Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Kamati Kuu itakaa kutoa msimamo rasmi juu ya Mbunge wa Nkasi, Aida Khenan

Watu wa Nkasi wanajua kilichotokea uchaguzi huu TZ. Msifikiri watu wa huko mashambani hawana akili.
Hilo jimbo la Nkasi miaka yote lilikuwa mali ya CCM, siwezi kuthibitisha moja kwa moja km walikuwa wanaibiwa au vipi, nachoamini this time Chadema wamelichukua kihalali kwasababu ya nguvu waliyonayo, sasa ni vyema kuitunza hiyo nguvu for future use.
 
Hatua gani wachukue mkuu wakati tuliambiwa tuandamane tumegoma sasa wao wafanyeje Kama nguvu ya umma imegoma?
(Maana yake wanamuunga mkono Magufuli)

Hao wapinzani kwenye bunge lililopita walijadili nini Cha maana? zaidi ya kususia vikao vya bunge, kujifunga midomo na kuondoka bungeni.
Tuwaache tu hao ccm wakajadili mana hao wapinzani hata wakienda huko bungeni hawana msaada wowote zaidi ya hasara tu kwenye majimbo yao.
 
Usijidanganye. Mkurugenzi wa Nkasi asingetangaza CHADEMA kushinda bila maagizo toka juu. CHADEMA wamepewa tu hicho kiti cha Nkasi.
 
Watu wa Nkasi wanajua kilichotokea uchaguzi huu TZ. Msifikiri watu wa huko mashambani hawana akili.
Kwahiyo wewe ndio una akili kuliko watu wote wa Nkasi walio mchagua huyo Mbunge?
 
Kila kitu kinawezekana. Mna TISS, JW, Bunge, Mahakama, NEC, Mamlaka ya Anga, TCRA, polisi, Msajili... Amuweni tu mnavyotaka.
Acheni uongo mambo ya Trump hatuyataki toeni ushahidi vinginevyo ni uzushi
 
Not my political maturity, but seems my contribution on this matter didn't hurt your expectations, as used to be on other issues.
We have lost election, nights turn to days, and days turn to nights but we want to remain where we were on 2rd of November.

We need to move on but more carefully, organise our party, seal efficiently all the loopholes which made us get the same negative results in all major political contest we participate.

We need to re-organise our party's systems, organisations and leadership particularly the upper echelon tandem and partinent to our countrys' electoral requirements.

We should also forster unity among rank to file of our members for 2025 General election contest.
 
Acha ujinga. Trump anaingiaje hapa? Mimi nimemjibu mchangiaje alisema 2025 vyama vingi vitafutwa. Wewe unaleta habari ya Trump. Una akili hata ya kutawaza bila kubaki na uchafu mkononi wewe?
Acheni uongo mambo ya Trump hatuyataki toeni ushahidi vinginevyo ni uzushi
 
Sasa wananchi wa Nkasi walimcaguaje mkuu kama tumeshakubaliana uchaguzi ni batili?

Naomba maelezo kidogo mkuu umeniacha.
 
Sasa wananchi wa Nkasi walimcaguaje mkuu kama tumeshakubaliana uchaguzi ni batili?

Naomba maelezo kidogo mkuu umeniacha.
Nadhani angesema kuwa wananchi wamemchagua.. Na wakampambania atangazwe.. Maana show haikuwa rahisi.. Mpka kutangazwa..
 
Madiwani 10 waliopatikana Nkasi ,nao wanalitangazwa kwa maagizo kutoka juu?

Huna akili kabisa kenge wewe.
 
Nadhani angesema kuwa wananchi wamemchagua.. Na wakampambania atangazwe.. Maana show haikuwa rahisi.. Mpka kutangazwa..
Oouh...

Mkuu wananchi wa Nkasi walitumia mbinu gani kupambana hadi akatangazwa?

Unaweza kufafanunua mkuu majimbo mengine upinzani walishinda ila wakashindwa kutangazwa....wananchi walishindwa wapi kupambana.
 
Viongozi wa CHADEMA wabinafsi sana. Kwahiyo mnapaswa kupata wabunge wangapi ili ionekane hamkufanyiwa rafu?
 
Wewe ndio hauna akili. Kama umekwishasahau yaliyotokea juma 1 tu lililopita, utakuwa na akili ya kuku. Kuku ndio anafukuzwa halafu mara hiyo anasahau na kurudi. Kwa hiyo unataka kusema wapigakura walimlazimisha Mkurugenzi kuwatangaza hao madawani? Akili yako ni chini ya akili ya kuku.
Madiwani 10 waliopatikana Nkasi ,nao wanalitangazwa kwa maagizo kutoka juu?

Huna akili kabisa kenge wewe.
 
Madiwani 10 waliopatikana Nkasi ,nao wanalitangazwa kwa maagizo kutoka juu?

Huna akili kabisa kenge wewe.
Unamaanisha huyu🐊
Nimecheka sana ulivyomalizia😂😂😂
 
Maisha ni magumu sana jamani CHADEMA muacheni tu huyo mama aingie bungeni kwani hana anachoenda kufanya zaidi ya kula posho

Wakimzuia watakuwa wamewazuia wananchi
 
Ila kweli [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kweli kabisa ,hata mimi nimewashangaa , nimeamini CHADEMA ni wabinafsi, hata huruma nao Kwa walichofanyiwa inaanza kuniondoka

Wanamuonea wivu Aida sababu wao wamekosa , Je Mbowe angeshinda wangesusa ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…