Tundu Lissu kila nikijilazimisha nimuone wa maana, moyo unagoma tu, simpendi na sipendi awe kiongozi kokote kule!

Tundu Lissu kila nikijilazimisha nimuone wa maana, moyo unagoma tu, simpendi na sipendi awe kiongozi kokote kule!

Moja ya mambo ambayo yanafanya kuona kwamba yeye na wazungu ni kitu kimoja, ni pamoja na kuhamishia familia yake yeye na watoto wake kuwa raia wa huko, kujaribu kutetea mila za kishoga ambazo sio utamaduni wa mwafrika ni moja kati ya mengi yanayonifanya nisiuone umaana wowote kwake
Mjomba wa Rais Samia Yuko Oman na amechukua Uraia wa Huko Hilo halikuumizi!

Umesikia orodha ya viongozi watokanao na chama tawala kuwa wamenakimbiza wake zao wakazalie ulaya na America? Umesikia kwamba JK ana nyumba USA na anaendaga huko Kama anaenda home?
Kuna dhambi au kosa gani kisheria mtu kuwa na uraiaa wa USA! Ulifuatlia bongo zozo alivyowazodoa kuhusu Uraia pacha? Utakufa na chuki.


Kama una ushahidi wowote TAL akijaribu kutetea Mila za kishoga waziwazi au kwa Siri ili sote tuone Mana nimesikia kwenye media akiweka bayana kwamba haungi mkono ushoga na kwa mujibu wa katiba yetu na sheria zetu haungi mkono ushoga.

Lakini kwa kimya chake amepinga kuwaua mashoga au wanaodhaniwa kuwa mashoga au kutuhumiwa unless tubadilishe sheria zetu.

Lakini serikali ya Awamu ya Tano ilitamka asilani ikiliambia Bunge kwamba italinda na kusimamia haki za watu wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja na Msimamo wa bashite sio msimamo wa Serikali!

Hivi juzi uliona kilichojiri Bungeni kwenye mjadala unaohusu suala Hilo na waabunge kutuhumiana waazi wazi . je TAL alikua miongoni mwao?
 
Huyo anafaa kuwa mpiga makelele tu lakini sio kuongoza watu.
Anapenda misifa ya kijinga sana.
 
Ni kitu gani utafanya bila mzungu?alituaminjsha tunatekeleza kwa hela zetu,muulize kabudi na ditto walikola kiasi gani kwa wazungu?

Leo mama anaupiga mwingi,ameshachukua ngapi kwa wazungu.ni majuzi tu mpina kahoji bungeni mwigulu kakopa bila bunge kuijua trillion ngapi unajua?

Migodi yetu yote inachimbwa na wazungu,na Bado wanakuja kuchimba uranium na chuma Cha liganga na mchuchuma.

Dawa za ukimwi ni maaada wa mzungu,dawa za TB ni maaada wa wazungu,dawa za maralia tunazopewa Bure ni maaada wa wazungu.

Pita pale ubungo flyover ukague bango la mradi utaona financial ni wazungu na hata tazara financial ni wazungu!!!inatosha,tafakari.

Bado chanjo.,bila mzungu hutoboi usijidanganye.
Nitajie mradi ambao Magufuli alisema tunajenga kwa fedha zetu lakini unajengwa na ufadhili wa wengine
 
Swali langu ni hili kati ya lisu na magufuli ulianza kumfahamu nani?
Wakati lisu anawatetea wachimbqji wadogo wa NYAMONGO wewe ulikuwa wapi? Jpm alikuwa nani na akiwa wapi na anafanya nn?
Huyu alikuwa bungeni kama waziri wa nyumba na makazi
Humjui lisu wewe. Ukiwauliza kina ulimwengu watakwambia juu ya huyu mtu.sie tulimjua lisu mapema wakati JPM anavaa over sizes
Umenikumbusha mbali sana. Wakati huo Magu anavaa kama Museven
 
Sijapinga sifa zake zote za kuwapigania wananchi mkuu, shida yake moja ni kutoamini kwamba nchi yetu inauhuru na kwamba sisi tunaweza kumaliza mambo yetu bila mkono wa mzungu
Hujui siasa wala the subtle art of global governance
 
Mkisema upeo wangu ni mdogo sawa tu! Na matusi yoote juu yangu sawa tu,


Lakini leo nataka tu niseme ukweli wa moyo wangu,

Mh Tundu Lissu ni kweli kabisa ni kati ya wanasiasa wanaoifaa sana nchi yangu Tanzania,

Tanzania bila viongozi wenye uthubutu wa kufanya mambo, tutaendelea kubaki nyuma siku zote, na Mh Lissu hizo sifa anazo, kulingana na misimamo yake weledi na ujasiri wa kukabiliana na wanasiasa njaa na uthubutu wa kukemea kila uovu hadharani, inatosha kusema, huyu pia ni kati ya wanasiasa wanaofaa kuwapo kwenye Top Lider wa kuiongoza Tanzania

Licha ya sifa hizo zoote, simpendi tu na Namuomba Mungu kila siku asiwe kiongozi kwenye nafasi yoyote ile ya nchi hii

Moja ya sababu inayopelekea kumchukia, ninadhani na ingawa sina uhakika nalo, kwamba, ni kati ya watu ambao huwenda wanasiri kubwa sana moyoni kuhusu mstakabali wa nchi na rasilimali zake kutokana na anavyowahusudu wazungu

Moja ya mambo ambayo yanafanya kuona kwamba yeye na wazungu ni kitu kimoja, ni pamoja na kuhamishia familia yake yeye na watoto wake kuwa raia wa huko, kujaribu kutetea mila za kishoga ambazo sio utamaduni wa mwafrika ni moja kati ya mengi yanayonifanya nisiuone umaana wowote kwake

Jambo lingine, ni pamoja na yeye kuamini saaana kwamba, matatizo ya nchi yetu hatuwezi kuyamaliza sisi kwa sisi mpaka kuwepo na mkono wa mzungu

Mfano,

Mashitaka yake mengi kipindi cha uongozi wa (JPM) wengi hupenda kumwiita dhalimu ili hali sifa za huyo Dhalimu zinafanana kwa ukaribu saana na Mh Lisuu, alikuwa akishinikiza mkono wa mzungu utumike kumng'oa Magufuli hata kama ni kosa moja tu la Magufuli kafanya, wakati huo huo mkono wa mzungu popote pale ulipotumika kung'oa viongozi wa nchi mbalimbali, hakujawahi kuwepo Amani tena,

Alitaka hivyo ili tulioko huku tuumie yeye akiendelea kula mayai ulaya?

Mtu asiyejiamini katika kutatua matatizo yake mwenyewe, atawasaidia nini wananchi ambao wamajaa matatizo lukuki? Kuzungumza na kuweka sawa mikataba ambayo sisi kama nchi tunaona ni kama tumelaliwa, mpaka tuwaulize wazungu huku tunajigamba ni nchi huru?

Huo ndio udhaifu mkubwa wa huyu ndugu yetu na ambapo Mimi binafsi stamani kabisa tuwe na kiongozi mfano wa huyu!

Wenye kutukana, tukaneni na usiku mtalala!

Kisamv,

Kwa sasa niko kwenye visiwa vya karafuu Zanzibar
Jina lako kisamvu
 
Jina lako kisamvu
Ukiishia tu kuandika neno unalodhani ni jina langu, inakuongezea nini akilini mwako kijana, ongeza viwango vya ufahamu wako na useme kile kunaweza badili mawazo ya wengine kupitia wewe waone Lissu ni bora sio hiki unachojaribu kuandika mkuu
 
Mkisema upeo wangu ni mdogo sawa tu! Na matusi yoote juu yangu sawa tu,


Lakini leo nataka tu niseme ukweli wa moyo wangu,

Mh Tundu Lissu ni kweli kabisa ni kati ya wanasiasa wanaoifaa sana nchi yangu Tanzania,

Tanzania bila viongozi wenye uthubutu wa kufanya mambo, tutaendelea kubaki nyuma siku zote, na Mh Lissu hizo sifa anazo, kulingana na misimamo yake weledi na ujasiri wa kukabiliana na wanasiasa njaa na uthubutu wa kukemea kila uovu hadharani, inatosha kusema, huyu pia ni kati ya wanasiasa wanaofaa kuwapo kwenye Top Lider wa kuiongoza Tanzania

Licha ya sifa hizo zoote, simpendi tu na Namuomba Mungu kila siku asiwe kiongozi kwenye nafasi yoyote ile ya nchi hii

Moja ya sababu inayopelekea kumchukia, ninadhani na ingawa sina uhakika nalo, kwamba, ni kati ya watu ambao huwenda wanasiri kubwa sana moyoni kuhusu mstakabali wa nchi na rasilimali zake kutokana na anavyowahusudu wazungu

Moja ya mambo ambayo yanafanya kuona kwamba yeye na wazungu ni kitu kimoja, ni pamoja na kuhamishia familia yake yeye na watoto wake kuwa raia wa huko, kujaribu kutetea mila za kishoga ambazo sio utamaduni wa mwafrika ni moja kati ya mengi yanayonifanya nisiuone umaana wowote kwake

Jambo lingine, ni pamoja na yeye kuamini saaana kwamba, matatizo ya nchi yetu hatuwezi kuyamaliza sisi kwa sisi mpaka kuwepo na mkono wa mzungu

Mfano,

Mashitaka yake mengi kipindi cha uongozi wa (JPM) wengi hupenda kumwiita dhalimu ili hali sifa za huyo Dhalimu zinafanana kwa ukaribu saana na Mh Lisuu, alikuwa akishinikiza mkono wa mzungu utumike kumng'oa Magufuli hata kama ni kosa moja tu la Magufuli kafanya, wakati huo huo mkono wa mzungu popote pale ulipotumika kung'oa viongozi wa nchi mbalimbali, hakujawahi kuwepo Amani tena,

Alitaka hivyo ili tulioko huku tuumie yeye akiendelea kula mayai ulaya?

Mtu asiyejiamini katika kutatua matatizo yake mwenyewe, atawasaidia nini wananchi ambao wamajaa matatizo lukuki? Kuzungumza na kuweka sawa mikataba ambayo sisi kama nchi tunaona ni kama tumelaliwa, mpaka tuwaulize wazungu huku tunajigamba ni nchi huru?

Huo ndio udhaifu mkubwa wa huyu ndugu yetu na ambapo Mimi binafsi stamani kabisa tuwe na kiongozi mfano wa huyu!

Wenye kutukana, tukaneni na usiku mtalala!

Kisamv,

Kwa sasa niko kwenye visiwa vya karafuu Zanzibar
Kwenye para ya kwanza tu umejitoa ufahamu kumbe wewe kilaza!!
 
Nitajie mradi ambao Magufuli alisema tunajenga kwa fedha zetu lakini unajengwa na ufadhili wa wengine
Bwawa la Nyerere,relief ya kisasa,daraja la mfugale,daraja la kijazi,barabara tunduma sumbawanga,niendelew au...
 
shida yake moja ni kutoamini kwamba nchi yetu inauhuru na kwamba sisi tunaweza kumaliza mambo yetu bila mkono wa mzungu
Hivi unaweza kulithibitishaje hili kwa mfano?

Una shida zako wewe na pengine naweza kusema bila shaka yoyote kuwa humjui Tundu Lissu na hujui ujualo na Kisha kulisema..!!
 
Hivi unaweza kulithibitishaje hili kwa mfano?

Una shida zako wewe na pengine naweza kusema bila shaka yoyote kuwa humjui Tundu Lissu na hujui ujualo na Kisha kulisema..!!
Wewe mwenyewe nakuhakikishia hamjui Tundu Lissu
 
Lisuu anaanzaga kuongea HV ,sasaaa ,,,sasaaa,,sasaaaa magufuli Ni fifisadiii mkubwaa ameliingizaa taifa hasaraaa kubwa na Bado watu wanamchekeaa Ni mwizi hafai na Sasa sasa Sasa aeleze was kina Nani wamenipiga risasa mm
 
Wewe mwenyewe nakuhakikishia hamjui Tundu Lissu
Mimi si kama wewe unavyom - describe TL kipropaganda badala ya facts zilizojengwa katika msingi wa research ukiffikiri kuwa utaharibu reputation yake..

Siyo. Umekosea ndugu kisamvu..!!

Mimi Nimekua naye, nimesoma naye high school (Galonos High School - Tanga)..

He's a man of integrity; aggressive, bold and confident who fears nothing but truth..

He is truly a revolutionary man..!l
 
Back
Top Bottom