Tundu Lissu kila nikijilazimisha nimuone wa maana, moyo unagoma tu, simpendi na sipendi awe kiongozi kokote kule!

Tundu Lissu kila nikijilazimisha nimuone wa maana, moyo unagoma tu, simpendi na sipendi awe kiongozi kokote kule!

Sijapinga sifa zake zote za kuwapigania wananchi mkuu, shida yake moja ni kutoamini kwamba nchi yetu inauhuru na kwamba sisi tunaweza kumaliza mambo yetu bila mkono wa mzungu
Hamna uwezo wa kumaliza.Nyinyi mnataka uongozi uwe unawekwa na genge dog.o mwananchi awe mtazamaji.Ndio mnapopishana na Tundu.Mzungu anatakiws asaidie kuwa bana nyinyi wakoloni u chwara
 
Mkisema upeo wangu ni mdogo sawa tu! Na matusi yoote juu yangu sawa tu,


Lakini leo nataka tu niseme ukweli wa moyo wangu,

Mh Tundu Lissu ni kweli kabisa ni kati ya wanasiasa wanaoifaa sana nchi yangu Tanzania,

Tanzania bila viongozi wenye uthubutu wa kufanya mambo, tutaendelea kubaki nyuma siku zote, na Mh Lissu hizo sifa anazo, kulingana na misimamo yake weledi na ujasiri wa kukabiliana na wanasiasa njaa na uthubutu wa kukemea kila uovu hadharani, inatosha kusema, huyu pia ni kati ya wanasiasa wanaofaa kuwapo kwenye Top Lider wa kuiongoza Tanzania

Licha ya sifa hizo zoote, simpendi tu na Namuomba Mungu kila siku asiwe kiongozi kwenye nafasi yoyote ile ya nchi hii

Moja ya sababu inayopelekea kumchukia, ninadhani na ingawa sina uhakika nalo, kwamba, ni kati ya watu ambao huwenda wanasiri kubwa sana moyoni kuhusu mstakabali wa nchi na rasilimali zake kutokana na anavyowahusudu wazungu

Moja ya mambo ambayo yanafanya kuona kwamba yeye na wazungu ni kitu kimoja, ni pamoja na kuhamishia familia yake yeye na watoto wake kuwa raia wa huko, kujaribu kutetea mila za kishoga ambazo sio utamaduni wa mwafrika ni moja kati ya mengi yanayonifanya nisiuone umaana wowote kwake

Jambo lingine, ni pamoja na yeye kuamini saaana kwamba, matatizo ya nchi yetu hatuwezi kuyamaliza sisi kwa sisi mpaka kuwepo na mkono wa mzungu

Mfano,

Mashitaka yake mengi kipindi cha uongozi wa (JPM) wengi hupenda kumwiita dhalimu ili hali sifa za huyo Dhalimu zinafanana kwa ukaribu saana na Mh Lisuu, alikuwa akishinikiza mkono wa mzungu utumike kumng'oa Magufuli hata kama ni kosa moja tu la Magufuli kafanya, wakati huo huo mkono wa mzungu popote pale ulipotumika kung'oa viongozi wa nchi mbalimbali, hakujawahi kuwepo Amani tena,

Alitaka hivyo ili tulioko huku tuumie yeye akiendelea kula mayai ulaya?

Mtu asiyejiamini katika kutatua matatizo yake mwenyewe, atawasaidia nini wananchi ambao wamajaa matatizo lukuki? Kuzungumza na kuweka sawa mikataba ambayo sisi kama nchi tunaona ni kama tumelaliwa, mpaka tuwaulize wazungu huku tunajigamba ni nchi huru?

Huo ndio udhaifu mkubwa wa huyu ndugu yetu na ambapo Mimi binafsi stamani kabisa tuwe na kiongozi mfano wa huyu!

Wenye kutukana, tukaneni na usiku mtalala!

Kisamv,

Kwa sasa niko kwenye visiwa vya karafuu Zanzibar
Mungu wa mbinguni akubariki uishi siku nyingi ili uyaone mengi.
 
Sijapinga sifa zake zote za kuwapigania wananchi mkuu, shida yake moja ni kutoamini kwamba nchi yetu inauhuru na kwamba sisi tunaweza kumaliza mambo yetu bila mkono wa mzungu
Ni jambo gani mliweza bila mkono wa mzungu??Hata wale COVID 19 pale BUNGENI siyo mapenzi yenu bali ni kuogopa kunyimwa misaada na Wazungu.
 
Nilikuwa nafatilia kwa umakini zaidi Comment za watu hum baada ya post yako.

Kuna idadi kubwa ya watu wanaokupinga na kukushambulia kwa Lugha chafu,

Ila cha ajabu kati yao wote sijaona hata mmoja aliejibu kwa hoja juu ya swala la udhaifu wa Lisu kujiegemeza kwa wazungu.
(Hali ya kua wote tunafaham ni namna gani wanavyotukandamiza chini Carpet)

Hongera kwa kudadavua na kuutoa ukweli, nakuunga mkono juu ya hili kaka.
[emoji1666]
Kisamv


Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Kweli kabisa mkuu, na sikatai uwepo wake, unataka niende wapi mkuu? Burundi kufanya nini tena?
Kipenzi chako Mwigulu ndiye aliyekutaka uhamie Burundi nawe haukumkatalia, eti leo ndiyo unajidai kuhoji!
 
Nimeona mstari wa mwisho umeandika upo Zanzibar...
Sikulaumu najua umeanza tabia za yule afwande wa huko, ndiyo maana unamchukia Lissu bila sababu
 
Wach
Mkisema upeo wangu ni mdogo sawa tu! Na matusi yoote juu yangu sawa tu,


Lakini leo nataka tu niseme ukweli wa moyo wangu,

Mh Tundu Lissu ni kweli kabisa ni kati ya wanasiasa wanaoifaa sana nchi yangu Tanzania,

Tanzania bila viongozi wenye uthubutu wa kufanya mambo, tutaendelea kubaki nyuma siku zote, na Mh Lissu hizo sifa anazo, kulingana na misimamo yake weledi na ujasiri wa kukabiliana na wanasiasa njaa na uthubutu wa kukemea kila uovu hadharani, inatosha kusema, huyu pia ni kati ya wanasiasa wanaofaa kuwapo kwenye Top Lider wa kuiongoza Tanzania

Licha ya sifa hizo zoote, simpendi tu na Namuomba Mungu kila siku asiwe kiongozi kwenye nafasi yoyote ile ya nchi hii

Moja ya sababu inayopelekea kumchukia, ninadhani na ingawa sina uhakika nalo, kwamba, ni kati ya watu ambao huwenda wanasiri kubwa sana moyoni kuhusu mstakabali wa nchi na rasilimali zake kutokana na anavyowahusudu wazungu

Moja ya mambo ambayo yanafanya kuona kwamba yeye na wazungu ni kitu kimoja, ni pamoja na kuhamishia familia yake yeye na watoto wake kuwa raia wa huko, kujaribu kutetea mila za kishoga ambazo sio utamaduni wa mwafrika ni moja kati ya mengi yanayonifanya nisiuone umaana wowote kwake

Jambo lingine, ni pamoja na yeye kuamini saaana kwamba, matatizo ya nchi yetu hatuwezi kuyamaliza sisi kwa sisi mpaka kuwepo na mkono wa mzungu

Mfano,

Mashitaka yake mengi kipindi cha uongozi wa (JPM) wengi hupenda kumwiita dhalimu ili hali sifa za huyo Dhalimu zinafanana kwa ukaribu saana na Mh Lisuu, alikuwa akishinikiza mkono wa mzungu utumike kumng'oa Magufuli hata kama ni kosa moja tu la Magufuli kafanya, wakati huo huo mkono wa mzungu popote pale ulipotumika kung'oa viongozi wa nchi mbalimbali, hakujawahi kuwepo Amani tena,

Alitaka hivyo ili tulioko huku tuumie yeye akiendelea kula mayai ulaya?

Mtu asiyejiamini katika kutatua matatizo yake mwenyewe, atawasaidia nini wananchi ambao wamajaa matatizo lukuki? Kuzungumza na kuweka sawa mikataba ambayo sisi kama nchi tunaona ni kama tumelaliwa, mpaka tuwaulize wazungu huku tunajigamba ni nchi huru?

Huo ndio udhaifu mkubwa wa huyu ndugu yetu na ambapo Mimi binafsi stamani kabisa tuwe na kiongozi mfano wa huyu!

Wenye kutukana, tukaneni na usiku mtalala!

Kisamv,

Kwa sasa niko kwenye visiwa vya karafuu Zanzibarwa
Wachato wotea.k.a wana umoja party hamwezi mkamwelewa wala kumkubali,Bakini hivyo ila ipo siku mtamwelewa tu🤔
 
Nilikuwa nafatilia kwa umakini zaidi Comment za watu hum baada ya post yako.

Kuna idadi kubwa ya watu wanaokupinga na kukushambulia kwa Lugha chafu,

Ila cha ajabu kati yao wote sijaona hata mmoja aliejibu kwa hoja juu ya swala la udhaifu wa Lisu kujiegemeza kwa wazungu.
(Hali ya kua wote tunafaham ni namna gani wanavyotukandamiza chini Carpet)

Hongera kwa kudadavua na kuutoa ukweli, nakuunga mkono juu ya hili kaka.
[emoji1666]
Kisamv


Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Baada ya Uchaguzi wa 2020 Serikali yako ya Chama cha Mapinduzi ilifanya nini ili isinyimwe misaada na Wazungu?Mnajifanya hamjui wala hamwelewi ili tu familia zenu zizidi kunenepa.
 
Mkisema upeo wangu ni mdogo sawa tu! Na matusi yoote juu yangu sawa tu,


Lakini leo nataka tu niseme ukweli wa moyo wangu,

Mh Tundu Lissu ni kweli kabisa ni kati ya wanasiasa wanaoifaa sana nchi yangu Tanzania,

Tanzania bila viongozi wenye uthubutu wa kufanya mambo, tutaendelea kubaki nyuma siku zote, na Mh Lissu hizo sifa anazo, kulingana na misimamo yake weledi na ujasiri wa kukabiliana na wanasiasa njaa na uthubutu wa kukemea kila uovu hadharani, inatosha kusema, huyu pia ni kati ya wanasiasa wanaofaa kuwapo kwenye Top Lider wa kuiongoza Tanzania

Licha ya sifa hizo zoote, simpendi tu na Namuomba Mungu kila siku asiwe kiongozi kwenye nafasi yoyote ile ya nchi hii

Moja ya sababu inayopelekea kumchukia, ninadhani na ingawa sina uhakika nalo, kwamba, ni kati ya watu ambao huwenda wanasiri kubwa sana moyoni kuhusu mstakabali wa nchi na rasilimali zake kutokana na anavyowahusudu wazungu

Moja ya mambo ambayo yanafanya kuona kwamba yeye na wazungu ni kitu kimoja, ni pamoja na kuhamishia familia yake yeye na watoto wake kuwa raia wa huko, kujaribu kutetea mila za kishoga ambazo sio utamaduni wa mwafrika ni moja kati ya mengi yanayonifanya nisiuone umaana wowote kwake

Jambo lingine, ni pamoja na yeye kuamini saaana kwamba, matatizo ya nchi yetu hatuwezi kuyamaliza sisi kwa sisi mpaka kuwepo na mkono wa mzungu

Mfano,

Mashitaka yake mengi kipindi cha uongozi wa (JPM) wengi hupenda kumwiita dhalimu ili hali sifa za huyo Dhalimu zinafanana kwa ukaribu saana na Mh Lisuu, alikuwa akishinikiza mkono wa mzungu utumike kumng'oa Magufuli hata kama ni kosa moja tu la Magufuli kafanya, wakati huo huo mkono wa mzungu popote pale ulipotumika kung'oa viongozi wa nchi mbalimbali, hakujawahi kuwepo Amani tena,

Alitaka hivyo ili tulioko huku tuumie yeye akiendelea kula mayai ulaya?

Mtu asiyejiamini katika kutatua matatizo yake mwenyewe, atawasaidia nini wananchi ambao wamajaa matatizo lukuki? Kuzungumza na kuweka sawa mikataba ambayo sisi kama nchi tunaona ni kama tumelaliwa, mpaka tuwaulize wazungu huku tunajigamba ni nchi huru?

Huo ndio udhaifu mkubwa wa huyu ndugu yetu na ambapo Mimi binafsi stamani kabisa tuwe na kiongozi mfano wa huyu!

Wenye kutukana, tukaneni na usiku mtalala!
Kisamv,

Kwa sasa niko kwenye visiwa vya karafuu Zanzibar
Mimi nilishaandika madhaifu kadhaa ya Tundu Lissu humu na amekuwa hana tena ushawishi pia mbowe amekosa credits kuwa kiongozi wa upinzani, nadhani nadhani sana chadema yapasa kubadilisha viongozi wa juu,

Tumekosa upinzani wenye nguvu tanzania lazima tuseme ukweli, watu madhubuti kwenye upinzani wamefikia bei, wametaparaganyika, wengi wazuri wamenunuliwa wengine walioko kwenye hivyo vyama wako tu kimtazamo lakini hawako kwa moyo sasa ni shida kumjua nani ni mtu sahihi nani ni msaliti wote kama vile wanaviziana
 
Mimi nilishaandika madhaifu kadhaa ya Tundu Lissu humu na amekuwa hana tena ushawishi pia mbowe amekosa credits kuwa kiongozi wa upinzani, nadhani nadhani sana chadema yapasa kubadilisha viongozi wa juu,

Tumekosa upinzani wenye nguvu tanzania lazima tuseme ukweli, watu madhubuti kwenye upinzani wamefikia bei, wametaparaganyika, wengi wazuri wamenunuliwa wengine walioko kwenye hivyo vyama wako tu kimtazamo lakini hawako kwa moyo sasa ni shida kumjua nani ni mtu sahihi nani ni msaliti wote kama vile wanaviziana
Upinzani wa kweli uko Chato Ntarahamwe wewe.
 
Baada ya Uchaguzi wa 2020 Serikali yako ya Chama cha Mapinduzi ilifanya nini ili isinyimwe misaada na Wazungu?Mnajifanya hamjui wala hamwelewi ili tu familia zenu zizidi kunenepa.
Ushanipa chama tayari mara hii?
(Any way)

Hivi ulifatilia lakini na kuona ni kwa kiasi gani wazungu walikua wanaichukia serikali ya kipindi kile?

Na kama jibu ni ndio, vipi ulijua sababu ni nn haswa?

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Mkisema upeo wangu ni mdogo sawa tu! Na matusi yoote juu yangu sawa tu,


Lakini leo nataka tu niseme ukweli wa moyo wangu,

Mh Tundu Lissu ni kweli kabisa ni kati ya wanasiasa wanaoifaa sana nchi yangu Tanzania,

Tanzania bila viongozi wenye uthubutu wa kufanya mambo, tutaendelea kubaki nyuma siku zote, na Mh Lissu hizo sifa anazo, kulingana na misimamo yake weledi na ujasiri wa kukabiliana na wanasiasa njaa na uthubutu wa kukemea kila uovu hadharani, inatosha kusema, huyu pia ni kati ya wanasiasa wanaofaa kuwapo kwenye Top Lider wa kuiongoza Tanzania

Licha ya sifa hizo zoote, simpendi tu na Namuomba Mungu kila siku asiwe kiongozi kwenye nafasi yoyote ile ya nchi hii

Moja ya sababu inayopelekea kumchukia, ninadhani na ingawa sina uhakika nalo, kwamba, ni kati ya watu ambao huwenda wanasiri kubwa sana moyoni kuhusu mstakabali wa nchi na rasilimali zake kutokana na anavyowahusudu wazungu

Moja ya mambo ambayo yanafanya kuona kwamba yeye na wazungu ni kitu kimoja, ni pamoja na kuhamishia familia yake yeye na watoto wake kuwa raia wa huko, kujaribu kutetea mila za kishoga ambazo sio utamaduni wa mwafrika ni moja kati ya mengi yanayonifanya nisiuone umaana wowote kwake

Jambo lingine, ni pamoja na yeye kuamini saaana kwamba, matatizo ya nchi yetu hatuwezi kuyamaliza sisi kwa sisi mpaka kuwepo na mkono wa mzungu

Mfano,

Mashitaka yake mengi kipindi cha uongozi wa (JPM) wengi hupenda kumwiita dhalimu ili hali sifa za huyo Dhalimu zinafanana kwa ukaribu saana na Mh Lisuu, alikuwa akishinikiza mkono wa mzungu utumike kumng'oa Magufuli hata kama ni kosa moja tu la Magufuli kafanya, wakati huo huo mkono wa mzungu popote pale ulipotumika kung'oa viongozi wa nchi mbalimbali, hakujawahi kuwepo Amani tena,

Alitaka hivyo ili tulioko huku tuumie yeye akiendelea kula mayai ulaya?

Mtu asiyejiamini katika kutatua matatizo yake mwenyewe, atawasaidia nini wananchi ambao wamajaa matatizo lukuki? Kuzungumza na kuweka sawa mikataba ambayo sisi kama nchi tunaona ni kama tumelaliwa, mpaka tuwaulize wazungu huku tunajigamba ni nchi huru?

Huo ndio udhaifu mkubwa wa huyu ndugu yetu na ambapo Mimi binafsi stamani kabisa tuwe na kiongozi mfano wa huyu!

Wenye kutukana, tukaneni na usiku mtalala!

Kisamv,

Kwa sasa niko kwenye visiwa vya karafuu Zanzibar
Ni afadhali Slaa aingie Ikulu kuliko Tundu Lissu kuwa Mbunge "..alisikika mgombea wa kijani"
 
Moja ya sababu inayopelekea kumchukia, ninadhani na ingawa sina uhakika nalo, kwamba, ni kati ya watu ambao huwenda wanasiri kubwa sana moyoni kuhusu mstakabali wa nchi na rasilimali zake kutokana na anavyowahusudu wazungu
Ulipaswa ufanye utafiti wa kina na ujirishe pasina Shaka yoyote juu ya tuhuma hizi Mana Ni nzito Sana badaala ya kuja mbele ya umma na neno NADHANI.
 
Back
Top Bottom