Ng'wale
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 4,690
- 3,399
Kwani unafikiri anahitajika na CDM, huyo ni boya la CCM wacha akwende. Tunataka mwendo wa kijani tu ndani ya bunge na nje ya bunge. Wengine wanachelewesha maendeleo.Halafu akihamia CCM watasema kanunuliwa