Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Yaani wakishindwa mnasema wameibiwa,walishindahii italeta contradiction huyo mdada ametangazwa tuu kwa maelekezo ila kiukweli hajashinda kuna wagombea wengi wa chadema wenishishinda ila hawajatanazwa, huyo dada alikuwepo bunge lililopita alionekana sio threat kwa chama cha majamabazi ndio wakaamua kumtangaza kuwa mshindi ingawaje kiukweli hajasinda ni mchezo mchafu tu umefanywa
Aibu hii kwa CDM waache huu ujinga wa kumnyanyapaa Aida eti asiende bungeniJamaa wabinafsi sana
Lowassa 'alipoibiwa'kura hawakususa kwenda Bungeni kwa kuwa wao walipata Ubunge
Slaa 'alipoibiwa' kura wao hawakususa kwenda Bungeni kwa kuwa wao walipata Ubunge
Safari hii kwa kuwa wao binafsi 'wameibiwa' wanataka hata 'wasioibiwa' wasuse
Hata Mimi nawazaKweli kabisa ,hata mm nimewashangaa , nimeamini Chadema Ni wabinafsi, hata huruma nao Kwa walichofanyiwa inaanza kuniondoka
Wanamuonea wivu Aida sababu wao wamekosa , Je Mbowe angeshinda wangesusa ?
CHADEMA ni wabinafsi sana...Aibu hii kwa CDM waache huu ujinga wa kumnyanyapaa Aida eti asiende bungeni
Hiki ni niniTrump anapolia lia kuibiwa kura kaambiwa weka ushahidi valid mezani sio blaa blaaa
Wekeni mezani mlipata majimbo mangapi na yepi Ccm wameshinda kihalali
Tangu 1995 hakuna Uchaguzi ambao Wapinzani hawajadai kushinda lakin wakiulizwa Ushahidi wanatoa ushahid mwepesi mwepesi kweli
Trump kaonesha Masanduku ya kura 53 ya njia ya posta yalicheleweshwa kuingizwa kwny chumba cha kuhesabia kura kaambiwa ushahidi mwepesi sana
So wekeni ushahidi ili mjadala uwe kwny kujadili ushahidi wenyewe kuepusha ubishi kimbunga wa ama ziliibiwa au laa
Yaani Lissu hakuibiwa kura hata zero ukweli ni kuwa watanzania wengi waliona kazi nzuri ya JPM ,,yaani Lissu kuwaza kumshinda JPM ilikuwa ni zaidi ya maigizoJamaa wabinafsi sana
Lowassa 'alipoibiwa'kura hawakususa kwenda Bungeni kwa kuwa wao walipata Ubunge
Slaa 'alipoibiwa' kura wao hawakususa kwenda Bungeni kwa kuwa wao walipata Ubunge
Safari hii kwa kuwa wao binafsi 'wameibiwa' wanataka hata 'wasioibiwa' wasuse
Wamezidi ubinafsi kwanini ushindi wa Aida wamwambie asiende bungeni kisa wao hawajashinda, mbona mbowe, lisu na wengine walioshinda walienda bungeni Ina maana walishinda chini ya tume tofauti na hii. Nadhani CDM Wana kimfumo dume Cha kijinga na hawaheshimu wanawake in short wanadharau hapo wanataka kuwanyima Hadi viti maalumu ambavyo viko kikatiba kabisa na ni swala la kidunia.Chadema ni wabinafsi sana...
Yaani cha ajabu huwa wanaona ubinafsi wa CCM tu ila wao hawajioni[emoji1787]
Wanahubiri na kulaani ufujaji mali huku wao tu rukuzu Yao wanakula wachache
Na ni chama kinachotaka tukipe dola.
Mi ntakuja kushabikia upinzani unaojielewa ila si huu wa kijinga na kibinafsi.
Ndio hawataki sasa, wanasema uchaguzi batili, lkn mmekuwa mkisema ni batili since kitambo, mbona hamkususia ubunge wenu, hadi leo hii mmekosa ndio mwenzenu naye akose.Mkuu bila kupinga maelezo wala mapendekezo yako, kwahiyo unaona ni sawa uchaguzi kwa sasa kufanyika kwa wizi, na yoyote atakayepata katika mazingira ya wizi watu wasichukue hatua yoyote.
Mimi kwangu nadhani huyo dada aachwe aende bungeni kutafuta kipato maana maisha ni magumu. Lakini hakuna lolote linaenda kujadiliwa humo ndani zaidi ya kumsujudia Magufuli, na kutaka kumuongezea muda wa kukaa madarakani.
Hatutaki sifa za kinafikiI am witnessing the maturity of your political wisdom. Keep it up the number is growing.
Wao 2015 walienda bungeniWamezidi ubinafsi kwanini ushindi wa Aida wamwambie asiende bungeni kisa wao hawajashinda, mbona mbowe, lisu na wengine walioshinda walienda bungeni Ina maana walishinda chini ya tume tofauti na hii. Nadhani CDM Wana kimfumo dume Cha kijinga na hawaheshimu wanawake in short wanadharau hapo wanataka kuwanyima Hadi viti maalumu ambavyo viko kikatiba kabisa na ni swala la kidunia.
CDM kwa hii tabia ya kumsema Aida imeonyesha Hawa watu Ni wabinafsi Sana na hawafai
We have lost election, nights turn to days, and days turn to nights but we want to remain where we were on 2rd of November.
We need to move on but more carefully, organise our party, seal efficiently all the loopholes which made us get the same negative results in all major political contest we participate.
We need to re-organise our party's systems, organisations and leadership particularly the upper echelon tandem and partinent to our countrys' electoral requirements.
We should also forster unity among rank to file of our members for 2025 General election contest.
Hatua gani wachukue mkuu wakati tuliambiwa tuandamane tumegoma sasa wao wafanyeje Kama nguvu ya umma imegoma?
(Maana yake wanamuunga mkono Magufuli)
Hao wapinzani kwenye bunge lililopita walijadili nini Cha maana? zaidi ya kususia vikao vya bunge, kujifunga midomo na kuondoka bungeni.
Tuwaache tu hao ccm wakajadili mana hao wapinzani hata wakienda huko bungeni hawana msaada wowote zaidi ya hasara tu kwenye majimbo yao.
Leo yamewakuta then wanasema tume si huru wenzao wakilalamika kuibiwa waliweka pamba maskioni hawaskii Ila baada ya kukosa wanataka wote wasiende, hicho ni kiwango Cha juu Sana Cha ubinafsi, tena wanaume wanalazimisha Aida na viti maalumu wasiende bungeni so selfish na aibu wallah, waache ubinafsi bwanaWao 2015 walienda bungeni
Hawakutaka kuwaunga mkono wenzao waliokosa kwa kuachia nafasi.
Hawakutaka kukosa wote.
Sasahivi zamu yao kukosa wanataka wenzao wawaunge mkono kwa kuachia nafasi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wanataka wakose wote
Tume ni ile ile [emoji1787]
Chadema hovyo kabisa.
Sema huyo dada ana akili.
Nakuuliza hao unao waita wenye akili bunge lililopita walijadili nini Cha maana?Hilo bunge ni rubber stamp ya serikali, ujadili usijadili kila kitu serikali itafanya kibabe. Huko bungeni kumebaki kituo cha kulia fedha za wananchi kisheria na sio kihalali.
Ni kipi cha maana kilichojadiliwa bunge lililopita? Labda tuanzie hapo kwanza.Nakuuliza hao unao waita wenye akili bunge lililopita walijadili nini Cha maana?
Kabisa mkuu,CHADEMA waache hizoJamaa wabinafsi sana
Lowassa 'alipoibiwa'kura hawakususa kwenda Bungeni kwa kuwa wao walipata Ubunge
Slaa 'alipoibiwa' kura wao hawakususa kwenda Bungeni kwa kuwa wao walipata Ubunge
Safari hii kwa kuwa wao binafsi 'wameibiwa' wanataka hata 'wasioibiwa' wasuse
Hakuna mtu aliyeibiwa kma wameibiwa wapeleke ushahidi mahakamani, maana wanavyo vielelezo,Jamaa wabinafsi sana
Lowassa 'alipoibiwa'kura hawakususa kwenda Bungeni kwa kuwa wao walipata Ubunge
Slaa 'alipoibiwa' kura wao hawakususa kwenda Bungeni kwa kuwa wao walipata Ubunge
Safari hii kwa kuwa wao binafsi 'wameibiwa' wanataka hata 'wasioibiwa' wasuse
Walichojadili bungeni ndio kiliwafanya watu wachague ccm, wakati wale wazee wa akili kubwa wakitoka bungeni na kususia vikao ndipo wenzao wakapitisha budget.Ni kipi cha maana kilichojadiliwa bunge lililopita? Labda tuanzie hapo kwanza.