Tundu Lissu: Kifo au ugonjwa wa kiongozi yeyote haufichiki. Tuambieni alipo Makamu wa Rais Philip Mpango

Kufuatia kuhoji kwake, maana yake yeye TAL ashajua mbivu na mbichi!!
Ana detail zote kuhusu makamu wa Rais!!
[emoji26][emoji26]
Yes when you take two and two together unaweza ukafanya speculation kama hiyo uliyoiandika !!
Lakini bado itabaki kuwa ni speculation tu !!
 
Duh!😞😞
 

Ni rahisi sana kuwapata waovu ndani ya CCM kuliko watu wema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…