Tundu Lissu: Kamati ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) Yatoka na Maazimio nane dhidi yake

Tundu Lissu: Kamati ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) Yatoka na Maazimio nane dhidi yake

Hapa kwel nina iman sheria lazma itakua transtrated juu ya hilo swala na kupata suluhu stahik juu ya Mh Lissu nakumfanya awe safety 24hrs.
 
yaani lissu anacheza sana bado ana ndoto za kupata nini wakati hataki kuja kujibu waliomshambulia ni kinanani wakati anasema anawajuwa hao anaowategemea sijui wamsindikize anajisumbua tu hii ni nchi huru haiingiliwi na mtu kufanya mambo yake aendelee na mabeberu wenzie huko wampe kazi ya kufanya tunamambo mengi na magufuli wetu huyo panya hatusumbui hata kidogo
 
yaani lissu anacheza sana bado ana ndoto za kupata nini wakati hataki kuja kujibu waliomshambulia ni kinanani wakati anasema anawajuwa hao anaowategemea sijui wamsindikize anajisumbua tu hii ni nchi huru haiingiliwi na mtu kufanya mambo yake aendelee na mabeberu wenzie huko wampe kazi ya kufanya tunamambo mengi na magufuli wetu huyo panya hatusumbui hata kidogo
Angekufa mattercal yakonyangemjibia?
 
Ndugu zangu,

Imekuwa sasa mazoea mara kwa mara Lissu akiongea au akiandika hutoa lalamiko ya kwamba ''nimevuliwa ubunge'', ''spika kazuia nisilipwe mshahara wangu''. Ikumbukwe ni Tundu Lissu mwenyewe aliyesema kupitia vyombo ya habari huko ughaibuni kuwa ''sasa hivi nimepona'' na wakati huo huo badala ya kurudi ili awatumikie wananchi akaendelea kuranda randa huku akitoa povu sehemu mbalimbali. Kwanini anataka kuendelea kulipwa huku hafanyi kazi?

Ni haki kulipwa bila kufanya kazi? Tundu toa jibu la swali hili.

Usalama wake ni muhimu kuliko hiyo kazi.
 
Eti IPU

Ok haya,kwaiyo IPU watakurudishia Ubunge?
Usiliangalie suala hili kwa akili ya bata maji bali kama una akili nzuri basi fanya ku-refresh. Kama unadhani nia ni kurudishiwa ubunge basi uwezo wako wa kufikiri ni kiwango cha kisoda.

Tundu Lissu anagombea utawala wa sheria nchini , demokrasia ya vyama vingi, uhuru wa kujieleza na kukomesha mauaji, utekaji na matumizi bora ya mali yaumma. Vitu vyote hivi vimesiginwa na Dikteta Magufuri. Tundu Lissu hatetei nafsi yake, anakutetea hata wewe mtoa post hii misasa . Leo inawezekana wewe ni kama Makonda yaani unafaidi utwala wa huyu Magufuri, Lakini Magufuri akitoka anaweza kuja Rais mwingine akafanya mambo mabaya kuliko haya na wewe ukawa mhanga.

Kwa hiyo kinachotafutwa ni utawala wa Sheria ambao mihimili 3 inafanya kazi kwa kujitegemea bila kuogopa mhimili mwingine, kama ilivyotokea huko Malawi jana.
 
Did anyone stop or barred him from returning back to his motherland?

Moreover, his self imposed exile should not be a reason to instill fear for his life.

None is interested in harming him at all.

This game of political brinkmanship using words like 'Oh! I know who blah blah{....}should stop.
These are words from the uncivilised mammals!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
View attachment 1346969
View attachment 1346975


Toka: Geneva, Uswisi.

Waheshimiwa Wabunge salaam.

Poleni sana kwa mapambano na hongereni kwa kazi nzuri mnayoifanya. Naendelea kuifuatilia kazi yenu kwa ukaribu sana.

Bila shaka mlisikia kwamba nilipeleka malalamiko juu ya mambo niliyotendewa na Tanzania ya Magufuli kwenye Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) miezi michache iliyopita.

Bunge letu ni mwanachama wa IPU na hivyo linawajibika kuheshimu na kuzingatia haki za Wabunge wake kwa mujibu wa sheria za kimataifa kuhusu haki za binadamu na za Wabunge.

Wiki mbili zilizopita niliitwa kwenye kikao cha Kamati ya Haki za Binadamu ya IPU, Geneva, Uswisi, ili kutoa maelezo ya ziada kuhusu malalamiko yangu. Leo Kamati ya Haki za Binadamu ya IPU imetoa taarifa yake ya uchunguzi wa malalamiko hayo.

Kama mtakavyoona kwenye taarifa yenyewe, Kamati imetoa uamuzi muhimu sana kuhusu suala hili na kuhusu masuala ya haki za Wabunge kwa ujumla. Kamati ya Haki za Binadamu ya IPU imesema yafuatayo kuhusu malalamiko yangu:

1. Kamati imekubali kwamba malalamiko yangu yanakubalika chini ya Kanuni za Uchunguzi na Uamuzi wa Malalamiko za IPU na Kamati ina mamlaka ya kuyachunguza.

2. Kamati imesikitishwa sana na jaribio la mauaji dhidi yangu na tuhuma za kuhusika kwa mamlaka za kiserikali katika jaribio hilo. Mahsusi kabisa, Kamati imehoji vitisho vilivyokuwa vinatolewa dhidi yangu kabla ya shambulio; kuondolewa kwa walinzi wa eneo la makazi yangu muda mfupi kabla ya shambulio hilo; na kuondolewa na kupotezwa kwa kamera za CCTV kutoka kwenye jengo la makazi yangu. Kamati imeomba kupatiwa maelezo rasmi na ya kina kuhusu masuala haya, na taarifa rasmi kuhusu waliohusika na shambulio hilo na wale waliowatuma.

3. Kamati imesisitiza kwamba vitisho dhidi ya maisha na usalama wa Wabunge, vikiachwa bila kuadhibiwa, sio tu vinakiuka haki ya kuishi, ya kuwa salama na ya uhuru wa mawazo ya Wabunge, bali pia inaathiri uwezo wa Bunge kama taasisi kutekeleza wajibu wake.

4. Kamati imesikitishwa na kitendo cha mimi kuvuliwa Ubunge wakati sababu za kutokuwepo kwangu zikiwa zinajulikana wazi kwa mamlaka ya Bunge na umma kwa ujumla. IPU imeomba maelezo kutoka Bunge la Tanzania kuhusu sababu na hoja za uamuzi huo.

5. Kamati imesikitishwa kufahamu kwamba nilikamatwa na polisi mara kadhaa, na kwamba bado ninakabiliwa na mashtaka kadhaa ya jinai yanayoenda kinyume na haki zake za msingi za binadamu, na inapenda kupata maelezo rasmi kuhusu misingi ya kiushahidi na ya kisheria ya kila mojawapo ya mashtaka hayo.

6. Kamati inatambua kwamba ninataka kurudi Tanzania haraka iwezekanavyo, na inapendekeza kuwa ujumbe wa Kamati unisindikize wakati nitakaporudi, kwa imani kwamba kutembelea Tanzania kutatoa fursa ya kukutana na mamlaka za kiserikali, kibunge na kimahakama, pamoja na wadau wengine, ili kuiwezesha Kamati kuelewa suala hili vizuri zaidi.

7. Kamati inamuomba Katibu Mkuu wa IPU kuwasilisha uamuzi huu kwa mamlaka ya kibunge ya Tanzania na kuomba ruhusa ya kutembelea Tanzania kama ilivyopendekezwa.

8. Kamati itaendelea na uchunguzi wa malalamiko haya katika kikao chake kijacho.

Kama mtakavyoona kwenye taarifa ya Kamati, IPU imekuwa ikipokea malalamiko ya manyanyaso ya Wabunge, hasa wa vyama vya upinzani, kutoka sehemu mbali mbali duniani na kuyachunguza.

Kitu cha kufurahisha ni kwamba IPU imechunguza maamuzi ya kuwafukuza au kuwasimamisha Wabunge kuhudhuria vikao vya Bunge, vitendo ambavyo vimekithiri sana katika Bunge letu.

Ushauri wangu ni kwamba Wabunge wetu wote ambao wameathiriwa na vitendo hivi wawasilishe malalamiko yao kwa IPU ili yachunguzwe. Mtaona kwenye taarifa hii jinsi ambavyo malalamiko kutoka sehemu mbali mbali duniani, ikiwemo Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, yameshughulikiwa.

Kufanya hivyo kutaongeza shinikizo kwa utawala huu wa mabavu, pamoja na uongozi wa Bunge. Angalau wananchi wetu, na Serikali ya Magufuli na Bunge la Spika Ndugai, watajua kwamba vitendo vya ukiukaji wa haki za binadamu na za Wabunge wa upinzani zinamulikiwa taa na dunia.

Kama hili linakubalika, niko tayari kuwasaidia kuandaa hoja za kupeleka IPU au, bora zaidi, kuwaomba mawakili wangu wa London, yaani Amsterdam & Partners, kufanya hivyo kwa niaba yetu wote.

Wasalaam.
Tundu Lissu
Makamu Mwenyekiti Tanganyika.

Kwa taarifa zaidi, soma kiambatanisho hiki
Walipiga risasi mguuni wakasahau kichwani sasa kichwa Kimoja Cha Lissu ni sawa na zaidi ya Cabineti zima ya JPM
 
Informer,
Kinachosikitisha ni tabia ya kuyaamini Mataifa ya Ulaya ni bora kuliko Taifa lako. Na cha kusikitisha zaidi kuendelea kuwa kipofu kwenye Mataifa unaojipendekeza Matendo maovu wanayoyatenda dhidi ya Binadamu Wengine.

Hivi umejisahaulisha kama unaojipendekeza kwao Walipigwa kwenye kitega Uchumi chao tegemeo kwa Uchumi wao na Wananchi wao wengi walipoteza Maisha lakini hakuna aliyetoka kwenda kuwalalamikia viongozi wa Marekani kwenye mataifa yao kushindwa kuwalinda.

Hivi hauelewi bado kama unaoenda kwao kujikomba kutwa Wanapanga kutengeneza vitisho kwa Mataifa ambayo wako tofauti na sera na mitazamo nao, Hivi Tundu Lissu na usomi wako ukiwa ughaibuni hujasikia kama huko Kenya Watu wliuwawa katika ya jiji la Kibiashara, Hivi hauelewi huko unakojikomba kama Mwezi uliopita walitaka kuingia vitani na Irani kutokana na kumuua Kiongozi wa Jeshi la Irani na Mpaka ikapelekea madhara kwa abiria wasio na hatia kupoteza Maisha kwenye ndege.

Bora umekuwa Mtanzania, nchi ya wote wenye dini na wasio na dini, na wenye upendo pekee na Huruma iliyotukuka. Kwa tabia zako ungekuwa ni wa Kwenye Mataifa unaojipendekeza kwao Ungekuwa Kuzimu saizi.

Hakuna Taifa lolote Duniani ambalo linaweza kukubali kudhalilishwa kwa tuhuma za uongo na za kusadikika, Wenzako wanatembea Duniani kuutangaza uzuri wa kwao ili kuvutia watalii, Wawekezaji, na kulijenga Taifa kuaminiwa Duniani, lakini kwa Tabia zake huyu anaitwa Lissu ni kupewa kifungo cha Maisha Gerezani.

Tundu Lissu hana tofauti na mbelepejha
Mpendwa umeonesha MIHEMKO ya hali ya juu lakini pia UNACHEKESHA, labda umejisahaulisha ama kujitoa ufahamu, wajifanya hujui kuwa Yanayo lalamikiwa hapa kwetu wameyapuuzia kwa sababu ya itikadi zao za uCCM?, Nchi yetu imekuwa bingwa wa kuvunja misingi ya haki za binadamu na Utu wa watu?,
Pia lengo la Ichi yetu ilikubali kujiunga na Taasisi hiyo ili Watakao fanyiwa udhalimu kutumia njia hiyo pale Nchi mwanachama itakapo kiuka taratibu na kubaka muhimili wa Sheria, na taarifa ya Jemedari T.A.L imeonesha Nchi nyingine zenye matendo ya udhalimu na ufedhuli kwa Raia wake,Nao pia wamepeleka mashitaka na yanachunguzwa na kufanyiwa Kazi kama ya LISSU.
HITIMISHO:-
Kutokana na kutosikilizwa na kufanyiwa Ufedhuli wa Wazi na Watawala tena kwa mbwembwe na kebehi za hali ya juu huku mkicheza na kuserebuka iyenaiyena T.A.L Anakila sababu ya kwenda kushtaki huko kwa MNAOPENDA PESA ZAO ILA WAO HAMUWAPENDI. simamia haki ikuweke HURU.
 
Mpendwa umeonesha MIHEMKO ya hali ya juu lakini pia UNACHEKESHA, labda umejisahaulisha ama kujitoa ufahamu, wajifanya hujui kuwa Yanayo lalamikiwa hapa kwetu wameyapuuzia kwa sababu ya itikadi zao za uCCM?, Inchi yetu imekuwa bingwa wa kuvunja misingi ya haki za binadamu na Utu wa mtu?,
Pia lengo la Ichi kukubali kujiunga na Taasisi hiyo lilikuwa ni kutumia njia hiyo pale Nchi mwanachama itakapo kiuka taratibu na kubaka muhimili wa Sheria, na taarifa ya kwa Jemedari T.A.L imeonesha Nchi nyingine zenye matendo ya udhalimu na ufedhuli kwa Raia wake,Nao pia wamepeleka mashitaka na yanachunguzwa na kufanyiwa Kazi kama ya LISSU.
HITIMISHO:-
Kutokana na kutosikilizwa na kufanyiwa Ufedhuli wa Wazi na Watawala tena kwa mbwembwe na kebehi za hali ya juu huku mkicheza na kuserebuka iyenaiyena T.A.L Anakila sababu ya kwenda kushtaki huko kwa MNAOPENDA PESA ZAO ILA WAO HAMUWANDI.
Achana na huyo Lofa anataka kujilinganisha na utawala wake huu wa manyani na tawala za wazungu??
 
assa von micky,
Si unaona wengine wanasem amwachie Mungu?yaani watz tumelelewa km loser vile kila kitu unaogopa .hofu na woga ndo maisha yetu mwingine kasema oh atawap nn watoto wake urithi..shenzy kbs!lisu pambane haki ionekane kutendeka hata km itachelewa!

Nadhan kale kamsemo ka bible kuwa
kila kitu Mwachie Mungu tumekachukulia sio kbs ..!
umeona eee yaani just imagine Mtu anasema simple tu tumuachie Mungu,,,,na ndiyo maana hata tuhuma alizopewa BASHITE tunaziona za kawaida yaani mtu anatuhumiwa kwa kudhulumu haki ya watu ya kuishi haki ya kuishi...leo Bashite na wapambe wake wanatanua barabarani na maofisini huku kuna watu wapo jela na hawana hatia.
Sisi wabongo bana mambo ya haki tena hizi haki za kikatiba tunaona ni hisani...
 
Mpendwa umeonesha MIHEMKO ya hali ya juu lakini pia UNACHEKESHA, labda umejisahaulisha ama kujitoa ufahamu, wajifanya hujui kuwa Yanayo lalamikiwa hapa kwetu wameyapuuzia kwa sababu ya itikadi zao za uCCM?, Nchi yetu imekuwa bingwa wa kuvunja misingi ya haki za binadamu na Utu wa watu?,
Pia lengo la Ichi yetu ilikubali kujiunga na Taasisi hiyo ili Watakao fanyiwa udhalimu kutumia njia hiyo pale Nchi mwanachama itakapo kiuka taratibu na kubaka muhimili wa Sheria, na taarifa ya Jemedari T.A.L imeonesha Nchi nyingine zenye matendo ya udhalimu na ufedhuli kwa Raia wake,Nao pia wamepeleka mashitaka na yanachunguzwa na kufanyiwa Kazi kama ya LISSU.
HITIMISHO:-
Kutokana na kutosikilizwa na kufanyiwa Ufedhuli wa Wazi na Watawala tena kwa mbwembwe na kebehi za hali ya juu huku mkicheza na kuserebuka iyenaiyena T.A.L Anakila sababu ya kwenda kushtaki huko kwa MNAOPENDA PESA ZAO ILA WAO HAMUWAPENDI. simamia haki ikuweke HURU.
hakuna chochote watakachomsaidia anapoteza muda tu bora aendelee na dili yake ya ushoga aliyopata huko labda itamsaidia
 
Back
Top Bottom