Pre GE2025 Tundu Lissu: Katiba ya ovyo imetuletea Rais wa ovyo asiye na uchungu kwa raia wake wala rasilimali za nchi

Pre GE2025 Tundu Lissu: Katiba ya ovyo imetuletea Rais wa ovyo asiye na uchungu kwa raia wake wala rasilimali za nchi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Li Tundu Lissu ni likichaa tu .alishakosa malezi mazuri ya mama yake tokea akiwa mdogo na ndio maana ni mkubwa lakini kubwa jinga tu.maana anaongeaga kwa kuropoka ropoka tu utafikiri mtu aliyekatika mishipa ya fahamu au aliyepata ajali na kupata majeraha ya kichwa na kutikisa ubongo. Mtu unayejitambua na mtu mzima huwezi ukawa unaropoka pasipo heshima wala adabu.

Lissu ni mjinga sana tena sana. Ni mkubwa mwili tu lakini hana akili ya Kiutu uzima. Ni mtu aliyekosa staha na adabu.ni.mtu mzima lakini.amejaa mihemuko na ukurupukaji kama vuta bangi lililo kubuhu.
Mimi naona kama unajisema wewe mwenyewe eti!! Maana haya mashudu yote uliyiyaweka gapa, ni kama vile yanakuhusu wewe mwenyewe.

Imagine wewe ni binadamu, lakini wengi wanakutambua humu jukwaani kama CHAWA!! Do you think it is ok?

By the way, mambo yote aliyoyaongea yana ukweli kwa 100%. Na kama umeumia sana, kunywa sumu ufe. Maana hata faida yenyewe sidhani kama unayo hapa duniani.
 
Li Tundu Lissu ni likichaa tu .alishakosa malezi mazuri ya mama yake tokea akiwa mdogo na ndio maana ni mkubwa lakini kubwa jinga tu.maana anaongeaga kwa kuropoka ropoka tu utafikiri mtu aliyekatika mishipa ya fahamu au aliyepata ajali na kupata majeraha ya kichwa na kutikisa ubongo. Mtu unayejitambua na mtu mzima huwezi ukawa unaropoka pasipo heshima wala adabu.

Lissu ni mjinga sana tena sana. Ni mkubwa mwili tu lakini hana akili ya Kiutu uzima. Ni mtu aliyekosa staha na adabu.ni.mtu mzima lakini.amejaa mihemuko na ukurupukaji kama vuta bangi lililo kubuhu.
Kwa yaliyosemwa hapo juu Ni lipi la uongo?
 
Leo Mh. Tundu Lissu akiwa Ivory Coast moja kati ya aliyoyasema kwenye hotuba yake ni ubovu wa katiba yetu tuliyo nayo sasa.

Amesema katiba inetuletea viongozi wa hovyo wasio na uchungu kwa wananchi wao wala raslimali za nchi kwa vile hawakuingia madarakani kihalali.

Akitoa mfano wa huyu wa sasa:

1. Kauza bandari kwa DPW

2. Kuwaondoa Wamasai Ngorongoro na Loliondo kwa nguvu ili wakae Waarabu.

3. Mfumko wa bei usio na mantiki

4. Ukali wa maisha hasa kwa wananchi wanyonge na wa hali ya chini.

5. Kutowajibika kwa baadhi ya watendaji wake ipasavyo wakiwamo mawaziri

6. Matumizi makubwa (anasa) kwa serikali ya sasa

7. Ongezeko la tozo na kodi mbalimbali

8. Kukosa mvuto kwa raia!
Rubbish: bora aseme mbowe, huyu aishindwa 87%/13% no contest. Dr Slaa alipata 24% kaja Lowasa ikafika 48% yaani wabunge 103. Matusi na ubabebabe kawatawanya kabaki 1. Anasa? What's nasa, nena Kenya uone anasa maraisi 26 mmoja kila County yaani kila Kabila, na Supika, na IGP, na wabunge: hiyo ndiyo anasa. Bei pekee iliyopanda ni ngano na mafuta shauri ya Ukraine - yaliyobaki yamepanda bei ni good news kwa Wakulima na Wafugaji wetu - mahindi Makambako, maharage Kyela, ndizimtori Uchagani na ng'ombe wa nyama wa Usukumani. Hajaeleza pia alikuwa wapo khasa.
 
JamiiForums1327454580.jpeg
 
Kwani tangu lini Lisu alitambua Kama nchi ina wanyonge,tangu lini Lisu hakuwahi kulalamika kwamba magufuri kabana hela
 
Li Tundu Lissu ni likichaa tu .alishakosa malezi mazuri ya mama yake tokea akiwa mdogo na ndio maana ni mkubwa lakini kubwa jinga tu.maana anaongeaga kwa kuropoka ropoka tu utafikiri mtu aliyekatika mishipa ya fahamu au aliyepata ajali na kupata majeraha ya kichwa na kutikisa ubongo. Mtu unayejitambua na mtu mzima huwezi ukawa unaropoka pasipo heshima wala adabu.

Lissu ni mjinga sana tena sana. Ni mkubwa mwili tu lakini hana akili ya Kiutu uzima. Ni mtu aliyekosa staha na adabu.ni.mtu mzima lakini.amejaa mihemuko na ukurupukaji kama vuta bangi lililo kubuhu.
Brother hivi unamarinda wewe ??
 
Lissu katakana, na huyu mshabiki wa, Samia kamtukana Lissu. Itakuwa akili ndogo sana na iliyonyauka kusema kuwa, huyu aliyemtukana Lissu hana akili. Je, Lissu sasa, ana akili au ana mvi tupu kichwani.
Mkikosa hoja za kujibu ndio mnashoboka utumbo kama huu!! Shame on you!! Una matatizo makubwa sana kichwani
 
Magufuli alilinda raslimali kwa bunduki mkawatetea Barick, Mama anajaribu kufuata Sheria mnalaumu!

Mnataka nini enyi kenge!?

..Magufuli hakulinda rasilimali.

..Alichokuwa anafanya ni ulaghai tu kuwarubuni msiokuwa na uelewa.

..Mlinzi mkubwa wa maslahi ya Barrick alikuwa ni Magufuli ambaye aliwasamehe kwa wizi wao wa usd 191 billion.

..Na CEO wa Barrick Tanzania Bw.Deo Mwanyika alipewa ubunge na Magufuli.
 
Pressure za Lissu anazotiwa na Mbowe hana pakuzitolea.

Mke hana, anaona njia ya mkato ni Mama Samia, akae chonjo tu.
 
Lissu katakana, na huyu mshabiki wa, Samia kamtukana Lissu. Itakuwa akili ndogo sana na iliyonyauka kusema kuwa, huyu aliyemtukana Lissu hana akili. Je, Lissu sasa, ana akili au ana mvi tupu kichwani.

..Lissu hana tabia ya kutukana.

..ukimsikiliza bila ushabiki utagundua ana tabia ya kuwaambia watawala ukweli bila kujali nafasi zao.

..Na watawala wa nchi hii hawapendi kuambiwa ukweli. Wanasingizia kuwa wametukanwa.
 
Li Tundu Lissu ni likichaa tu .alishakosa malezi mazuri ya mama yake tokea akiwa mdogo na ndio maana ni mkubwa lakini kubwa jinga tu.maana anaongeaga kwa kuropoka ropoka tu utafikiri mtu aliyekatika mishipa ya fahamu au aliyepata ajali na kupata majeraha ya kichwa na kutikisa ubongo. Mtu unayejitambua na mtu mzima huwezi ukawa unaropoka pasipo heshima wala adabu.

Lissu ni mjinga sana tena sana. Ni mkubwa mwili tu lakini hana akili ya Kiutu uzima. Ni mtu aliyekosa staha na adabu.ni.mtu mzima lakini.amejaa mihemuko na ukurupukaji kama vuta bangi lililo kubuhu.
Baba yako, mama yako na familia yako mpaka kizazi chenu cha 20 plus Samia na Tulia hawawezi kufikia hata robo ya akili ya Lissu, muulize Makonda kwanini alitaka kumuua Lissu.
 
Back
Top Bottom