Tundu Lissu: Kifo au ugonjwa wa kiongozi yeyote haufichiki. Tuambieni alipo Makamu wa Rais Philip Mpango

Kuweka taifa zima kwenye suspense ni ushetani usiozungumzika.Yule ni kiongozi mkubwa sana. Familia haiwezi zungumza,marafiki na viongozi wa dini,serikali na mataifa aliohusiana nao nao wanapitia wakati mgumu. Crisis management ni ngumu hivi nchi hii? Msitupe vijisababu vya tunajipanga tunajipanga,you make this seem planned au ndio mnasubiria mpango ukamilike mnatuandaa kisaikolojia? Inaumiza sana.
 
Watu waliugua hadi korona na taarifa wananchi tulipata mzee wa msoga aliugua tezi dume na taarifa tulipewa lakini hili la Mzee mpango hakina kuna jambo la aibu lakini muda ndiye mwalimu wa kweli
 


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukiona wanaficha ujue wamemdhuru wenyewe nafsi zinawasuta. Binadamu kuugua siyo dhambi wala jambo la aibu,kwa nini wafiche? WAMEMDHURU WENYEWE.
 
Washasahau ajenda ya bandari
 
Kufuatia kuhoji kwake, maana yake yeye TAL ashajua mbivu na mbichi!!
Ana detail zote kuhusu makamu wa Rais!!
[emoji26][emoji26]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…