Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Yaani wakishindwa mnasema wameibiwa,walishindahii italeta contradiction huyo mdada ametangazwa tuu kwa maelekezo ila kiukweli hajashinda kuna wagombea wengi wa chadema wenishishinda ila hawajatanazwa, huyo dada alikuwepo bunge lililopita alionekana sio threat kwa chama cha majamabazi ndio wakaamua kumtangaza kuwa mshindi ingawaje kiukweli hajasinda ni mchezo mchafu tu umefanywa
Wakishinda mnasema tena hawajashinda.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]