Pre GE2025 Tundu Lissu: Katiba ya ovyo imetuletea Rais wa ovyo asiye na uchungu kwa raia wake wala rasilimali za nchi

Pre GE2025 Tundu Lissu: Katiba ya ovyo imetuletea Rais wa ovyo asiye na uchungu kwa raia wake wala rasilimali za nchi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Li Tundu Lissu ni likichaa tu .alishakosa malezi mazuri ya mama yake tokea akiwa mdogo na ndio maana ni mkubwa lakini kubwa jinga tu.maana anaongeaga kwa kuropoka ropoka tu utafikiri mtu aliyekatika mishipa ya fahamu au aliyepata ajali na kupata majeraha ya kichwa na kutikisa ubongo. Mtu unayejitambua na mtu mzima huwezi ukawa unaropoka pasipo heshima wala adabu.

Lissu ni mjinga sana tena sana. Ni mkubwa mwili tu lakini hana akili ya Kiutu uzima. Ni mtu aliyekosa staha na adabu.ni.mtu mzima lakini.amejaa mihemuko na ukurupukaji kama vuta bangi lililo kubuhu.
Mkuu, hoja yako hasa ni nini??. Hebu jikite kwenye yale aliyoyasema Lissu...naona unaielezea haiba yake, sote tunaijua!.
 
Li Tundu Lissu ni likichaa tu .alishakosa malezi mazuri ya mama yake tokea akiwa mdogo na ndio maana ni mkubwa lakini kubwa jinga tu.maana anaongeaga kwa kuropoka ropoka tu utafikiri mtu aliyekatika mishipa ya fahamu au aliyepata ajali na kupata majeraha ya kichwa na kutikisa ubongo. Mtu unayejitambua na mtu mzima huwezi ukawa unaropoka pasipo heshima wala adabu.

Lissu ni mjinga sana tena sana. Ni mkubwa mwili tu lakini hana akili ya Kiutu uzima. Ni mtu aliyekosa staha na adabu.ni.mtu mzima lakini.amejaa mihemuko na ukurupukaji kama vuta bangi lililo kubuhu.
Tulia wewe msambwanda
 
Sometimes nachukia nchi Yangu na watu wake wote kwa ninayoyaona ila nikisikia maneno kama haya kutoka kwa watu kama lissu huwa najipa moyo kuwa the day is coming no matter how long will take us
Umenisemea kabisa mkuu.... kuna wakati mpaka unahisi kukata tamaa kwenye struggle za maisha sababu ya mifumo na uongozi mbovu tulionao ambao huoni future ya nchi na kubaki kusikitikia generation ya watoto wetu jinsi itakavyokuwa ngumu...... Maandamano nadhani ndio hatua sahihi ya kurekebisha uozo huu.
 
Umenisemea kabisa mkuu.... kuna wakati mpaka unahisi kukata tamaa kwenye struggle za maisha sababu ya mifumo na uongozi mbovu tulionao ambao huoni future ya nchi na kubaki kusikitikia generation ya watoto wetu jinsi itakavyokuwa ngumu...... Maandamano nadhani ndio hatua sahihi ya kurekebisha uozo huu.
Kwetu Sisi tushapigwa kazi ni kuwapambania wanetu kama watakita chochote kilichobaki
 
Leo Mh. Tundu Lissu akiwa Ivory Coast moja kati ya aliyoyasema kwenye hotuba yake ni ubovu wa katiba yetu tuliyo nayo sasa.

Amesema katiba inetuletea viongozi wa hovyo wasio na uchungu kwa wananchi wao wala raslimali za nchi kwa vile hawakuingia madarakani kihalali.

Akitoa mfano wa huyu wa sasa:

1. Kauza bandari kwa DPW

2. Kuwaondoa Wamasai Ngorongoro na Loliondo kwa nguvu ili wakae Waarabu.

3. Mfumko wa bei usio na mantiki

4. Ukali wa maisha hasa kwa wananchi wanyonge na wa hali ya chini.

5. Kutowajibika kwa baadhi ya watendaji wake ipasavyo wakiwamo mawaziri

6. Matumizi makubwa (anasa) kwa serikali ya sasa

7. Ongezeko la tozo na kodi mbalimbali

8. Kukosa mvuto kwa raia!
Tundu Lissu sio Tindu, header.
 
Li Tundu Lissu ni likichaa tu .alishakosa malezi mazuri ya mama yake tokea akiwa mdogo na ndio maana ni mkubwa lakini kubwa jinga tu.maana anaongeaga kwa kuropoka ropoka tu utafikiri mtu aliyekatika mishipa ya fahamu au aliyepata ajali na kupata majeraha ya kichwa na kutikisa ubongo. Mtu unayejitambua na mtu mzima huwezi ukawa unaropoka pasipo heshima wala adabu.

Lissu ni mjinga sana tena sana. Ni mkubwa mwili tu lakini hana akili ya Kiutu uzima. Ni mtu aliyekosa staha na adabu.ni.mtu mzima lakini.amejaa mihemuko na ukurupukaji kama vuta bangi lililo kubuhu.
Your bomboclaat batman
 
Leo Mh. Tundu Lissu akiwa Ivory Coast moja kati ya aliyoyasema kwenye hotuba yake ni ubovu wa katiba yetu tuliyo nayo sasa.

Amesema katiba inetuletea viongozi wa hovyo wasio na uchungu kwa wananchi wao wala raslimali za nchi kwa vile hawakuingia madarakani kihalali.

Akitoa mfano wa huyu wa sasa:

1. Kauza bandari kwa DPW

2. Kuwaondoa Wamasai Ngorongoro na Loliondo kwa nguvu ili wakae Waarabu.

3. Mfumko wa bei usio na mantiki

4. Ukali wa maisha hasa kwa wananchi wanyonge na wa hali ya chini.

5. Kutowajibika kwa baadhi ya watendaji wake ipasavyo wakiwamo mawaziri

6. Matumizi makubwa (anasa) kwa serikali ya sasa

7. Ongezeko la tozo na kodi mbalimbali

8. Kukosa mvuto kwa raia!
Huyu ndo huwa anaongea mambo ya maana sio yule kengeza kila siku kulia maridhiano yasiyokuwa na maana utadhani tulikuwa kwemye vita
 
Umenisemea kabisa mkuu.... kuna wakati mpaka unahisi kukata tamaa kwenye struggle za maisha sababu ya mifumo na uongozi mbovu tulionao ambao huoni future ya nchi na kubaki kusikitikia generation ya watoto wetu jinsi itakavyokuwa ngumu...... Maandamano nadhani ndio hatua sahihi ya kurekebisha uozo huu.
Naunga mkono hoja.
Sometimes lazima ukubali kuanza upya ili utengeneze kitu kizuri.
Kwa maneno mengine kama ulikosea msingi, ni vyema ukabomoa nyumba ili ujenge nyumba yenye msingi imara upya. Ukikomaa na hiyo yenye msingi mbovu, tetemeko au mafuriko yakija, yatakuletea madhara makubwa sana wewe na familia yako!
Ni kweli kila Mtanzania anataka amani. Lakini viongozi wetu wanaitumia hiyo Shauku kujinufaisha wao na familia zao tu huku walio wengi wakiishi maisha ya bora jana!!
We need equal distribution of National Cake to all, over.
 
Li Tundu Lissu ni likichaa tu .alishakosa malezi mazuri ya mama yake tokea akiwa mdogo na ndio maana ni mkubwa lakini kubwa jinga tu.maana anaongeaga kwa kuropoka ropoka tu utafikiri mtu aliyekatika mishipa ya fahamu au aliyepata ajali na kupata majeraha ya kichwa na kutikisa ubongo. Mtu unayejitambua na mtu mzima huwezi ukawa unaropoka pasipo heshima wala adabu.

Lissu ni mjinga sana tena sana. Ni mkubwa mwili tu lakini hana akili ya Kiutu uzima. Ni mtu aliyekosa staha na adabu.ni.mtu mzima lakini.amejaa mihemuko na ukurupukaji kama vuta bangi

Li Tundu Lissu ni likichaa tu .alishakosa malezi mazuri ya mama yake tokea akiwa mdogo na ndio maana ni mkubwa lakini kubwa jinga tu.maana anaongeaga kwa kuropoka ropoka tu utafikiri mtu aliyekatika mishipa ya fahamu au aliyepata ajali na kupata majeraha ya kichwa na kutikisa ubongo. Mtu unayejitambua na mtu mzima huwezi ukawa unaropoka pasipo heshima wala adabu.

Lissu ni mjinga sana tena sana. Ni mkubwa mwili tu lakini hana akili ya Kiutu uzima. Ni mtu aliyekosa staha na adabu.ni.mtu mzima lakini.amejaa mihemuko na ukurupukaji kama vuta bangi lililo kubuhu.
Wengne tlitegmea ungejibu hoja badala ya kuelezea unavomfaham au kufaham yalomtokea maishani mwake. Kna watu wanaamini mambo tofauti na hayo kumhusu TAL. Lugha zngine humu znamfanya mwandishi kuonyesha upeo na haiba yake mwenyewe. Uungwana ni vitendo pia ...au?
 
Acha kuchafua watu wewe.kama una ushahidi nenda mahakamani.ninyi manyumbu na mafisi wa CHADEMA ni watu wa hovyo sana na ambao hampaswi kusikilizwa kwa chochote kile. Ninyi si ndio mlimtukanaga Lowassa kwa miaka nane kuwa ni fisadi na mwizi? Je 2015 hamkumkaribisha ? Hamkupatia ugombea urais? Kama siyo manyumbu na mahayawani mnataka tuwaite akina nani nyie?
Siku hizi unatukana kiasi hiki? Acha tafadhali unajishushia heshima
 
Back
Top Bottom