Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Kama Serikali ya CCM inapinga kweli ushoga basi ikafute kipengele cha Katiba kinachoinyima Serikali kuingilia faragha ya mtu

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Kama Serikali ya CCM inapinga kweli ushoga basi ikafute kipengele cha Katiba kinachoinyima Serikali kuingilia faragha ya mtu

Hyo kitu ili ile kwako uvujishe video ka kina amber rutty na james delicious wamehukumiwa 5 years Ila delicious kalipa fine kashatoka
Delicious alishtakiwa kwa kutuma Picha za ngono mtandaoni. Amber Rutty na Bahasha wake walishtakiwa kwa kufanya mapenzi kinyume na maumbile.

Amber Rutty ndo amehukumiwa na Bwana wake kwa makosa hayo Ila James Delicious amehukumiwa kwa kosa moja tu la kutuma Picha za ngono mtandaoni.James hajahukumiwa kwa kuwa shoga!!

Hakuna shoga yeyote aliyewai kukamatwa na kuhukumiwa kwa kuwa shoga na serikali ya CCM
 
Lisu alivyo mbwiga hajui hata kwa nini James Delicious na Amber ruty wamefungwa!
Delicious alishtakiwa kwa kutuma Picha za ngono mtandaoni. Amber Rutty na Bahasha wake walishtakiwa kwa kufanya mapenzi kinyume na maumbile.

Amber Rutty ndo amehukumiwa na Bwana wake kwa makosa hayo Ila James Delicious amehukumiwa kwa kosa moja tu la kutuma Picha za ngono mtandaoni.James hajahukumiwa kwa kuwa shoga!!

Hakuna shoga yeyote aliyewai kukamatwa na kuhukumiwa kwa kuwa shoga na serikali ya CCM
 
Delicious alishtakiwa kwa kutuma Picha za ngono mtandaoni. Amber Rutty na Bahasha wake walishtakiwa kwa kufanya mapenzi kinyume na maumbile.

Amber Rutty ndo amehukumiwa na Bwana wake kwa makosa hayo Ila James Delicious amehukumiwa kwa kosa moja tu la kutuma Picha za ngono mtandaoni.James hajahukumiwa kwa kuwa shoga!!

Hakuna shoga yeyote aliyewai kukamatwa na kuhukumiwa kwa kuwa shoga na serikali ya CCM
Kwa hiyo unahamasisha kazi ya ushoga iendelee? Hizi akili Tundu alizowagawia zipo kwenye lile kundi la pili dah
Kizazi kinachotetea na kuhamasisha ushoga
 
hicho kifungu hakihusiani na mapenzi yake bana,asitafute ukuta wa kuegemea.

kifungu kiko wazi kabisa,serikali inaheshimu uhuru wa faragha.

maana ya neno faragha ni siri ya mhusika,tukiishajua sisi wengine sio faragha tena hiyo ni zahama.
Faragha ni neno pana hata mazungumzo ni faragha, kuoga ni faragha, kujisaidia ni faragha
Ila kwa wafuasi wa Tundu faragha ni mwanaume kujamiiana na mwanaume mwingine. Na hii ndio furaha ya chama chao
 
Muleta maada kaandika kabisa kwamba lisu anakubaliana na msimamo wa katiba ambayo ndo serikali inaitumia saiv. Ko sion kama yuko tofauti na waliopo maana yake kama serikali ya sasa inaruhusu nayeye analuhusu kama inakataza na yeye anakataza isipokua kasema kama kweli wanataka ikatazwe kisheria waondoe haki hyo kikatiba.
 
Ameenda mbali zaidi na kusema kuwa kama wataanza kuingilia mambo ya vyumbani kwa watu itafikia kipindi mtu ataulizwa "Wewe mbona hufanyi sawasawa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Lisu wenu kasema hatawaingilia! Atawaacja mjivinjari mtakavyo si mtakuwa mko kwenye faragha?
 
Lisu wenu kasema hatawaingilia! Atawaacja mjivinjari mtakavyo si mtakuwa mko kwenye faragha?

ndio maana wanapambana na kuhangaika jamaa apite hata kimiujiza[emoji28][emoji28][emoji28]

wana jambo lao.
 
Ametumia lugha ile ile ya kisheria kwa njia fupi kuwa 'ushoga' au 'usoushoga' ni mambo ya faragha ya mtu binafsi ambayo ni kuitwisha serikali mzito sana usio wake badala ya kushughulikia mambo ya maana ya kijamii.
 
Tundu Lissu akiwa Arusha leo asubuhi imeibuliwa tena hoja ya ushoga na huu ndiyo msimamo alioutoa

"Wanaleta vihoja kuwa naunga mkono ushoga, katiba ya JMT inasema kila mmoja ana haki ya kulindiwa faragha yake, naunga mkono msimamo huo wa Katiba, siyo kazi ya Serikali kuchungulia kwenye vyumba vya watu, kama kweli wanapiga vita ushoga wafute hayo maneno."

Ameenda mbali zaidi na kusema kuwa kama wataanza kuingilia mambo ya vyumbani kwa watu itafikia kipindi mtu ataulizwa "Wewe mbona hufanyi sawasawa"

Safi sana! Hii inaonyesha kuwa Tundu lissu kathibitisha wazi kuwa anaunga mkono ushoga!!

Hivyo anataka faragha ya ushoga.
 
Kama kweli ccm inauchukia ushoga, basi mtukufu afute hicho kifungu wakati huu wa kampeni ili wananchi wampe kura!
 
Hili la kuleta ushoga Tanzania hao waliomtuma wanajua halikubaliki na ndio sababu hata hapa walimtaka Tundu atoe msimamo kama atalisimamia lihalalishwe.

Maneno ya Tundu ni hamasa kubwa kwa wale wanaume mafirauni
 
Kwa kusema ushoga ni suala la faragha hivyo atawaacha muendelee kujivinjari tu
Tumia lobe yako vizuri basi... Its all bout our Constitution if kuna sheria nyingine inavunjwa kuhusu hilo naomba uiweke hapa
 
Back
Top Bottom