa habari. Badala yake mnatufanya tusake huku na kule kwenye media zilizo censored.
 
Hili tatizo limelalamikiwa sana but tujiulize vyema

Unafikir wanapenda haya?? No rahisi sana kuongea ukiwa nje ila humo ndani hali ni tofauti sana.
 
Hili tatizo limelalamikiwa sana but tujiulize vyema

Unafikir wanapenda haya?? No rahisi sana kuongea ukiwa nje ila humo ndani hali ni tofauti sana.
Kwa hiyo unachosema ni kwamba ‘shida’ au ‘tatizo’ au ‘ki/vikwazo’ ni vipo ndani ya chama?
 
Tutahakikisha idara ya habari inang'olewa yote , ni wapuuzi sana na wako kama konokono , hatutaki ujinga kabisa , mleta uzi ni kama amechokoza nyuki , na kwa kweli kama kuanzia kesho hawajang''olewa patachimbika , sasa baaaasi !

Baadhi wananifahamu lakini Liwalo na liwe , hatutafuga ujinga

Makene anakulaga pesa za bure pale Chadema.
 
Hakuna kitu kama hicho hiki chama Mbowe amekipambania kutoka ground, hata huyu Lisu tunayemkubali anekuwa moulded na Mbowe.

Tusitake kuvurugana humu, pasipo Mbowe hiki chama kingekuwa sasa hakipo, kuhusu Katibu huyu Kapwaya tena sana.

Mengine tuache tu lkn kuna walakini kwa ndani, nikama tumepoteana

Hivi Nyerere sababu ndio alitupatia uhuru ilitakiwa ndio aendelee kutawala milele sio?

Chama kwa sasa kinahitaji damu changa ili kipambane na changamoto zilizopo,watu kama wakina Heche wangefaa sana na uzuri Chadema kuna ya vijana wengi tu wazuri.

Wakina Mbowe&associates wabaki kua washauri wa chama.
 
Exactly, haya malalamiko tumeyatoa sana humu, kwa sasa cdm hata kwenda kwenye media mbalimbali wamekuwa wazito. Niwe mkweli kabisa, Mbowe hakustahili kuendelea kuwa mwenyekiti wa Cdm, ameshafikia mwisho wa mapambano, na Mnyika yuko below per, lile tatizo la Mashinji naona linaendelea. Mnyika toka Dr. Slaa ameondoka na yeye ameflop, kumpa ukatibu mkuu haikuwa sahihi. Huu udhaifu mwingine chamani unachangiwa na hizo nafasi mbili za juu.
Human resource CHADEMA kwa sasa ni mtihani.

Huyu Tumaini Makene anafanya nini pale Mnyika yuko kimya as if siasa ni za kufanyia ofisini.

Where is Dr Marco's Albanie ?
 
Sasa Tundu ana mamlaka hayo?hivi hujui kuwa yeye kaajiriwa kugombea ili chama kipate ruzuku na kisha baada ya uchaguzi anarejea ughaibuni?
Kichwa cha habari chahusika.

Idara ya habari ya CHADEMA ina matatizo mengi, nikianza kuyataja yote tutajaza ukurasa huu.

Kuna tatizo la kutotoa habari kwa wakati.

Pia wanatoa habari zikiwa zimekatwa-katwa.

Zaidi hawamuandai mgombea kwa maswali anayoulizwa na waandishi wa habari.

In short, these people need to wake up. Wanakiangusha chama na wanamuangusha mgombea Urais.
 
Asiyemtaka Mbowe aondoke yeye
Exactly, haya malalamiko tumeyatoa sana humu, kwa sasa cdm hata kwenda kwenye media mbalimbali wamekuwa wazito. Niwe mkweli kabisa, Mbowe hakustahili kuendelea kuwa mwenyekiti wa Cdm, ameshafikia mwisho wa mapambano, na Mnyika yuko below per, lile tatizo la Mashinji naona linaendelea. Mnyika toka Dr. Slaa ameondoka na yeye ameflop, kumpa ukatibu mkuu haikuwa sahihi. Huu udhaifu mwingine chamani unachangiwa na hizo nafasi mbili za juu.
 
Mbowe alishajiishia,Mnyika alishaexpire,hasa hasa Mbowe angekaa kando...anatupotezea muda
 
"mwamba tuvushe....."
Hakuna kitu kama hicho hiki chama Mbowe amekipambania kutoka ground, hata huyu Lisu tunayemkubali anekuwa moulded na Mbowe.

Tusitake kuvurugana humu, pasipo Mbowe hiki chama kingekuwa sasa hakipo, kuhusu Katibu huyu Kapwaya tena sana.

Mengine tuache tu lkn kuna walakini kwa ndani, nikama tumepoteana
 
Kapwaya wapi?!

Mlitaka habari gani, za kutunga?

Mi nadhani ana report baada ya kupata taarifa na ku verify, au mnataka taarifa yoyote anatakiwa aitoe bila verification yoyote?!

Kuna mambo naye anahitaji approval za wakubwa wake.

Sidhani kama kila taarifa inatakiwa kuufikia umaa kama mnavyotaka.

Hata huko ccm kuna habari zinavuja tu lakini hazitolewi na Polepole.

Kwasababu kuna habari huwa ni za ndani, sio kila habari ni ya public.

Mnaweza kuwachukia watu, lakini huu sio muda sahihi, huu ni muda wa kuwa makini.

Huu muda ukaharibu umeharibu.
 
Kichwa cha habari chahusika.

Idara ya habari ya CHADEMA ina matatizo mengi, nikianza kuyataja yote tutajaza ukurasa huu.

Kuna tatizo la kutotoa habari kwa wakati.

Pia wanatoa habari zikiwa zimekatwa-katwa.

Zaidi hawamuandai mgombea kwa maswali anayoulizwa na waandishi wa habari.

In short, these people need to wake up. Wanakiangusha chama na wanamuangusha mgombea Urais.
Kweli Chadema Media wanatulet down sana, wameonesha Uwezo mdogo sana hadi Inatia hasira
 
Hata Mbowe naona kama yupo yupo tu! Mbowe kuchaguliwa tena kuwa Mwenyekiti wa CDM aliweka mikakati mizito ikiwa ni pamoja na hatua za kuchukua juu ya ule ucgafuzi wa serikali za mitaa 2019. Kilichoendelea anakijua mwenyewe! Inawezekana hata haya yanayotokea sasa ya wagombea kupigwa na kunyang'anywa fomu ni matokeo ya kunyamazio ule unaoitwa uchaguzi au uchafuzi wa serikali za mitaa.
 
Hakuna kitu kama hicho hiki chama Mbowe amekipambania kutoka ground, hata huyu Lisu tunayemkubali anekuwa moulded na Mbowe.

Tusitake kuvurugana humu, pasipo Mbowe hiki chama kingekuwa sasa hakipo, kuhusu Katibu huyu Kapwaya tena sana.

Mengine tuache tu lkn kuna walakini kwa ndani, nikama tumepoteana

Sina shaka kuwa Mbowe kakipambania sana hiki chama, ila kwa sasa kafika mwisho. Na hiyo ni hali ya kawaida kuwa binadamu hufikia mwisho. Wakati ukuta.
 
Back
Top Bottom