Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Kamati Kuu itakaa kutoa msimamo rasmi juu ya Mbunge wa Nkasi, Aida Khenan

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Kamati Kuu itakaa kutoa msimamo rasmi juu ya Mbunge wa Nkasi, Aida Khenan

hii italeta contradiction huyo mdada ametangazwa tuu kwa maelekezo ila kiukweli hajashinda kuna wagombea wengi wa chadema wenishishinda ila hawajatanazwa, huyo dada alikuwepo bunge lililopita alionekana sio threat kwa chama cha majamabazi ndio wakaamua kumtangaza kuwa mshindi ingawaje kiukweli hajasinda ni mchezo mchafu tu umefanywa
Yaani wakishindwa mnasema wameibiwa,walishinda

Wakishinda mnasema tena hawajashinda.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Samahani wapinzani wa tz
Hivii mligetemea wabunge gani wa upinzani ambao wangeweza kuibuka kidedea?

Hai kashindwa kihalali
Arusha pia kashindwa kihalali
Mbeya nako kihalali
Tarime nako vilevile
Musoma hivo hivo
Sijui mikumi
Kawe
Kibamba hali ni ile ile
Kwa maana kama ni wizi umetendeka kwa kuonewa wapinzani
Vibe lingeanzia majimboni kwao
Lakn cha kushangaza watu wapo cool kwa maana wamelizka na matokeo hayo na ni halali kabisaaa

Sasa kwanini mlipanga kuja kulinukisha jiji la Dar ili hali sio jimbo lenu?'
Halafu mlijionea wenyewe kabisa kwenye kampeni za Mh TAL jinsi raia wa Dar es salaam hawana time naye?
Acheni lawama zisizo kuwa na mashiko.kabisa
Maana dalili ya mvua ni mawingu
Na imenyesha kweli kweli hadi mmeanza kutafta pa kujibanza kwa aibu

Hapakuwa na mbunge yeyote yule aliekuwa na uwezo wa kuingia bungeni uchaguzi huu 2020, kutoka upinzani na jinsi JPM alivojinadi kupitiankazi yake na hatimaye kuwabeba wagombea ubunge wake,

Na kila aliyejuwa amelitambua toka mapema kuwa 2020 akipata upenyo tu wa kupitishwa na NEC ya CCM lazima atatinga bungeni iwe jua iwe mvua na ndio maana watia nia walikuwa wengi kama nn kupitia CCM

hivyo CCM imejitahidi na kujibeba yenyew kama yenyew kuupata ushindi huu wa kishindo
 
Jamaa wabinafsi sana

Lowassa 'alipoibiwa'kura hawakususa kwenda Bungeni kwa kuwa wao walipata Ubunge

Slaa 'alipoibiwa' kura wao hawakususa kwenda Bungeni kwa kuwa wao walipata Ubunge

Safari hii kwa kuwa wao binafsi 'wameibiwa' wanataka hata 'wasioibiwa' wasuse
Aibu hii kwa CDM waache huu ujinga wa kumnyanyapaa Aida eti asiende bungeni
 
Kweli kabisa ,hata mm nimewashangaa , nimeamini Chadema Ni wabinafsi, hata huruma nao Kwa walichofanyiwa inaanza kuniondoka

Wanamuonea wivu Aida sababu wao wamekosa , Je Mbowe angeshinda wangesusa ?
Hata Mimi nawaza
Hivi huyo lisu angeshinda,halafu wabunge na madiwani wake wote washindwe..je angekubali kuachia nafasi?

Wanaiponda CCM kuwa wabinafsi huku wao ni wabinafsi wa kwanza.
Kweli nyani haoni kundule[emoji1787]
 
Aibu hii kwa CDM waache huu ujinga wa kumnyanyapaa Aida eti asiende bungeni
CHADEMA ni wabinafsi sana...
Yaani cha ajabu huwa wanaona ubinafsi wa CCM tu ila wao hawajioni[emoji1787]

Wanahubiri na kulaani ufujaji mali huku wao tu rukuzu yao wanakula wachache

Na ni chama kinachotaka tukipe dola.
Mi ntakuja kushabikia upinzani unaojielewa ila si huu wa kijinga na kibinafsi.
 
Trump anapolia lia kuibiwa kura kaambiwa weka ushahidi valid mezani sio blaa blaaa

Wekeni mezani mlipata majimbo mangapi na yepi Ccm wameshinda kihalali

Tangu 1995 hakuna Uchaguzi ambao Wapinzani hawajadai kushinda lakin wakiulizwa Ushahidi wanatoa ushahid mwepesi mwepesi kweli

Trump kaonesha Masanduku ya kura 53 ya njia ya posta yalicheleweshwa kuingizwa kwny chumba cha kuhesabia kura kaambiwa ushahidi mwepesi sana

So wekeni ushahidi ili mjadala uwe kwny kujadili ushahidi wenyewe kuepusha ubishi kimbunga wa ama ziliibiwa au laa
Hiki ni nini
 

Attachments

  • 123771577_998398397337436_8536500735324451822_n.mp4
    1,020.6 KB
Jamaa wabinafsi sana

Lowassa 'alipoibiwa'kura hawakususa kwenda Bungeni kwa kuwa wao walipata Ubunge

Slaa 'alipoibiwa' kura wao hawakususa kwenda Bungeni kwa kuwa wao walipata Ubunge

Safari hii kwa kuwa wao binafsi 'wameibiwa' wanataka hata 'wasioibiwa' wasuse
Yaani Lissu hakuibiwa kura hata zero ukweli ni kuwa watanzania wengi waliona kazi nzuri ya JPM ,,yaani Lissu kuwaza kumshinda JPM ilikuwa ni zaidi ya maigizo
 
Chadema ni wabinafsi sana...
Yaani cha ajabu huwa wanaona ubinafsi wa CCM tu ila wao hawajioni[emoji1787]

Wanahubiri na kulaani ufujaji mali huku wao tu rukuzu Yao wanakula wachache

Na ni chama kinachotaka tukipe dola.
Mi ntakuja kushabikia upinzani unaojielewa ila si huu wa kijinga na kibinafsi.
Wamezidi ubinafsi kwanini ushindi wa Aida wamwambie asiende bungeni kisa wao hawajashinda, mbona mbowe, lisu na wengine walioshinda walienda bungeni Ina maana walishinda chini ya tume tofauti na hii. Nadhani CDM Wana kimfumo dume Cha kijinga na hawaheshimu wanawake in short wanadharau hapo wanataka kuwanyima Hadi viti maalumu ambavyo viko kikatiba kabisa na ni swala la kidunia.
CDM kwa hii tabia ya kumsema Aida imeonyesha Hawa watu Ni wabinafsi Sana na hawafai
 
Mkuu bila kupinga maelezo wala mapendekezo yako, kwahiyo unaona ni sawa uchaguzi kwa sasa kufanyika kwa wizi, na yoyote atakayepata katika mazingira ya wizi watu wasichukue hatua yoyote.

Mimi kwangu nadhani huyo dada aachwe aende bungeni kutafuta kipato maana maisha ni magumu. Lakini hakuna lolote linaenda kujadiliwa humo ndani zaidi ya kumsujudia Magufuli, na kutaka kumuongezea muda wa kukaa madarakani.
Ndio hawataki sasa, wanasema uchaguzi batili, lkn mmekuwa mkisema ni batili since kitambo, mbona hamkususia ubunge wenu, hadi leo hii mmekosa ndio mwenzenu naye akose.
Ubinafsi tu
 
Wamezidi ubinafsi kwanini ushindi wa Aida wamwambie asiende bungeni kisa wao hawajashinda, mbona mbowe, lisu na wengine walioshinda walienda bungeni Ina maana walishinda chini ya tume tofauti na hii. Nadhani CDM Wana kimfumo dume Cha kijinga na hawaheshimu wanawake in short wanadharau hapo wanataka kuwanyima Hadi viti maalumu ambavyo viko kikatiba kabisa na ni swala la kidunia.
CDM kwa hii tabia ya kumsema Aida imeonyesha Hawa watu Ni wabinafsi Sana na hawafai
Wao 2015 walienda bungeni
Hawakutaka kuwaunga mkono wenzao waliokosa kwa kuachia nafasi zao za Ubunge.
Hawakutaka kukosa wote.

Sasahivi zamu yao kukosa wanataka wenzao wawaunge mkono kwa kuachia nafasi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wanataka wakose wote
Tume ni ile ile [emoji1787]
CHADEMA hovyo kabisa.

Sema huyo dada ana akili.
 
We have lost election, nights turn to days, and days turn to nights but we want to remain where we were on 2rd of November.

We need to move on but more carefully, organise our party, seal efficiently all the loopholes which made us get the same negative results in all major political contest we participate.

We need to re-organise our party's systems, organisations and leadership particularly the upper echelon tandem and partinent to our countrys' electoral requirements.

We should also forster unity among rank to file of our members for 2025 General election contest.

Not with constitution and Electoral comitee. This shameful and horrible election result, caused by our poor and outdated constitution fullstop.
 
Hatua gani wachukue mkuu wakati tuliambiwa tuandamane tumegoma sasa wao wafanyeje Kama nguvu ya umma imegoma?
(Maana yake wanamuunga mkono Magufuli)

Hao wapinzani kwenye bunge lililopita walijadili nini Cha maana? zaidi ya kususia vikao vya bunge, kujifunga midomo na kuondoka bungeni.
Tuwaache tu hao ccm wakajadili mana hao wapinzani hata wakienda huko bungeni hawana msaada wowote zaidi ya hasara tu kwenye majimbo yao.

Hilo bunge ni rubber stamp ya serikali, ujadili usijadili kila kitu serikali itafanya kibabe. Huko bungeni kumebaki kituo cha kulia fedha za wananchi kisheria na sio kihalali.
 
Wao 2015 walienda bungeni
Hawakutaka kuwaunga mkono wenzao waliokosa kwa kuachia nafasi.
Hawakutaka kukosa wote.

Sasahivi zamu yao kukosa wanataka wenzao wawaunge mkono kwa kuachia nafasi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wanataka wakose wote
Tume ni ile ile [emoji1787]
Chadema hovyo kabisa.

Sema huyo dada ana akili.
Leo yamewakuta then wanasema tume si huru wenzao wakilalamika kuibiwa waliweka pamba maskioni hawaskii Ila baada ya kukosa wanataka wote wasiende, hicho ni kiwango Cha juu Sana Cha ubinafsi, tena wanaume wanalazimisha Aida na viti maalumu wasiende bungeni so selfish na aibu wallah, waache ubinafsi bwana
 
Hilo bunge ni rubber stamp ya serikali, ujadili usijadili kila kitu serikali itafanya kibabe. Huko bungeni kumebaki kituo cha kulia fedha za wananchi kisheria na sio kihalali.
Nakuuliza hao unao waita wenye akili bunge lililopita walijadili nini Cha maana?
 
Nakuuliza hao unao waita wenye akili bunge lililopita walijadili nini Cha maana?
Ni kipi cha maana kilichojadiliwa bunge lililopita? Labda tuanzie hapo kwanza.
 
Jamaa wabinafsi sana

Lowassa 'alipoibiwa'kura hawakususa kwenda Bungeni kwa kuwa wao walipata Ubunge

Slaa 'alipoibiwa' kura wao hawakususa kwenda Bungeni kwa kuwa wao walipata Ubunge

Safari hii kwa kuwa wao binafsi 'wameibiwa' wanataka hata 'wasioibiwa' wasuse
Kabisa mkuu,CHADEMA waache hizo
 
Ha
Jamaa wabinafsi sana

Lowassa 'alipoibiwa'kura hawakususa kwenda Bungeni kwa kuwa wao walipata Ubunge

Slaa 'alipoibiwa' kura wao hawakususa kwenda Bungeni kwa kuwa wao walipata Ubunge

Safari hii kwa kuwa wao binafsi 'wameibiwa' wanataka hata 'wasioibiwa' wasuse
Hakuna mtu aliyeibiwa kma wameibiwa wapeleke ushahidi mahakamani, maana wanavyo vielelezo,
Na mahakimu waliandaliwa mapema ilinwatoe haki haraka kwa wale watakao lalamika.

Wanajua wamepigwa kihalali ndo maana wanataka wengine nao waumie kwa upuuzi wao.
 
Ni kipi cha maana kilichojadiliwa bunge lililopita? Labda tuanzie hapo kwanza.
Walichojadili bungeni ndio kiliwafanya watu wachague ccm, wakati wale wazee wa akili kubwa wakitoka bungeni na kususia vikao ndipo wenzao wakapitisha budget.

Bora wasiwemo kabisa Mana watakuwa wanalipwa mishahara ya bure huku bungeni hawakai kazi yao ni kulewa tu hadi wanaporomoka ovyo kwenye ngazi wanavunjika miguu.
 
Back
Top Bottom