Train lilikuwa linatoka wapi kwenda wapi? TwambieWazee wa kudandia treni kwa mbele washaanza hapo.
Tundu Lissu kupitia akaunti binafsi ya mtandao wa X ameandika,
'Hivi Serikali hii ilijifunza chochote juu ya kifo cha Magufuli mwaka juzi? Kifo au ugonjwa wa kiongozi mkuu wa nchi havifichiki! Kufichaficha kunaleta hisia mbaya za mchezo mchafu dhidi yake. Jisafisheni! Tuambieni aliko Makamu wa Rais Phillip Mpango sasa!'
Pia soma > Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa: Makamu wa Rais, Philip Mpango yuko nje kwa majukumu
Ukiona wanaficha ujue wamemdhuru wenyewe nafsi zinawasuta. Binadamu kuugua siyo dhambi wala jambo la aibu,kwa nini wafiche? WAMEMDHURU WENYEWE.Nakumbuka Rais MOHAMEDI BUHARI wa NIGERIA alipokuwa mgonjwa mambo yaliwekwa hadharani kwa taifa na wananchi wake. BUHARI alikwenda UINGEREZA kwa matibabu kwa kipindi cha miezi sita.
Nashangaa hapa kwetu TZ kiongozi akiugua eti inakuwa "TOP SECRET" kwa nini?, Kuna shida gani? Miaka sitini ya kujitawala bado viongozi wetu hawajiamini, kuugua au kufariki kwa viongozi?
Kipindi cha msiba wa aliyekuwa Rais wetu JPM, wananchi hatukupewa taarifa yoyote ya kuugua kwake,na ghafla tukatangaziwa kifo chake, lilikuwa ni jambo la kushangaza na kusikitisha.
Hali kama hii inatia mashaka na sintofahamu juu ya mustakabali wa maisha, maradhi na vifo vya viongozi wetu wa ki taifa.
Rai yangu ni kwamba; seikali iwe inaweka wazi mwenendo wa ki maisha ya viongozi wa wetu ngazi ya kitaifa kwa sababu zifuatazo;
I.Viongozi ni waajiriwa wa wananchi kupitia sanduku la kura, na wanalipwa kutokana na kodi za wananchi.
II. Kuwaondolea wananchi wasiwasi kuhusu viongozi wao kutendewa ndivyo sivyo.
III.Kuwapa wananchi fursa ya kuwaombea viongozi wao kwa imani zao tofauti.
IV. Kuliweka taifa IMARA kwa hali yoyote itakayojitokeza.
Ikumbukwe kuwa, kila chenye uhai; Huzaliwa, Huishi na hatimaye Hufa.
Majaliwa ni baba wa uongo, asemapo uongo hunena yaliyo yake, kwani yeye ni baba wa huo uongo tangu mwanzoWaziri mkuu si alitoa tamko juzi?
Huyo uwa ni Mwongo sana kama alidanganya msikitini sembuse kwenye hadhara? Bora tumsubiri Kamanda Lema.Waziri mkuu si alitoa tamko juzi?
kina mama akoWazee wa kudandia treni kwa mbele washaanza hapo.
Washasahau ajenda ya bandariTundu Lissu kupitia akaunti binafsi ya mtandao wa X ameandika,
'Hivi Serikali hii ilijifunza chochote juu ya kifo cha Magufuli mwaka juzi? Kifo au ugonjwa wa kiongozi mkuu wa nchi havifichiki! Kufichaficha kunaleta hisia mbaya za mchezo mchafu dhidi yake. Jisafisheni! Tuambieni aliko Makamu wa Rais Phillip Mpango sasa!'
Pia soma > Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa: Makamu wa Rais, Philip Mpango yuko nje kwa majukumu
Sisi wanyonge tulishanyongwa sana na hakuna anayejali.Watajijua wenyewe, waseme wasiseme sisi maisha yanasonga.
Bandari ilishauzwa unataka agenda gani tena? Lumumba mtamalizanaWashasahau ajenda ya bandari
Tell us where exactly the Vice President is enoyijg his Life???Wazee wa kudandia treni kwa mbele washaanza hapo.
Whatever,i dont care.Tell us where exactly the Vice President is enoyijg his Life???